Suala la GSM kudhamini baadhi ya timu za Ligi Kuu liangaliwe upya, linajenga mazingira hasi na kupunguza ushindani katika ligi

Suala la GSM kudhamini baadhi ya timu za Ligi Kuu liangaliwe upya, linajenga mazingira hasi na kupunguza ushindani katika ligi

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Jana nimeona kwenye kombe la xecafa singida Black stars wamevaa jezi zenye nembo ya GSM, huyo GSM ndio mdhamini wa Yangq, lakini timu kama Coastal Union, Namungo zina udhamini kama huo.

Kwa mazingira ya kibongo hili jambo lina ukakasi sana.

Kwa nchi zilizoendelea ambazo zinajali professionalism hili suala halina shida kabisa.

Lakini hapa kwetu hao wanaodhaminiwa wana mikakati mingi dhidi ya timu hasimu na Yanga hasa Simba.

Msimu ulioisha timu zilizovaa jezi za GSm ziliikazia sana Simba, mfano Namungo na Singida na hata Coastal kama sio bao la Onana dakika za mwisho ingekula kwetu.

Hatujui hizi timu kwenye udhamini wao zimewekeana terms gani pindi zikicheza na Simba.

Simba imesajili vizuri sana msimu huu lkn ninahofia tunaweza kuvurugana kutokana na mipango na mikakati michafu iliyopo kwenye udhamini.

Kama Mp dewji akiingia naye kudhamini baadhi ya timu itakuwaje.

TFF waliangalie hili jambo ama uongozi wa Simba uliangalie hili jambo vinginevyo hawa nzi wa kijani watachukua ubingwa tena kwa hila.

Ligi ya bongo inachezwa sana nje kuliko ndani, usipokuwa makini nje umeliwa.
 
Exposure, exposure, exposure, exposure, exposure,

Kwa hio kina emirate wanaleta rushwa ?
Hiv watu wengine mnatumia vichwa kama mapambo au
mtoa mada kaelezea vizuri kuhusu Ulaya na hapa Bongo/Africa

Mtoa mada "Kwa nchi zilizoendelea ambazo zinajali professionalism hili suala halina shida kabisa.''
 
Ukitaka hata wew kwenye ndoa yako(ukiolewa) udhaminiwe na GSM utadhaminiwa
 
Exposure, exposure, exposure, exposure, exposure,

Kwa hio kina emirate wanaleta rushwa ?
Hiv watu wengine mnatumia vichwa kama mapambo au
Emirates Ni shareholder katika timu au anahusika na sponsorship tu?
 
Ungesema kua labda GSM anaweza kuhonga ili Yanga ashinde mechi sawa, lakini kama concern yako kua Simba atakamiwa,huo ni udhaifu wa Simba yenyewe,timu Bora inashinda uwanjani hata mpewe bilion,..fanyeni sajili Mpira mchezo wa wazi,Simba ya last season hata ikicheza unajiuliza goli litatokea wapi...
 
Exposure, exposure, exposure, exposure, exposure,

Kwa hio kina emirate wanaleta rushwa ?
Hiv watu wengine mnatumia vichwa kama mapambo au
Wengine vichwa wanatumia kubebea mafua tu kaka😂😂😂😂😂😂
 
Jana nimeona kwenye kombe la xecafa singida Black stars wamevaa jezi zenye nembo ya GSM, huyo GSM ndio mdhamini wa Yangq, lakini timu kama Coastal Union, Namungo zina udhamini kama huo.

Kwa mazingira ya kibongo hili jambo lina ukakasi sana.

Kwa nchi zilizoendelea ambazo zinajali professionalism hili suala halina shida kabisa.

Lakini hapa kwetu hao wanaodhaminiwa wana mikakati mingi dhidi ya timu hasimu na Yanga hasa Simba.

Msimu ulioisha timu zilizovaa jezi za GSm ziliikazia sana Simba, mfano Namungo na Singida na hata Coastal kama sio bao la Onana dakika za mwisho ingekula kwetu.

Hatujui hizi timu kwenye udhamini wao zimewekeana terms gani pindi zikicheza na Simba.

Simba imesajili vizuri sana msimu huu lkn ninahofia tunaweza kuvurugana kutokana na mipango na mikakati michafu iliyopo kwenye udhamini.

Kama Mp dewji akiingia naye kudhamini baadhi ya timu itakuwaje.

TFF waliangalie hili jambo ama uongozi wa Simba uliangalie hili jambo vinginevyo hawa nzi wa kijani watachukua ubingwa tena kwa hila.

