Kwani mwenye serikali ni nani !
jibu ni ccm
Wanao jivalisha ngozi wafanye mambo yao kupitia wapi !
jibu ni ccm
Nani anaowabeba !
jibu ni ccm
Kwa nini wanaogopana!
jibu ni ccm
Fadhila na ubabe unatoka wapi !
jibu ni ccm
huu mtihani wizara ya elimu watoto wangeshinda sana kwenye somo la huraia
Kwani mwenye serikali ni nani !
jibu ni ccm
Wanao jivalisha ngozi wafanye mambo yao kupitia wapi !
jibu ni ccm
Nani anaowabeba !
jibu ni ccm
Kwa nini wanaogopana!
jibu ni ccm
Fadhila na ubabe unatoka wapi !
jibu ni ccm
huu mtihani wizara ya elimu watoto wangeshinda sana kwenye somo la huraia
Mambo makubwa ya Sukari na prf Mkenda SSH eti alisemaje. Suala la sukari ni kubwa au dogo?Samia huwa anapambana na mambo makubwa sana bila hata kufokea au kukaripia mtu. Ni mwanadiplomasia wa viwango vya juu.
Kwa kuwa lilihusu wafugaji wa Kisukuma ambao ni kabila hawakutakiwa kubomolewa kupisha ujenzi barabara wala kuhamishwa kuepusha uharibifu wa vyanzo vya majiAlietuhubiria udonar countriii nae alilikuta hili swala na aliliacha
Kupanga ni kuchagua
Target ni Mashimba Ndaki, waziri.Suala eneo la Ihefu, chanzo cha mto mkuu wa Ruaha, limekuwa likilalamikiwa kwa miaka sasa.
Najua serikali imekuwa ikilishughulikia hili tatizo la kuingiliwa Ihefu kwa nyakati tofauti, lakini ni kama imekuwa funika kombe wanaharamu wapite.
Nashindwa kuelewa, inakuwaje mtu, watu wanachepusha mto mzimaa!!!
Na serikali hiyohiyo ipo.
Wafugaji wenye makundi ya ng'ombe 3,000 hadi 10,000 wameshidwa kudhibitiwa kwa miaka!
Kweli?
Serikali na vyombo vyake vyote imeshindwa kulitatua suala la Ihefu.
Sasa tunashituka Kidatu maji hakuna, Bwawa la Nyerere linatishia kuwa a white eleohant!
Hivi kuna uhujumu uchumi zaidi ya huu?
Cha kuchekesha kama si kufadhaisha, hivi inabidi Waandishi wa habari wateme ukweli kuwa kuna ka Gang of 12 walioikaba nchi wakati huu wa ukame?
Haingii akilini, lazima kuna mtu mkubwa kawekwa mfukoni!
Tazama kilimo kinavyofanyiwa mapinduzi kwa mapana yake kuliko kutazama zao moja la msimu kama sukari, tazama juhudi za mbolea zinavyoendeshwa kitaalam pasipo kukurupuka na madhara ya maamuzi.Mambo makubwa ya Sukari na prf Mkenda SSH eti alisemaje. Suala la sukari ni kubwa au dogo?
Suala la mikopo ni kubwa au dogo? Alipolizungumzia ndugai nini ilikuwa reaction ya SSH? Hili nalo ni suala kubwa au dogo?
Suala la kula kwa urefu wa kamba ni kubwa au dogo? Jiji msimamo wa SSH kuhusu kula kwa urefu wa kamba.
Suala la KU-bar watu ambao hawaungi mkoni namna anavyoendesha serikali ni kubwa ua dogo?
Suala eneo la Ihefu, chanzo cha mto mkuu wa Ruaha, limekuwa likilalamikiwa kwa miaka sasa.
Najua serikali imekuwa ikilishughulikia hili tatizo la kuingiliwa Ihefu kwa nyakati tofauti, lakini ni kama imekuwa funika kombe wanaharamu wapite.
Nashindwa kuelewa, inakuwaje mtu, watu wanachepusha mto mzimaa!!!
Na serikali hiyohiyo ipo.
Wafugaji wenye makundi ya ng'ombe 3,000 hadi 10,000 wameshidwa kudhibitiwa kwa miaka!
Kweli?
Serikali na vyombo vyake vyote imeshindwa kulitatua suala la Ihefu.
Sasa tunashituka Kidatu maji hakuna, Bwawa la Nyerere linatishia kuwa a white eleohant!
Hivi kuna uhujumu uchumi zaidi ya huu?
Cha kuchekesha kama si kufadhaisha, hivi inabidi Waandishi wa habari wateme ukweli kuwa kuna ka Gang of 12 walioikaba nchi wakati huu wa ukame?
Haingii akilini, lazima kuna mtu mkubwa kawekwa mfukoni!
Hini nawezaje kutofautisha kati ya aliyewekwa mfukoni na aliyeweka mfukoni??erikali na vyombo vyake vyote imeshindwa kulitatua suala la Ihefu.
