Suala la Ihefu: Mtu mkubwa Serikalini amewekwa mfukoni?

Hili tatizo linaweza likawa na mizizi mikubwa zaidi ya tunavyofikiria
 
Wamerudi au walikuwepo? Nani aligusa hapo? Mwendazake au?

Tuendelee hivi hivi Kukosa umeme na kumlaumu January ili akili zikae sawa..

But Nina matumaini Kama Samia kaweza Kwa Masai hapa Ihefu Ni Jambo dogo tuu kwake.

..Dr.Ssh na Jm ndio waliokuwa na dhamana ya mazingira wakati wa Mwendazake.

..huenda alishawekwa mfukoni wakati akiwa makamu.
 
Vepe hao watu 12 hajawataja tu

Ova
 
Inahitaji hii nchi tupate kiongozi mwenye roho kama Samwel Doe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Vp hao watu 12 bado tajwa tu [emoji1]

Issue itaishia kusema watu 12

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…