Suala la Feisal toto ni mgogoro wa Wachezaji wazawa!

Suala la Feisal toto ni mgogoro wa Wachezaji wazawa!

Watu wengi mbumbumbu mkuu ,kama Fei wakati anasaini kama hiyo M4 ni ndogo kwake si angekataa hapohapo na kuchagua maslahi sehemu nyingine ? hawajiulizi kuwa kiwango wakati anasaini mkataba mpya na sasa ni sawa ?

Tukija hata ulaya Mane alikuwa Key player Liverpool lakini alikuwa anazidiwa mshahara na mizigo wengi tu wakina Chamberlain umeona wapi Mane kulalamika wakati anajua alisaini mwenyewe ?Mane alisubiri mkataba wake wa awali kuisha kisha akaja na Dau jipya walivyokataa simple akasepa zake Bayern .

Hata Man U Herera alikuwa anizidiwa mshahara na wakina Smalling pamoja yeye kuwa muhimu na anajituma kushinda wao ,alichokifanya alisubiri mkataba wake uishe alivyoomba kuongezeka dau Man U walipigoma simple akasepa zake Psg.
Hili jambo tutaeleweshana hadi lini? Yanga na ma Feisal walishindwa kufikiana makubaliano kwenye suala la maboresho ya mkataba. Feisal kaangalia loop hole kwenye mkataba kaiona na kaitumiaa, tunatengeneza chuki. Unajaribu kufananisha situation ya Sadio Mane na Feisal una uhakika mikataba yao inafana?!
 
Hili jambo tutaeleweshana hadi lini? Yanga na ma Feisal walishindwa kufikiana makubaliano kwenye suala la maboresho ya mkataba. Feisal kaangalia loop hole kwenye mkataba kaiona na kaitumiaa, tunatengeneza chuki. Unajaribu kufananisha situation ya Sadio Mane na Feisal una uhakika mikataba yao inafana?!
Mimi inshu yangu miwatu kulalamika kuwa anakipawa pesa ndogo tofauti na uwezo wake pamoja na kucompare na wengine,katika utetezi wangu nikaweka point zifuatazo;

1.Anacholipwa kipo kwenye mkataba na alisaini mwenyewe bila vitisho kama mshahara hautoshi kikiwa na haki ya kuomba kuongezewa muda ile au kutosaini kabisa na kujiunga kwenye maslahi mazuri.

2.Hata ulaya wapo wanaolipwa pesa kidogo ambayo watu wanaona ni tofauti na Kazi wanaoifanya na ni ndogo kulinganisha na wengine ambao sio muhimu.

Nb: Mimi suala la mkataba kama ana haki ya Kuvunja au la mimi sipo huko bali ninejikita zaidi kea wale wanaosema Yanga walikuwa wanyonyaji wakati ni suala la kimkataba na halipo Yanga pekee yake.
 
Kwa Wenye busara suala la Feisal linaisha na hata Kibwana hatajua limeishaje. Mpaka Leo watu wanahisihisi tu gharama halisi ya Haaland toka BVB kwenda The Citizens ilikuwa kiasi gani na hawapati ni jibu la kueleweka. Mara Wakala na Baba mzazi walilipwa Chao mapema, mara alinunuliwa Kwa bei ndogo.
Labda ww ndo hujui halaand alilipwa bei gan,mbona iko wazi
 
Back
Top Bottom