Suala la mishahara linakuzwa mno, tuzungumzie maslahi ya watumishi kwa ujumla

Umeandika kishabiki mno pasi kuangalia sheria ya ajira inasemaje! Hivi increments nayo ni hisani kwamba mpaka mtu aone amefurahije? Nn maana ya kitu kuwepo kwa mujibu wa sheria? Jema lipongezwe na la ugoro pia likemewe tusikae kupamba tu kama makondoo
 
wewe umetumwa kuandika usichokijua, kaa pembeni watumishi hawawezi kukuelewa kwa upupu uluoandika hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…