Suala la Machinga, yafanyike haya

Suala la Machinga, yafanyike haya

Huna hoja wala mchango wa msingi kwenye hili, hujielewi, hulijui tatizo wala huwezi kuwa na suluhu unaongeaongea tuu sababu ya chuki zilizokujaa, choyo, roho mbaya na ubinafsi.

Ukipunguza roho mbaya na kufurahia maumivu ya wengine utaweza kujenga hoja za msingi na zenye maendeleo kwako na wengine.

Kwa taarifa yako tuu hakuna mtu mwenye akili anayechukia kodi maana kodi ni kwa maendeleo ya taifa ukiwamo wewe na hao wamachinga.

Na serikali inajua ipange utaratibu gani ili kila mmoja, tulia serikali ifanye kazi zake kwa utaratibu inayoona ni sahihi
Hahahahah yani unachekesha
U must be illiterate...ama if you are literate unafumbia macho tatizo kama JPM....kuleta siasa..wkt taratibu zinajulikana...jaribu kupunguza emotions kidogo and be objective kiasi...hata kidogo tu...

utaratibu ni SHERIA mama..na km nchi tumejiwekea na watu wote wanafuata
Isipokua machinga...hahaha
Machinga wakiumia ama wakipata unadhani mi nanufaika nini kwa mfano..i have nothing to gain and nothing to lose...

I am simply stating kuna tatizo la uholela na uvunjifu wa sheria na tatizo ni nani na nani kalilea na mwishowe watalitatua kina nani...ofcourse Serikali hao hao...when the Govt decides for u my friend mtanyooka...cz msingi wa Serikali ni SHERIA...

time will tell trust me...kwenye hili subiri mipango miji waje...
safisha safisha itapita and that is law and order...ndo the proper way of life kama tunataka kutengeneza maisha bora ya wananchi ambayo ni sustainable...na ijulikane in life hakuna shortcuts.....

ukosefu wa ajira upo ila uholela sio suluhu...nchi ni yetu sote ..wote tujitaftie kipato ila wote pia tufate sheria na kodi tulipe...

Mama kashawaandaa kisaikolojia utekelezaji utafuata..this will be painful to them but no way..in every revolution some must be eliminated..either machinga ama viongozi.,wapo viongozi hili suala litaondoka nao tuu..usidhani ni machinga pekee..bt no way..kama nchi lazima tuishi kwa utaratibu.....hayo ndio maendeleo....

Serikali utaratibu wake masoko yapo mjini na kila maeneo...ni suala la hawa watu kupangwa...
 
Hahahahah yani unachekesha
U must be illiterate...ama if you are literate unafumbia macho tatizo kama JPM....kuleta siasa..wkt taratibu zinajulikana...jaribu kupunguza emotions kidogo and be objective kiasi...hata kidogo tu...

utaratibu ni SHERIA mama..na km nchi tumejiwekea na watu wote wanafuata
Isipokua machinga...hahaha
Machinga wakiumia ama wakipata unadhani mi nanufaika nini kwa mfano..i have nothing to gain and nothing to lose...

I am simply stating kuna tatizo la uholela na uvunjifu wa sheria na tatizo ni nani na nani kalilea na mwishowe watalitatua kina nani...ofcourse Serikali hao hao...when the Govt decides for u my friend mtanyooka...cz msingi wa Serikali ni SHERIA...

time will tell trust me...kwenye hili subiri mipango miji waje...
safisha safisha itapita and that is law and order...ndo the proper way of life kama tunataka kutengeneza maisha bora ya wananchi ambayo ni sustainable...na ijulikane in life hakuna shortcuts.....

ukosefu wa ajira upo ila uholela sio suluhu...nchi ni yetu sote ..wote tujitaftie kipato ila wote pia tufate sheria na kodi tulipe...

Mama kashawaandaa kisaikolojia utekelezaji utafuata..this will be painful to them but no way..in every revolution some must be eliminated..either machinga ama viongozi.,wapo viongozi hili suala litaondoka nao tuu..usidhani ni machinga pekee..bt no way..kama nchi lazima tuishi kwa utaratibu.....hayo ndio maendeleo....

