Suala la Karim Mandonga: Vyombo vya habari vimechemka

Sisi mashabiki wa mandonga tupo nae hadi afie ulingoni, mandonga mtu kazi
 
I'lo jambo alifanya chumbani kwake

Hao watu wa media walimwona wapi
Hujaona promo za kwanza kabla ya kupigwa lile pambano la kwanza? Hakuna mwandishi anayekuja kukufanyia promo ya level ile bure unless ameona kuna fursa ya trafic sababu tayari ww unafuatiliwa na akikufatilia ni habari kwake. Mandonga alijipa thamani ndio waandishi wakaendeleza alipoishia.
 
Mandonga ajielewe mambo ya kutumiwa na waandishi na kuachwa yapo sana hata ww mtu kama hana manuufaa kwako utaendelea hangaika nae
 
Reactions: Tsh
Kwani hawamlipi wanapompa hizo kazi kwa sasa? kama wanamlipa, palipobaki ni jukumu la Mandonga mwenyewe.
 
Suala la kujijenga kimaisha ni la kwake,hakuna kazi ya milele,hata urais una mwisho wake,walioajiriwa wanajua kuwa kuna siku watastaafu ndo maana wanakumbika kujenga na kusomesha watoto,sasa yy kam anasubiri kuna mtu aje amwambie huo umaarufu una mwisho hilo ni tatizo lake binafsi!!tukutane uzeeni!!
 
Mandonga ajielewe mambo ya kutumiwa na waandishi na kuachwa yapo sana hata ww mtu kama hana manuufaa kwako utaendelea hangaika nae
Waandishi wanatengeneza pesa ni kazi yake kuhakikisha kuna win win.
 
Kazi ya kubaki kileleni ni yake. Mandonga inabidi aitumie hii nafasi vizuri na abaki kileleni. Kwanza yule inaonekana ana kipaji cha ukomedi. Pia awe consistent kwenye ngumi. Ndo atabaki kwenye picha kwa muda mrefu.
by consistent, you mean aendelee kudundwa πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ ? Maana mpaka sasa hivi umaarufu wake umekuja kupitia mikwara mingi kabla ya pambano na kudundwa kwenye hilo pambano.
 
by consistent, you mean aendelee kudundwa πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ ? Maana mpaka sasa hivi umaarufu wake umekuja kupitia mikwara mingi kabla ya pambano na kudundwa kwenye hilo pambano.
Non kupigwa au kushinda ni matokeo. Wangapi wamepigwa na hawakutrend ?Jamaa alijiuzaa sana kwa mdomo kabla ya pambano.Huyu jamaa hata akishinda ataendelea kuwa habari ya mjini.
 
Jamaa akipata awekeze. Mfano akifungua mgahawa atumie promo mfano '' hapa mmeingia na maatumbo meupe kwenye mgahawa wa mandonga, hapa ni mtangula ndonga na michuzi mpaka mvimbiwe na kukaa''.
[emoji736][emoji736][emoji736]
 
Kwa umri alionao kama bado hajatambua hili hata vyombo vya habari vikimfunza hatosikia
 
Swala ni kwamba ukishapata nafasi ukawekwa kwenye mainstream unawezaje kuendelea kutumia hiyo fursa kufanya mambo yako yaende?,, unaweza kusimama mwenyewe na kuendelea kutumia fame uliyopata?…au unataka uendelee kubebwa!
 
Mimi niliamini Shabani Kaoneka kweli kayakanyaga hata gemu yao sikuangalia nilijua Mandonga ataua mtu kuamka asubuhi naambiwa yeye ndio kapigwa nilishangaa sana wacha apate hela kaifanyia kazi...maana kwanza sikujua kwamba lile pambano lao sio la utangulizi...
 
Shaban Kaoneka umeyakanyaga, muandalieni kaburi huyu, Mungu anakataza tusiuane lakini huyu nitamtoa roho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…