Ligi ya bongo inachezwa sana nje kuliko ndani, usipokuwa makini nje umeliwa.
Rage aliona mbali sana.
 
Ukibanwa na hewa ya UKAA wakati upo kwenye maongezi mazito na Baba/Mama Mkwee usiogope kuachia kwa sauti ili mtoto wao atambue watakiwa ukule na kushibaa
 
Jana nimeona kwenye kombe la xecafa singida Black stars wamevaa jezi zenye nembo ya GSM, huyo GSM ndio mdhamini wa Yangq, lakini timu kama Coastal Union, Namungo zina udhamini kama huo.

Kwa mazingira ya kibongo hili jambo lina ukakasi sana.

Kwa nchi zilizoendelea ambazo zinajali professionalism hili suala halina shida kabisa.

Lakini hapa kwetu hao wanaodhaminiwa wana mikakati mingi dhidi ya timu hasimu na Yanga hasa Simba.

Msimu ulioisha timu zilizovaa jezi za GSm ziliikazia sana Simba, mfano Namungo na Singida na hata Coastal kama sio bao la Onana dakika za mwisho ingekula kwetu.

Hatujui hizi timu kwenye udhamini wao zimewekeana terms gani pindi zikicheza na Simba.

Simba imesajili vizuri sana msimu huu lkn ninahofia tunaweza kuvurugana kutokana na mipango na mikakati michafu iliyopo kwenye udhamini.

Kama Mp dewji akiingia naye kudhamini baadhi ya timu itakuwaje.

TFF waliangalie hili jambo ama uongozi wa Simba uliangalie hili jambo vinginevyo hawa nzi wa kijani watachukua ubingwa tena kwa hila.

Ligi ya bongo inachezwa sana nje kuliko ndani, usipokuwa makini nje umeliwa.
rahaa ya ccm kuona nchi ikiwa na wajinga tu.ili swala sio gsm mpaka vilabu kutumiwa kisiasa
 
Jana nimeona kwenye kombe la xecafa singida Black stars wamevaa jezi zenye nembo ya GSM, huyo GSM ndio mdhamini wa Yangq, lakini timu kama Coastal Union, Namungo zina udhamini kama huo.

Kwa mazingira ya kibongo hili jambo lina ukakasi sana.

Kwa nchi zilizoendelea ambazo zinajali professionalism hili suala halina shida kabisa.

Lakini hapa kwetu hao wanaodhaminiwa wana mikakati mingi dhidi ya timu hasimu na Yanga hasa Simba.

Msimu ulioisha timu zilizovaa jezi za GSm ziliikazia sana Simba, mfano Namungo na Singida na hata Coastal kama sio bao la Onana dakika za mwisho ingekula kwetu.

Hatujui hizi timu kwenye udhamini wao zimewekeana terms gani pindi zikicheza na Simba.

Simba imesajili vizuri sana msimu huu lkn ninahofia tunaweza kuvurugana kutokana na mipango na mikakati michafu iliyopo kwenye udhamini.

Kama Mp dewji akiingia naye kudhamini baadhi ya timu itakuwaje.

TFF waliangalie hili jambo ama uongozi wa Simba uliangalie hili jambo vinginevyo hawa nzi wa kijani watachukua ubingwa tena kwa hila.

Ligi ya bongo inachezwa sana nje kuliko ndani, usipokuwa makini nje umeliwa.
Pointless of the day
Acheni vilabu vipate wadhamini , we kwa uchumi wako unadhani unaweza kuendesha hata Night club?
Bro think twice , vipi kuhusu fly emirates?
 
Mmeanza kuteseka ata kabla
Msimu haujaanza. Situlikubaliana raha mnapataga kipindi cha usajili tuu ata kipindi hiki bado mnakula maumivu.

Yanga tutachukua makombe mpaka mama samia aingilie kati.
 
Mmeanza kuteseka ata kabla
Msimu haujaanza. Situlikubaliana raha mnapataga kipindi cha usajili tuu ata kipindi hiki bado mnakula maumivu.

Yanga tutachukua makombe mpaka mama samia aingilie kati.
Wanasema hofu ni ishara ya kufeli kabla hata ya kufanya kitu , wameshaanza kuingiwa na hofu mapema na kutafuta machaka ya kujifichia , Aibu hii
 
Msimu huu Simba tumejipanga, safari hii tunapiga shangazi na mashoga zake, tunatoa dozi kulingana na hali ya mgonjwa
 
Back
Top Bottom