Serikali utaratibu wake masoko yapo mjini na kila maeneo...ni suala la hawa watu kupangwa...
Umenikumbusha sinema ya rules of engagement- Samuel Jackson alitamka maneno yanayofanana na uliyotamka hapo

Kiukweli hakuna namna ni lazima tuipange vizuri miji yetu tunayoijenga kwa gharama kubwa sana!

Hakuna shida yeyote binadamu tukaishi kistaarabu, kwenye kuishi kistaarabu Pia kila mtu anaweza pata mkate Kama kawaida

Napongeza Serikali kwa kufuata ushauri wangu nilioutoa kwenye thread hii

Maamuzi shirikishi yatafanikisha kupanga miji yetu vizuri na kutufanya sote tuishi kistaaarabu
 
Hahaha ujue unachekesha sana...

kwa jinsi mnavyopenda cheap popularity badala ya kueleza watu ukweli
Yani wabongo bwn....mi siumii niumie kwa lipi
Sana sana am very happy tunaenda kupata suluhu na kodi zitaongezeka maradufu...

Yani mtu uwe na duka lao unalipia kila kitu afu we ndo uhame kupisha machinga ahahahaha unachekesha sana we dada..yani zaidi ya sana..atahama machinga i tell you...yuko mbele ya duka la mtu bila uhalali...
Nyie ndo mlichangia hili tatizo..sijui kwanini mnajisahaulisha kuwa kila raia ana haki..km wengine wanafata sheria machinga ye ni nani asifuate?..sheria msumeno

ngoja tukae kimya...subiri hilo pangua pangua ndo utajua Serikali ni nani...
Tena na kodi watalipa wakishapangwa
Wanaelekea maisha wasiyoyapenda ila ndio maisha sahihi na halisi wenye fremu wote mbona wanalipa....
Pata kipato lipa na kodi
Free riding ndo inaishiaa hivyo hahahahah mtajua hamjui nakwambia u will know u dont knoww...

serikali jmn wahi muanze toza kodi hawa watu nchi itunishe mfuko heheh
Ni hatari sana kila siku kuongeza kundi la watu wanaoingiza mapato kwa kigezo cha umachinga!

Ndo mana hata TRA wanashindwa kuwa effectieve maana kila kona ni machinga tu!

Hili kundi likiwekew utaratibu tutaanza kupata kodi na kuendesha nchi yetu bila kuhitaji mikopo au misaada kufanya miradi yetu ya kimaendeleo
 
Ni hatari sana kila siku kuongeza kundi la watu wanaoingiza mapato kwa kigezo cha umachinga!

Ndo mana hata TRA wanashindwa kuwa effectieve maana kila kona ni machinga tu!

Hili kundi likiwekew utaratibu tutaanza kupata kodi na kuendesha nchi yetu bila kuhitaji mikopo au misaada kufanya miradi yetu ya kimaendeleo
Simplest way ni machinga wajiunge vikundi wapangishe fremu
Cost sharing itawasaidia
Fremu nyingi tu kariakoo wanafanya hivyo mfano wauza simu...

So same way kila mtu na biashara yake wajipange

Wakiwa na fremu serikali itawatambua na kodi watalipa na utaona hii nchi itakavyokuwa nzuri mana Serikali itakusanya kodi balaa...
Cz kila mtu atageuka balozi wa kustopisha uholela wa biashara...

Na tutazoea...na miji itakua safi

Uzuri Samia wala hana presha
Kimya kimyaa tuu ananyoosha watu wanafata sheria

Mfano posta ile majengo mengi sana hayana wapangaji ht mnazi mmoja
Machinga jipangeni watu wakikosekana barabarani watafata huduma kwenye fremu husika..tutazoea


Japo tujiandae hii process si nyepesi some people must be eliminated...#NO WAY
Tumeweka sheria tuzifuate
 
Kwanza kabisa napenda kupongeza serikali kwa maamuzi waliyoanza kuyafanya ya kuwaondoa Machinga katika maeneo ambayo hawatakiwi kuwepo Mf Barabarani na kwenye maeneno ya miji yenye shughuli za kiofisi n.k

Tulishauri hapa na tumeshauri hapa kwa miaka mingi sana namna ya kuhandle hili jambo na nashukuru sasa Serikali wameona kuna haja lianze kufanyiwa kazi.

