Suala la Feitoo linafanana na la Harry Kane alivyotaka kwenda Man City

Suala la Feitoo linafanana na la Harry Kane alivyotaka kwenda Man City

Coutinho, Liverpool, Barcelona.

Tafuta hii scenario
Hivi mbona mnakua kama hamna akili?

Mbona ni issue tofauti kabisa hapo Barcelona walipeleka offer kumtaka countnho ila liver wakagoma. Kinachofanyika mchezaji anafanya shinikizo la kuondoka mpaka club yake ikubali na ndicho kinachofanyika.

Sasa nikuulize kuna club iliyopeleka offer yanga kumtaka fei? Hakuna.
Team inayomtaka fei ipeleke offer kama yanga ikikataa kumuuza basi fei anaweka shinikizo la Kuondoka akiwa klabuni
 
Mwaka 2021 majira ya joto Manchester City walipeleka ofa Tottenham ya Dola mil 100 kutaka kumnunua Kane. Tottenham wakatia ngumu kumuuza. Kane akagoma kujiunga na timu yake kwa ajili ya mazoezi ya pre-season ili kushinikiza kuuzwa.

Tottenham hawakutishika wakashikilia chuma na hawakuwa tayari kufanya mazungumzo yoyote na Man City kwani walikuwa bado wanamuhitaji Harry Kane.

Gaudiola alipoulizwa kuhusu hili swala alisema" Kane ni mchezaji halali wa Tottenham, kama hawataki kufanya mazunguzo (Negotiations) nasi basi imeisha hiyo hatuna cha kufanya." Mwisho wa siku Kane alisitisha mgomo wake na kurudi kujiunga na timu hadi leo.

Maswali ya kujiuliza;

Kwanini Kane hakuondoka kwa nguvu ili alipe faini kama Mawakili wa Feitoto wanavyoshinikiza? Mbona watu hawakuilaumu Tottenham kugoma kumuuza wakati mchezaji aliweka wazi kuwa anahitaji changamoto mpya?

Leo kuna watu wamekazana kuipigia kelele Yanga imuuze Fei kwa sababu hajisikii kuendelea kucheza Yanga wakati bado yuko ndani ya mkataba. Hivi kama kila mchezaji ataondoka kienyeji hivo sasa nini maana ya mkataba?

Shida Tanzania tunaendesha soka letu kwa hisia (mihemko) zaidi kuliko kufuata sheria na kanuni. Inashangaza kuona hadi sasa Feitoto hajachukuliwa hatua zozote za kinidhamu. Harry Kane aliona mwisho wake ni mbaya ndio maana alifanya maamuzi ya kurudi klabuni.

Nasikitika jinsi ujinga wa Wanasheria wa mchongo na wachambuzi uchwara unavyoenda kupoteza kipaji cha Fei.
Hizo ni kesi mbili tofauti.
Kane alitaka kuuzwa kwenda Man City halafu Totenham ikakataa, Feitoto yeye binafsi anataka kuachana na Yanga na Yanga ikakataa!

Mleta mada unatakiwa kujua haya, na yote yanafanyika iwe kwenye suala la Kane au Feitoto.

1. Mkataba wowote kisheria unaweza kuvunjika au kuvunjwa, muda wowote.

2. Mikataba yote halali kisheria ina kipengele cha namna ya kuvunjwa au kuvunjika.

3. Mchezaji anapoamua kuvunja mkataba dhidi ya klabu yake nje ya vipengele vilivyopo kimkataba, atapaswa kulipa fidia kisheria kuufidia huo mkataba.


Note
Kucheza soka kwenye klabu fulani(kufanya kazi/kuajiriwa) ni jambo la hiari, kuingia mkataba ni jambo la hiari, hiari hiyo inalindwa kisheria. Mtu anapoamua kwa hiari yake kuachana na klabu hiyo (kuacha kazi) sheria inamlinda huku ikimtaka kulipa gharama za kumfidia mwajiri wake kimkataba. Vivyo hivyo kwa Mwajiri (klabu) inayo hiari ya kuachana na mchezaji wake, na itapaswa kumlipa mchezaji kumfidia gharama za kimkataba ikiwa klabu itataka kuachana naye.
 
