Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Akimgusa anapigwa teke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanawake wenzangu ni magaidii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akimgusa anapigwa teke.
Iko hivyo Mkuu, meseji moja tu ya mpesa inaweza ikafanye upewe hadi vya uvunguni siku hiyo🤗Nimecheka sana
Diijeiii dijeiii walete wake za watu na kibao Baba paroko toka kwa king kikiiii...hiii imeendaaaAkimgusa anapigwa teke.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anafkir na ww unapenda huo ujinga ujingaUsiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka,
Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
Yamenikuta hayo,leo naenda kulala kwa mchepuko tuUsiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka,
Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
Alafu mbaya zaidi siku hiyo unakuwa na mzuka ile mbaya yani lile akili ya kumuacha inaanza hapo hapo.Usiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka,
Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
oyaa unaumizwa na ke moja umeiweka ndani kabisa? we mtoe out siku moja sapraiz mpitishe kimboka saa moja na nusu nenda nae concord kariakoo[sikukuu street usiku] akiona wenzake wanavyoiuza kwa bei nafuu atajua dhahabu aliyonayo kwenye mji wake.Usiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka,
Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
sms za muamala zinatosha wewe jikite kumpa amani na mahitaji yake home mpende mjali sms ikitokea ni kuwajulia hali mchana.Mchana wote mke hajaona dalili ya upendo hata kidogo, hakuna msg wala simu umwambie mkeo neno zuri zuri... Mnatoka kazini mume hujaona hata pipi njiani pia hata karanga ya 500? Unafika nyumbani hujui hata neno moja tamu la kumwambia mke... hata kumkonyeza hakuna...hata kumbambia mmekutana koridoni kidogo hakuna! Mnapanda kitandani ndio unakumbuka kuwa una mke unatia tia tu kama kuku unamaliza unageukia pembeni unakoroma...jinga kabisa wewe. Kesho yake ukiomba tena lazima unyimwe. Wote mnaolalamika huu ndio utaratibu wenu katika mapenzi. Ninakotoka mimi ni aibu kubwa mume kulalamika amenyimwa unyumba.
Acha uboya.. unamilikije demu mmoja?Usiku unaambiwa amechoka hadi asubuhi, asubuhi unambiwa ngoja nimalizie usingizi, yani unapigwa danadana kama unaomba kazi vile au nini.
Af we unahasira mtu kakunyima, anaingia kwenye simu anakuonesha ujinga ujinga aloukuta huko mitandaoni anadhani we uko kwenye mood ya kucheka,
Kuna wanawake ni pasua kichwa sana
OvaKwani unyumba huwa unaombwa boss? Huwa unasema “njoo tufanye mapenzi”?
mwenyewe nimeshanga sana, mimi huwa na mpigapiga makalio tayari ana elewa nini nataka na hakuna muda wa dialogueKwani unyumba huwa unaombwa boss? Huwa unasema “njoo tufanye mapenzi”?