kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Aaah we jamaaCha mana chenyewe wanachokuja kujadili hakipo
We umejuaje
Yaani barabara zifungwe na kusiwe na cha maana kweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah we jamaaCha mana chenyewe wanachokuja kujadili hakipo
kikubwa trump kaja kivingine ...labda Sasa wahamie usrusi na china kuomba misadaAaah we jamaa
We umejuaje
Yaani barabara zifungue na kusiwe na cha maana kweli?
Ngoja niangalie kama helicopter yetu iko salama. na ina mafuta. Wahuni watatufungia njia ya kupita ardhini....Heri ya mwaka mpya babu yangu mpendwa
Kesho saa ngapi?
Kwani kura si mnapiga wenyewe?Dah kumbe n Dar tuu, ila h nchi bhana. Kama vile inaongozwa na wapumbavu
Sijawahi kupiga kuraKwani kura si mnapiga wenyewe?
Inachekesha na kusikitisha sanaMkutano unafanyika posta afu shule iko Bunju , unaifunga.... Tena ni boarding school
Basi kaa kimya acha makasirikoSijawahi kupiga kura
Kwan mada inahusu wapiga kura?Basi kaa kimya acha makasiriko
Si kuna mtu wa Maana mmoja atakuja Captain Mwamba Noor Taa ya Africa.Cha mana chenyewe wanachokuja kujadili hakipo
Ahahah..hapana ila wachangiaji ni wapiga kuraKwan mada inahusu wapiga kura?
Bc tulia, naweka comment yangu popote pale napotakaAhahah..hapana ila wachangiaji ni wapiga kura
Ila hapa kwenye ujio wa mzeebaba Trump kiukweli hali inaenda kuwa tete kwa hizi nchi za ulimwengu wa tatukikubwa trump kaja kivingine ...labda Sasa wahamie usrusi na china kuomba misada
Hilo ndo kubwa ....misaada kwasasa itakuwaje