Kwanza napenda kusema wazi Tatizo la mipango mibovu kwenye miji yetu, majiji yetu ikiwemo kuzagaa hovyo kwa machinga ni matokeo ya uvivu, uzembe , kukosa exposure na kutowajibika kwa kipindi kirefu sana Kwa watendaji wetu! Hii ni Kwa sababu suala la machinga lilitakiwa kuanza kufanyiwa kazi kwa kipindi kirefu sana na hata sasa hili kundi lingekuwa linafanya kazi katika maeneo yaliyopangwa vizuri na hata lingekuwa linalipa kodi Kama makundi mengine ya wafanyabiashara.

Napendekeza katika kuangalia mipango ya muda mfupi na mrefu! Suala la machinga lishughulikiwe Kama ifuatavyo

1. Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Watendaji Wao, waande kufanya vikao vya majadiliano na Machinga. Wawaeleze kuhusu umuhimu wa wao kuendelea kufanya biashara ila kwenye maeneo rasmi, yaliyopangwa vizuri na kuwekewa utaratibu mzuri. Vikao hivi Vifanywe kwenye maeneo halisi walipo Machinga/ Wafanyabiashara wadogo wadogo.

2. Wakuu wa Mikoa, Wilaya, waandae maeneo hayo rasmi yenye mzunguko mkubwa wa watu mf. Karibu na vituo vya mabasi au ofisi au masoko na wawape tenda hata vijana wetu wanaosoma chuo cha ardhi wadesign aina ya majengo/ vibanda ambayo vinatakiwa kujengwa kwenye maeneo hayo. Michoro hiyo ikishapitishwa, Uongozi wa Majiji na Miji husika ndo ujenge na kusimamia ujenzi wa hayo structures izo - Ziwe na standard moja zinazofanana na zijengwe kisasa.

Msisitizo uwekwe kwenye kujengwa structures izo kwenye standard za juu za ubora ambazo haziruhusu miji kuchafuka. Zikishajengwa then wafanyabiashara wadogo wadogo wapangiwe kufanya kazi kwenye maeneo hayo. Kwa utaratibu wa kuzingatia usafi na mpangilio bora.

3. Uwekwe muongozo wa Wafanyabiashara kufanya biashara kwenye maeneo hayo. Ziteuliwe kamati za Wafanyabiashara hao hao katika kusimamia iyo miongozo itakayogusa namna ya kufanya biashara, jinsi ya kuzingatia usafi na mpangilio. Endapo eneo husika litakiuka hiyo miongozo uwajibishwaji uanze kwa kamati husika. Kuwe pia na penalties katika kukiuka iyo miongozo ikiwemo fine na hata kuzuiwa kufanya biashara kwenye eneo hilo.

4. Endapo mfanyabiashara anahitaji kufanya biashara nje ya eneo lililopangwa na kutengwa Kwa ajiri ya yeye kufanya biashara, kuwe na Miongozo maalum ya namna mfanyabiashara huyo anatakiwa kufanya biashara yake kwenye eneo hilo, namna anavyotakiwa kujenga eneo lake la biashara na Pia wawekewe kodi maalum ya kulipia ili afanye biashara kwenye eneo hilo ambalo ni nje ya eneo lililotengwa kwa kufanyiwa biashara. Kiwango cha kodi ambacho mfanyabiashara hiyo anatakiwa kulipa katika kufanya biashara kwenye eneo hilo lazima kiwe juu zaidi kuliko kiwango anachotakiwa kulipia katika maeneo ambayo wenzake wametengewa kufanya biashara.

Mwisho napenda kumpongeza Mama Samia kwa kuruhusu hili lifanyike. Naomba tu haya mawazo yazingatiwe maana tutaweza kumaliza hili Tatizo la uchafuzi wa miji na kuharibika kwa majibu yetu kutokana na ufanyaji wa biashara holela usiozingatia mipango miji na ukusanyaji wa kodi.

Naomba kuwasilisha
Kama kweli uliandika hivi basi ulilenga mlemle .mikoa zaidi ya 5 niliebahatika kuona zoezi hili likifanyika wametekeleza ulichomanisha hasa kutenga maeneo kalibu na stend ,
 
Back
Top Bottom