Suala la Jezi Zilizo Kamatwa Limeishia Wapi? Waziri Alitudanganya?

Suala la Jezi Zilizo Kamatwa Limeishia Wapi? Waziri Alitudanganya?

5 Nyingi

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2023
Posts
246
Reaction score
605
Ni wiki 3 zimepita tangu shehena ya jezi zinazo semekana kuwa ni fake kukamatwa, baada ya sinto fahamu hatimaye Waziri Ashatu Kijaji akajitokeza na kusema kuwa serikali inalifanyia kazi na taarifa kamili itapatikana ndani ya siku 7.

Kwanini serikali idanganye wananchi wake? Kwanini waziri hajatupa mrejesho wowote baada ya siku 7? Je ni dharau kwa wananchi? Au labda amesahau? Ikumbukwe kuwa si mara yakwanza kwa bi Ashatu Kijaji kudanganya umma, rejea kipindi kile cha mfumuko wa bei.

Ndugu Ashatu Kijaji bado mmiliki wa jezi hajafahamika? Au amefahamika ila unamwogopa?
 
Ni wiki 3 zimepita tangu shehena ya jezi zinazo semekana kuwa ni fake kukamatwa, baada ya sinto fahamu hatimaye Waziri Ashatu Kijaji akajitokeza na kusema kuwa serikali inalifanyia kazi na taarifa kamili itapatikana ndani ya siku 7.

Kwanini serikali idanganye wananchi wake? Kwanini waziri hajatupa mrejesho wowote baada ya siku 7? Je ni dharau kwa wananchi? Au labda amesahau? Ikumbukwe kuwa si mara yakwanza kwa bi Ashatu Kijaji kudanganya umma, rejea kipindi kile cha mfumuko wa bei.

Ndugu Ashatu Kijaji bado mmiliki wa jezi hajafahamika? Au amefahamika ila unamwogopa?
Ishapita hiyo
 
Hiyo dili haligusiki, sio Polisi wala Waziri analiweza ..
Dili LA MTU mwenye hela zake ...

Hapo ni Simba na Yanga kukaa mezani kwa ukimya waone wataambulia senti ngapi ...katika mauzo...
 
Ni wiki 3 zimepita tangu shehena ya jezi zinazo semekana kuwa ni fake kukamatwa, baada ya sinto fahamu hatimaye Waziri Ashatu Kijaji akajitokeza na kusema kuwa serikali inalifanyia kazi na taarifa kamili itapatikana ndani ya siku 7.

Kwanini serikali idanganye wananchi wake? Kwanini waziri hajatupa mrejesho wowote baada ya siku 7? Je ni dharau kwa wananchi? Au labda amesahau? Ikumbukwe kuwa si mara yakwanza kwa bi Ashatu Kijaji kudanganya umma, rejea kipindi kile cha mfumuko wa bei.

Ndugu Ashatu Kijaji bado mmiliki wa jezi hajafahamika? Au amefahamika ila unamwogopa?
Hilo ni jambo la kawaida tu Bwashee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kirefu chake???
Home Shopping Centre . Hawa ni wataalam wabobevu wa kukwepa kodi waliishika TRA na TPA enzi za awamu ya nne na kama tujuavyo awamu ya sita ni kivuli cha awamu ya nne ndiyo maana ya ukimya huu. Ndiyo maana huyu dogo mwenye komwe kama Mandonga alivyojitia kiherehere kufuatilia watu walikuwa wanamcheka tu kuwa anataka kuukata mkono unaomlisha.
 
Tanzania tunafuatilia vitu mwanzoni tu ila baada ya hapo hatuna mda tena.
 
Ni wiki 3 zimepita tangu shehena ya jezi zinazo semekana kuwa ni fake kukamatwa, baada ya sinto fahamu hatimaye Waziri Ashatu Kijaji akajitokeza na kusema kuwa serikali inalifanyia kazi na taarifa kamili itapatikana ndani ya siku 7.

Kwanini serikali idanganye wananchi wake? Kwanini waziri hajatupa mrejesho wowote baada ya siku 7? Je ni dharau kwa wananchi? Au labda amesahau? Ikumbukwe kuwa si mara yakwanza kwa bi Ashatu Kijaji kudanganya umma, rejea kipindi kile cha mfumuko wa bei.

Ndugu Ashatu Kijaji bado mmiliki wa jezi hajafahamika? Au amefahamika ila unamwogopa?
Hizi jezi ziliingizwa ma mtoto wa mama mmoja mkubwa sana hapa nchini
 
Home Shopping Centre . Hawa ni wataalam wabobevu wa kukwepa kodi waliishika TRA na TPA enzi za awamu ya nne na kama tujuavyo awamu ya sita ni kivuli cha awamu ya nne ndiyo maana ya ukimya huu. Ndiyo maana huyu dogo mwenye komwe kama Mandonga alivyojitia kiherehere kufuatilia watu walikuwa wanamcheka tu kuwa anataka kuukata mkono unaomlisha.
Nimekuelewa vizuri mkuu
Kama ni hivyo imeisha hiyo
 
Back
Top Bottom