Kocha wa timu ya taifa mbona tayari ameshapatikana. Ni Ndairagije ambaye anakaimu kwa sasa. Bado hajatambulishwa rasmi tu. Waziri wa michezo tayari ameshafanya kikao na Azam na amewashauri Azam watafute Kocha mwingine. Huyu Ndairagije anapewa majukumu ya Timu ya Taifa. Nao Azam kiroho saaafi wameshakubali.