Mbolea ipi imeratibiwa kwa utulivu?.Watu tulianikwa juani kama dagaa tukigombea kujiandikisha Sasa hivi tunazurura na vocha mbolea hakuna.Mfano Mbeya na Songwe hakuna mbolea.Inasemekana wasambazaji hawajalipwa waliosambaza awamu ya kwanza.Tazama kilimo kinavyofanyiwa mapinduzi kwa mapana yake kuliko kutazama zao moja la msimu kama sukari, tazama juhudi za mbolea zinavyoendeshwa kitaalam pasipo kukurupuka na madhara ya maamuzi.
Suala la mikopo ni kubwa na SSH na serikali yake wanatambua hilo na kuna ongezeko kubwa la upatikanaji wa mikopo pamoja na wafanyakazi kulipwa mishahara yao, kumbuka walikuwa na miaka mitano ya kuondoka mikono mitupu.
Kula kwa urefu wa kamba ni tafsiri hasi ya baadhi ya wapinzani wa serikali, ilikuwa na maana nyingine tofauti kabisa na hii inayosambazwa mitandaoni.
Ndugai alileta dharau akimuona rais ni mwanamke hakujua wala kutegemea muitikio aliokutana nao, kama Ndugai wapo wengi sana ndani ya serikali na CCM ni kasumba za mfumo dume.
Sidhani kama kuna lolote linalowakuta wapinzani wa serikali kwa sasa kama ukiamua kulinganisha na awamu zilizotangulia.
Engineer msomi Jidu La Mabambasi tukisema CCM na watendaji wake wameoza ujue hatutanii. Nchi imepoteza mwelekeo kila aliyeko kwenye nafasi anafanya ayatakayo, yanayompa raha yeye, tumbo lake na sehemu zake za siri. Bila kujalisha anaumiza na kutesa wangapiSuala eneo la Ihefu, chanzo cha mto mkuu wa Ruaha, limekuwa likilalamikiwa kwa miaka sasa.
Najua serikali imekuwa ikilishughulikia hili tatizo la kuingiliwa Ihefu kwa nyakati tofauti, lakini ni kama imekuwa funika kombe wanaharamu wapite.
Nashindwa kuelewa, inakuwaje mtu, watu wanachepusha mto mzimaa!!!
Na serikali hiyohiyo ipo.
Wafugaji wenye makundi ya ng'ombe 3,000 hadi 10,000 wameshidwa kudhibitiwa kwa miaka!
Kweli?
Serikali na vyombo vyake vyote imeshindwa kulitatua suala la Ihefu.
Sasa tunashituka Kidatu maji hakuna, Bwawa la Nyerere linatishia kuwa a white eleohant!
Hivi kuna uhujumu uchumi zaidi ya huu?
Cha kuchekesha kama si kufadhaisha, hivi inabidi Waandishi wa habari wateme ukweli kuwa kuna ka Gang of 12 walioikaba nchi wakati huu wa ukame?
Haingii akilini, lazima kuna mtu mkubwa kawekwa mfukoni!
Waliangamiza mazao yote ya Mh. Mbowe, eti kalima kando ya mto sasa yanawarulidia wenyewe, tehe tehe tehe...
Inawezekana !!Ni tatizo la kimfumo, na linatatuliwa kwa katiba.
Engineer msomi Jidu La Mabambasi tukisema CCM na watendaji wake wameoza ujue hatutanii. Nchi imepoteza mwelekeo kila aliyeko kwenye nafasi anafanya ayatakayo, yanayompa raha yeye, tumbo lake na sehemu zake za siri. Bila kujalisha anaumiza na kutesa wangapi
Nakubaliana na wewe ingawaje si tatizo la CCM bali la mtu mmoja mmoja anaye faidisha tumbo lake.Engineer msomi Jidu La Mabambasi tukisema CCM na watendaji wake wameoza ujue hatutanii. Nchi imepoteza mwelekeo kila aliyeko kwenye nafasi anafanya ayatakayo, yanayompa raha yeye, tumbo lake na sehemu zake za siri. Bila kujalisha anaumiza na kutesa wangapi
Hivi unazani hiyo serikali haiwajui hao watu? Kakwambia nani wanafahamika au kufahamiana vizuri ndiyo maana akija kiongozi anayefuatilia hizo mambo lazima wamkule tena mchana kweupe, tunamuombea huyo Balile MUNGU mwenyewe amlinde, hapo hapo ni kesi ya tumbili kupelekwa kwa nyani,Nakubaliana na wewe ingawaje si tatizo la CCM bali la mtu mmoja mmoja anaye faidisha tumbo lake.
Niliguswa sana na presentation ya yule mwanahabari Balile, ambaye alilieklezea tatizo la Ihefu kwa uchungu sana.Wanaofanya madudu hayo wapo, serikali inawajua lakini haichukui hatua.
Nani anapiga ganzi?
Hayo ni matatizo madogo sana na ni ya muda mfupi. Ni kama wakati wa JPM wakulima wa korosho walivyoteseka na maamuzi ya rais ya moja kwa moja.Mbolea ipi imeratibiwa kwa utulivu?.Watu tulianikwa juani kama dagaa tukigombea kujiandikisha Sasa hivi tunazurura na vocha mbolea hakuna.Mfano Mbeya na Songwe hakuna mbolea.Inasemekana wasambazaji hawajalipwa waliosambaza awamu ya kwanza.