Suala la kocha wa kuinoa Taifa Stars, TFF umakini unahitajika sana

Ubaguzi wa namna hii ulishakemewa sana na Rais wetu wa awamu ya kwanza. Mbona kuna Timu nyingi tu zinafundishwa na makocha wasio wazawa? na timu zao zinatwaa ubingwa. Huyu kocha wetu amekukera nini?
Hao wa TFF?
 
wanapeana kazi kishikaji, huyu Bwana TFF-KARIA nafasi zote za ajira hajawahi kuzitangaza anaweka watu kipyume na taratibu na serikali inamwangalia tu!
 
Ettiene hastahili kuwa kocha mkuu wa Taifa stars.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…