Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu mnajikuta wanaharakati! Kumbe pumba tuHata nguvu ya kusalimia sina.....
Mji mzima kila mtu analalamika maji hakuna.....
Hatuogi, hatufui, hatupiki....maji yamekuwa kama madini.....mtaani hayapatikani, na watu wa magari wanaosambaza hawauzi tank moja la lita 1000 ni kuanzia lita 3000 tena kwa 120000 hizo lita 3000.
Hivi kweli sisi wanyonge wa nchi hii tutaishije? Ni kweli tuna raisi na viongozi wengine wanaojua matatizo yetu au ni kwamba wao wakishakaa kwenye viyoyozi ofisini na kwenye ma vieiti basi wanasahau kwamba kuna watu wanataabika huku mtaani?
Serikali imekosa utatuzi wa hili tatizo kweli? Week zaidi ya 3 maji hakuna bombani? Hata kwa kukosea tu wameshindwa kutupatia maji??
Mbona maisha yamekuwa magumu sana?
Ninaandika kwa uchungu mwingi sana.
Mbn sijakuona kwenye peace demonstration??Hata mimi nipo wilaya ya ubungo mkuu....
Ww unaweza kuwa sehem ya kutaka uhuru,na mwanaharakat wa KE,kuonesha ushujaa wako.Waliandamana wa luguruni mkuu
Wanayachukua hapo hapo dawasa kuna pipe.za kujaza maji kwenye.magariNinachoshangaa ni kwamba watu wa magari wao maji ya dawasa wanayatoa wapii wakati sisi tunaambiwa hayapo?
Siyo Mji Mzima sema Manispaa ya Kinondoni na Ubungo Ila kule Kigamboni,Temeke hata Ilala Maji yapo Watu walijitengenezea Mfumo binafsi usiokuwa unategemea serikali kwa maana Watu walichimba visima na Wakiobahatika kupata Maji yasiyo ya Chumvi walisambaza Kama wafanyavyo Dawasa .Hata nguvu ya kusalimia sina.....
Mji mzima kila mtu analalamika maji hakuna.....
Hatuogi, hatufui, hatupiki....maji yamekuwa kama madini.....mtaani hayapatikani, na watu wa magari wanaosambaza hawauzi tank moja la lita 1000 ni kuanzia lita 3000 tena kwa 120000 hizo lita 3000.
Hivi kweli sisi wanyonge wa nchi hii tutaishije? Ni kweli tuna raisi na viongozi wengine wanaojua matatizo yetu au ni kwamba wao wakishakaa kwenye viyoyozi ofisini na kwenye ma vieiti basi wanasahau kwamba kuna watu wanataabika huku mtaani?
Serikali imekosa utatuzi wa hili tatizo kweli? Week zaidi ya 3 maji hakuna bombani? Hata kwa kukosea tu wameshindwa kutupatia maji??
Mbona maisha yamekuwa magumu sana?
Ninaandika kwa uchungu mwingi sana.
Ooooh pole sana jiraniLabda tunakomolewa
Ndo maana kajiuliza wa magari wao wanapata maji ila sisi wa majumbani maji hakuna.... maajabu hayataisha tanzania hii
Milipuko ya kipindupindu dar itaanza...ilala maeneo ya amana hakuna maji mwezi mzima yaani hata hatujui tupo dunia ipi?
Maji yapo mengi sana bahari ya hindi mto msimbazi sema nyie watu wa dar mnadeka sanaNajiuliza hivi serikali haiwezi kutengeneza bomba kutoka ziwa viktoria la kusambaza Maji sehemu ambazo Maji safi hakuna
Kuna Mikoa kanda ya ziwa maji yake ni ya ziwa Victoria Ila napo hayatoki.Najiuliza hivi serikali haiwezi kutengeneza bomba kutoka ziwa viktoria la kusambaza Maji sehemu ambazo Maji safi hakuna