Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Wanajua kuzifuata, (kuzichangamkia), fursa Ndiyo wakati wa mavuno kwao wakati wa uchaguzi Ndiyo muda muafaka wa kuvuna, wajinga Ndiyo waliwaoHuyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Mkuu wewe upo kwenye mstari ulionyooka mama rula.Kwa kweli inasikitisha kuona watu wanawaingilia wenzao katika haki zao za kikatiba na kibinadamu.
Kwani msanii hatakiwi kushabikia CCM?
Mimi si mpenzi, mwanachama wala mshabiki wa CCM.
Lakini, kifalsafa, kila mtu ana haki ya kushabikia chama anachokitaka.
Tuwapinge watu kwa hoja, sio kwa sababu wameamua kushabikia chama fulani.
Kushabikia chama chochote anachoamua mtu, au mwanasiasa yeyote, ni haki ya uraia, ni haki ya kikatiba, ni haki ya kibinadamu.
Kwa nini watu wanaodai demokrasia wao wenyewe wanashindwa kuheshimu uamuzi wa watu wengine kushabikia vyama fulani au wanasiasa fulani, kitu ambacho ni sehemu ya demokrasia?
It is a philosophical point, that is to say, you can look at the same glass and say it is half empty while another can say it is half full.
Mtu akishakua famous et anakuja kugombea ubunge jimboni vijana nao mnampa kura bila kuona alishawai kuwa na mchango gani katika huo ufemous wake katika jamii yake kuna vijana makini unaona mchango wao eti leo babu tale mbunge nikasem tanzania vijana tunatakiwa tuwe na maono sio kila famous anawez kukuongoz utasikia uyo nae anakuja kugombea na mnampa sijui hao wanaoigiza nao mnawap kura pasipo kuona huyu ana impact kwel katika jamii zetuWewe uko na D2,amekariri kwamba msanii akijipendekeza anateuliwa na kupewa kitengo
Alikua msanii wa kimataifa kwenye mataifa gani??Huyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Hili Ni Tatizo lako la kutekwa na hisia za kichama, akili inakuwa diluted to the maximum.Wengi wenu mna ji contradict.
Mnapigania demokrasia, halafu mtu akitumia haki zake za kidemokrasia ku support CCM mnamshambulia.
Haki yako wewe ya kuchagua chama unachotaka ndiyo hiyo hiyo haki ya AY ya kuchagua chama anachokitaka.
Ukianza kuiminya haki ya AY kuchagua chama anachokitaka, unafungua mlango hata haki yako wewe nayo iminywe.
Hela nyoko sana, huyu tuliambiwa waligawana bilioni moja moja na FA baada ya kuwashinda tigo mahakamani. B imekata unaanza kutafuta hela kwenye siasa!? Noma sanaWanajua kuzifuata, (kuzichangamkia), fursa Ndiyo wakati wa mavuno kwao wakati wa uchaguzi Ndiyo muda muafaka wa kuvuna, wajinga Ndiyo waliwao
Hahahaaaa, aisee, umejua kunichekesha.Malema: Asilimia 50 ya wabunge humu ni wapumbavu
Mbunge wa ANC: Spika, naomba Malema afute kauli hiyo, inatweza utu wetu na haina busara
Spika: Malema hebu futa kauli hiyo
Malema: Sawa Mheshimiwa Spika, nafuta kauli. Asilimia 50 ya wabunge humu sio wapumbavu
Wabunge wa ANC: 👏🏿👏🏿👏🏿
Hela sina adabuHela nyoko sana, huyu tuliambiwa waligawana bilioni moja moja na FA baada ya kuwashinda tigo mahakamani. B imekata unaanza kutafuta hela kwenye siasa!? Noma sana
Kabisa Benny.Hela sina adabu
Ukiwa na pesa nyingi bila kutulizana unatesaka mwenyewe kwa maana utakula vinono halafu vinaanza kukutesa matokeo ya kula sana vinono ni kuugua na kufa mapema ama kufilisika na kutesekaKabisa Benny.
