Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Jana nimeona kwenye kombe la xecafa singida Black stars wamevaa jezi zenye nembo ya GSM, huyo GSM ndio mdhamini wa Yangq, lakini timu kama Coastal Union, Namungo zina udhamini kama huo.
Kwa mazingira ya kibongo hili jambo lina ukakasi sana.
Kwa nchi zilizoendelea ambazo zinajali professionalism hili suala halina shida kabisa.
Lakini hapa kwetu hao wanaodhaminiwa wana mikakati mingi dhidi ya timu hasimu na Yanga hasa Simba.
Msimu ulioisha timu zilizovaa jezi za GSm ziliikazia sana Simba, mfano Namungo na Singida na hata Coastal kama sio bao la Onana dakika za mwisho ingekula kwetu.
Hatujui hizi timu kwenye udhamini wao zimewekeana terms gani pindi zikicheza na Simba.
Simba imesajili vizuri sana msimu huu lkn ninahofia tunaweza kuvurugana kutokana na mipango na mikakati michafu iliyopo kwenye udhamini.
Kama Mp dewji akiingia naye kudhamini baadhi ya timu itakuwaje.
TFF waliangalie hili jambo ama uongozi wa Simba uliangalie hili jambo vinginevyo hawa nzi wa kijani watachukua ubingwa tena kwa hila.
Ligi ya bongo inachezwa sana nje kuliko ndani, usipokuwa makini nje umeliwa.
Kwa mazingira ya kibongo hili jambo lina ukakasi sana.
Kwa nchi zilizoendelea ambazo zinajali professionalism hili suala halina shida kabisa.
Lakini hapa kwetu hao wanaodhaminiwa wana mikakati mingi dhidi ya timu hasimu na Yanga hasa Simba.
Msimu ulioisha timu zilizovaa jezi za GSm ziliikazia sana Simba, mfano Namungo na Singida na hata Coastal kama sio bao la Onana dakika za mwisho ingekula kwetu.
Hatujui hizi timu kwenye udhamini wao zimewekeana terms gani pindi zikicheza na Simba.
Simba imesajili vizuri sana msimu huu lkn ninahofia tunaweza kuvurugana kutokana na mipango na mikakati michafu iliyopo kwenye udhamini.
Kama Mp dewji akiingia naye kudhamini baadhi ya timu itakuwaje.
TFF waliangalie hili jambo ama uongozi wa Simba uliangalie hili jambo vinginevyo hawa nzi wa kijani watachukua ubingwa tena kwa hila.
Ligi ya bongo inachezwa sana nje kuliko ndani, usipokuwa makini nje umeliwa.