Hivi mbona mnakua kama hamna akili?

Mbona ni issue tofauti kabisa hapo Barcelona walipeleka offer kumtaka countnho ila liver wakagoma. Kinachofanyika mchezaji anafanya shinikizo la kuondoka mpaka club yake ikubali na ndicho kinachofanyika.

Sasa nikuulize kuna club iliyopeleka offer yanga kumtaka fei? Hakuna.
Team inayomtaka fei ipeleke offer kama yanga ikikataa kumuuza basi fei anaweka shinikizo la Kuondoka akiwa klabuni
Vipi kama (kitu ambacho ndio halisi) Feitoto yeye mwenyewe binafsi anataka kuondoka zake Yanga?
 
Issue hizo Hazifanani Kbs....!

Shida ni Mkataba, Mkataba Wa Yanga Unatoa nafasi Ya Kuvunjika.

Sasa umevunjika. Utopolo wanapitia mlango Wa Uani Mchongo Na TFF.
kama umevunjika, jana kafuata nini TFF?
 
Hivi mbona mnakua kama hamna akili?

Mbona ni issue tofauti kabisa hapo Barcelona walipeleka offer kumtaka countnho ila liver wakagoma. Kinachofanyika mchezaji anafanya shinikizo la kuondoka mpaka club yake ikubali na ndicho kinachofanyika.

Sasa nikuulize kuna club iliyopeleka offer yanga kumtaka fei? Hakuna.
Team inayomtaka fei ipeleke offer kama yanga ikikataa kumuuza basi fei anaweka shinikizo la Kuondoka akiwa klabuni
Hawa mbumbu hata utumie nguvu gani kuwalewesha hawawezi kuelewa ni vema tu kuachana nao, watu wanashindwa kuelewa Yanga ndiyo imempa Fei thamani aliyonayo hivi sasa kwa kuinvest vitu kibao kwake, mwisho wa siku lazima Yanga na uwekezaji huo aidha kwa kuuzwa kwa bei wanayoona ipo kwa soko au kuitumikia club mpira ni biashara bana.
 
Hizo ni kesi mbili tofauti.
Kane alitaka kuuzwa kwenda Man City halafu Totenham ikakataa, Feitoto yeye binafsi anataka kuachana na Yanga na Yanga ikakataa!

Mleta mada unatakiwa kujua haya, na yote yanafanyika iwe kwenye suala la Kane au Feitoto.

1. Mkataba wowote kisheria unaweza kuvunjika au kuvunjwa, muda wowote.

2. Mikataba yote halali kisheria ina kipengele cha namna ya kuvunjwa au kuvunjika.

3. Mchezaji anapoamua kuvunja mkataba dhidi ya klabu yake nje ya vipengele vilivyopo kimkataba, atapaswa kulipa fidia kisheria kuufidia huo mkataba.


Note
Kucheza soka kwenye klabu fulani(kufanya kazi/kuajiriwa) ni jambo la hiari, kuingia mkataba ni jambo la hiari, hiari hiyo inalindwa kisheria. Mtu anapoamua kwa hiari yake kuachana na klabu hiyo (kuacha kazi) sheria inamlinda huku ikimtaka kulipa gharama za kumfidia mwajiri wake kimkataba. Vivyo hivyo kwa Mwajiri (klabu) inayo hiari ya kuachana na mchezaji wake, na itapaswa kumlipa mchezaji kumfidia gharama za kimkataba ikiwa klabu itataka kuachana naye.
Kwani kavunja mkataba au kajiondoa kienyeji kwenye klabu? Maana ilitakiwa adai haki yake akiwa ndani ya mkataba. Sasa yeye kaondoka aafu ndo anadai haki ya kuvunja mkataba unaona hiyo kisheria ni sawa?
 
Back
Top Bottom