Huyo jamaa mswahili swahili sana
Ila kama imeisha mpaka kipindi cha kampeni atumike kisiasa ni noma sana. Ilitakiwa awe CEO wa mambo yake, very busy Guy. Ile ishu ya wife na kuishi USA huenda ilitafuna pesa ya huyu jamaa. Mambo ya hovyo kabisa.Ukiwa na pesa nyingi unatesaka mwenyewe kwa maana utakula vinono halafu vinaanza kukutesa matokeo ya kula sana vinono ni kuugua na kufa mapema ama kufilisika na kuteseka
Migodi huvuruga vijana, (wanaume)Ila kama imeisha mpaka kipindi cha kampeni atumike kisiasa ni noma sana. Ilitakiwa awe CEO wa mambo yake, very busy Guy. Ile ishu ya wife na kuishi USA huenda ilitafuna pesa ya huyu jamaa. Mambo ya hovyo kabisa.
Wanamsapot mwanafaHuyu jamaa alijijengea heshima kubwa sana katika bongo fleva na kuonekana ni mmoja ya wasanii wa bongo wanaopush mziki huo kimataifa.
Kuna kipindi akawa yupo mamtoni huko anapiga mitkasi yake!
Sasa hivi tunae hapahapa kwa Nyerere, amegeuka chawa mwandamizi wa mama Samia.
Kichaa Dotto Magari aliwahi kutuambia, maskini hana kiapo. Sasa nimekubali msemo wake.
Nini hasa kimemtokea msanii AY ?
View attachment 3247946
Mkuu.😂 😂 😂
Mkongwe, mtoto wa kiume anayeruhusu kunenepeana ovyo anacheza na afya yake, kunenepeana hakuji kwa ajali.
Simchukulii serious kwasababu haichukulii afya yake serious, kama mtu anaweza kupuuzia hali ya afya ya mwili wake anawezaje kuchukulia mambo mengine serious?
Kutokumchukulia serious haimpunguzii chochote, lakini mimi binafsi inanisaidia.
Bongo bado tuko nyuma sana kwa vision huwa wanakuja kugundua kuwa mtu hafai baada ya miaka 10 au 20 baadae anakuja mwingine tena kama yule aliyepita halafu wanamchagua tena.Mtu akishakua famous et anakuja kugombea ubunge jimboni vijana nao mnampa kura bila kuona alishawai kuwa na mchango gani katika huo ufemous wake katika jamii yake kuna vijana makini unaona mchango wao eti leo babu tale mbunge nikasem tanzania vijana tunatakiwa tuwe na maono sio kila famous anawez kukuongoz utasikia uyo nae anakuja kugombea na mnampa sijui hao wanaoigiza nao mnawap kura pasipo kuona huyu ana impact kwel katika jamii zetu
Naelewa sana kuna ushabiki. Nina u expose huo ushabiki kwa kufanya mazungumzo ya hoja na kuonesha kuwa upande ninaoupinga hauna hoja.Mkuu wewe upo kwenye mstari ulionyooka mama rula.
Lakini usichokijua katika mantiki ya uzi huu ni kwamba, hapa vinapiganwa vita vya mashabiki, usipokuwa makini vitakuchanganya.
Nikutolee mfano wa majukwaa ya washabiki wa Simba na Yanga.
Shabiki ukijichanganya kukaa jukwaa jingine na kuonesha furaha yako ya moja kwa moja kwa timu yako, waweza pigwa na kuumizwa.
Je wakati ukiadhibiwa waweza kuhoji juu ya uhuru wako wa kuonesha furaha katikati ya jukwaa jingine?
Ndiyo haya sasa ya uzi huu.
Ushaona sasa?Malema: Asilimia 50 ya wabunge humu ni wapumbavu
Mbunge wa ANC: Spika, naomba Malema afute kauli hiyo, inatweza utu wetu na haina busara
Spika: Malema hebu futa kauli hiyo
Malema: Sawa Mheshimiwa Spika, nafuta kauli. Asilimia 50 ya wabunge humu sio wapumbavu
Wabunge wa ANC: 👏🏿👏🏿👏🏿