Suala la kufunga shule kupisha ugeni lilitakiwa kupangwa mapema

Suala la kufunga shule kupisha ugeni lilitakiwa kupangwa mapema

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Mimi huwa nalia na watendaji na washauri wa mamlaka za juu. Imagine ziara ya Marais kuja mkutanoni Tz ilifahamika miezi kadhaa nyuma. Halafu taarifa ya kufunga shule na vyuo Jijini Dar imetolewa Usiku huu.

Kiutaratibu taarifa inatolewa na serikali then taasisi, shule na vyuo husika ndipo nao wawajulishe watu wao. Sasa leo baada ya kupata taarifa kupitia social media ndipo watumishi wanawapigia waajiri wao kujiridhisha, vilevile wazazi wanapiga simu kwa walimu kujiridhisha.

Soma Pia: Baadhi ya watumishi wa umma Dar kufanyia kazi nyumbani Januari 27 na 28, 2025 sababu ya Mkutano wa Nishati Afrika

Nadhani taarifa ingetolewa wiki kabla waajiri , vyuo na shule wangewajulisha watu wao kwa taratibu za kazini/ shuleni kwao

Anyway huenda ni dharura
 
Kiasi hata wananchi wa hali ya chini wamewazidi upeo watendaji wa serikali.
Ushauri huu ulitolewa tokea mwanzo ila wao sijui huwa wanawazaga nini.

Asilimia kubwa sana wanafunzi wengi wataenda shule kisha wakifika ndio watajua serikali iliwataka wajisomee nyumba.
 
Mimi huwa nalia na watendaji na washauri wa mamlaka za juu. Imagine ziara ya Marais kuja mkutanoni Tz ilifahamika miezi kadhaa nyuma. Halafu taarifa ya kufunga shule na vyuo Jijini Dar imetolewa Usiku huu.

Kiutaratibu taarifa inatolewa na serikali then taasisi, shule na vyuo husika ndipo nao wawajulishe watu wao. Sasa leo baada ya kupata taarifa kupitia social media ndipo watumishi wanawapigia waajiri wao kujiridhisha, vilevile wazazi wanapiga simu kwa walimu kujiridhisha.

Soma Pia: Baadhi ya watumishi wa umma Dar kufanyia kazi nyumbani Januari 27 na 28, 2025 sababu ya Mkutano wa Nishati Afrika

Nadhani taarifa ingetolewa wiki kabla waajiri , vyuo na shule wangewajulisha watu wao kwa taratibu za kazini/ shuleni kwao

Anyway huenda ni dharura
tatizo kubwa
 
Mimi huwa nalia na watendaji na washauri wa mamlaka za juu. Imagine ziara ya Marais kuja mkutanoni Tz ilifahamika miezi kadhaa nyuma. Halafu taarifa ya kufunga shule na vyuo Jijini Dar imetolewa Usiku huu.

Kiutaratibu taarifa inatolewa na serikali then taasisi, shule na vyuo husika ndipo nao wawajulishe watu wao. Sasa leo baada ya kupata taarifa kupitia social media ndipo watumishi wanawapigia waajiri wao kujiridhisha, vilevile wazazi wanapiga simu kwa walimu kujiridhisha.

Soma Pia: Baadhi ya watumishi wa umma Dar kufanyia kazi nyumbani Januari 27 na 28, 2025 sababu ya Mkutano wa Nishati Afrika

Nadhani taarifa ingetolewa wiki kabla waajiri , vyuo na shule wangewajulisha watu wao kwa taratibu za kazini/ shuleni kwao

Anyway huenda ni dharura
Mkutano unafanyika posta afu shule iko Bunju , unaifunga.... Tena ni boarding school
 
Kwahy kisa huo ugeni ndo yanasababisha upuuzi wote huo, c ht hao wageni watashangaa mbona nchi haina watu wanaona majengo tuu. Ndo yaleyale ya kupiga deki barabara kisa Obama amekuja
 
Back
Top Bottom