Suala la Jezi Zilizo Kamatwa Limeishia Wapi? Waziri Alitudanganya?

Suala la Jezi Zilizo Kamatwa Limeishia Wapi? Waziri Alitudanganya?

Nimejiuliza Sana hii
SI waziri,Wala klabu zote wapo kimya.
Hapo ujue hizi klabu zinaujumiwa Sana Zina uwezo wa kujiendesha Kama watapa support ya serikali.
Ukute milioni 500 za stars kutoka kizimkazi ni faida ya jezi
 
hapa ndipo tunapotofautiana na watu wengi huko nje! sisi waandishi wa habari ni wa masilahi wanajua kwel kuandika ila hawajui kuwa habari inasehem tatu, mhim
1)kugundua
2)kutoa taarifa
3)kuhitimisha

kugundua

wapo vizri mno mnooooo

kutoa taarifa

there genius kabisaaaaaa


kuhitimisha


wanageuka kuwa waandishi wa riwaya kila mtu amalizie story


je kama jambo dogo tu la kujua mmliki halali wa hicho kilichoitwa jezi feki wameshindwa kumtaja,(siyo kwamba hawamjui)

je unahisi kwel wataweza kumtaja anaeiba fedha za umma? au kuhujumu uchumi?


hata hivyo tusijilaum Sana ndyo kwanza tupo awamu ya 5(rais wa 6) kuna nchi huko ina rais wa 46, kwel tujilinganishe nayo?

tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini..
 
Back
Top Bottom