LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
We nenda likizo sisi acha tufanye Kazi wewe Mwalimu wa kijijini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We nenda likizo sisi acha tufanye Kazi wewe Mwalimu wa kijijini
Walimu na wazazi wanafuata maagizo ya wakuu wa mikoaMambo ya kufundisha wakati wa likizo yameibuka miaka hii tu .Huyo mwalimu alikuwa wapi kucover topic zake tangu mwezi wa kwanza alipoandaa azimio lake?Kwa bahati mbaya sana hata walimu wa shule za serikali nao wameingia kwenye mkumbo huo wa kutoheshimu maagizo yanayotolewa na viongozi wao wakubwa wa elimu akiwemo kamishna wa elimu na waziri mwenye dhamana ya elimu kwamba shule zifungwe wanafunzi warefresh mind na walimu wapumzike