Suala la Mugalu imenifanya nigundue jinsi gani wachambuzi wengi wa soka Bongo ni bendera fata upepo

Suala la Mugalu imenifanya nigundue jinsi gani wachambuzi wengi wa soka Bongo ni bendera fata upepo

Fohadi

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2020
Posts
772
Reaction score
2,421
Mimi ni shabiki wa mpira na mpira ninaujua kwa kuutazama na kuucheza uwanjani. Haiitaji elimu kubwa kugundua kuwa Chris Mugalu hafai na hastahili kuanza kikosi cha kwanza kulingana na kiwango chake hasa uwezo wake wa kufunga. Bahati nzuri kwake ni kuwa udhaifu wake unafichwa na ubora wa timu.

Na kwa bahati mbaya zaidi wachambuzi wengi wa soka hapa bongo wamekuwa na 'upofu' katika uchambuzi. Analysis zao nyingi zina base kwenye matokeo. Mfano, hata kama timu ikicheza ovyo kwa dk zote 89, ila ikapata goli na kushinda dakika ya 90..Basi tegemea analyis positive kutoka kwa wachambuzi wetu.. Vice versa is true.

Vivyo hivyo kwenye swala la Mugalu, wachambuzi wetu hawajui chochote kuhusu soka. Hata uchambuzi wao juu ya viwango vya wachezaji umemezwa na matokeo ya timu. Wengi utawasikia kuwa Mugalu ni striker mwenye uwezo wa kuhold mpira na kufungua nafasi kwa wengine. Hawazungumzii kabisa ubutu wake golini.

Na mbaya zaidi wachambuzi karibu wote wana copy na kupaste opinions zao zinafanana. Katika kipindi hiki, huwezi kuta wachambuzi wanajadili weaknesses za Mugalu, badala yake wanaelezea umuhimu wake na faida yake kule mbele.Najiuliza, Hivi kama hafungi, ana umuhimu gani sasa wa kuanza?, na je kama timu isingekuwa inapata matokeo na bado Mugalu angekuwa anapoteza zile nafasi, bado wasingemuelezea udhaifu wake?...Jibu ni rahisi tu, wana chambua kulingana na matokeo.

Mfano wa pili, ni Jonas Mkude. Kwa mtu anaejua mpira na aliyeangalia ile game, ilikuwa sio rahisi kuamini kama Mkude angerudi uwanjani second half..Alikuwa flopy sana siku ile.

Cha ajabu timu imepata matokeo kwenye comments unasikia uchambuzi kuwa Mkude alifanya majukumu yake vizuri na aliiunganisha vizuri sana safu ya ulinzi na ushambuliaji..Hivi ni mkude huyu huyu aliyekuwa na pass accuracy mbovu kuliko wachezaji wote wa simba siku hiyo? Ina maana wachambuzi hamuoni udhaifu wa wachezaji kisa tu timu imepata matokeo?

Basi kama ni hivyo, hakuna kazi rahisi kama kucwa mchambuzi wa soka bongo.​
 
Wewe na kocha wa simba nani anajua mpira?

Kama kocha wa simba anaona mugalu ndie best striker kuanza.. wewe nani umuone hafai..

Mpira wa ushindani mkali kama caf champions league usitegemee striker anaejua kufunga tu huku vingine hajui.. bali awe ana vya ziada vingii.. kama ball control, ball possession, na kusaidia kukaba na kuokoa kipindi ukiwa unashambuliwa... ni striker gani wa pale simba anamzidi mugalu kwa hizo factor zote...
 
Wewe na kocha wa simba nani anajua mpira?

Kama kocha wa simba anaona mugalu ndie best striker kuanza.. wewe nani umuone hafai..

Mpira wa ushindani mkali kama caf champions league usitegemee striker anaejua kufunga tu huku vingine hajui.. bali awe ana vya ziada.. kama ball control, ball possession, na kusaidia kukaba na kuokoa kipindi ukiwa unashambuliwa... ni striker gani wa pale simba anamzidi mugalu kwa hizo factor zote...

Kagere ni mzuri kufunga kuliko Mugalu..na analingana kwa sifa zilizobaki na mugalu na kikubwa zaidi kagere ana kasi kuliko mugalu.

Anyway, mkuu ID yako na coment yako nimeisave. Muda ni mwamuzi mzuri namimi sitasita kukukumbusha.
 
Kagere ni mzuri kufunga kuliko Mugalu..na analingana kwa sifa zilizobaki na mugalu na kikubwa zaidi kagere ana kasi kuliko mugalu....

Anyway, mkuu ID yako na coment yako nimeisave....Muda ni mwamuzi mzuri namimi sitasita kukukumbusha.

Mbona umechagua sifa moja tu.. kocha wa simba sio mjinga kumpanga mugalu..

Kagere hata kutuliza mpira shida . Useme aanze first eleven amweke benchi mugalu.. mpira ni zaidi ya kuvizia mbele ufunge magoli...

Footwork ya mugalu inaonekana wazi... na hata kwenye ulinzi hasa kona ambazo simba anapigiwa akiwa anashambuliwa...mugalu anaokoa kona nyingii kama beki vile..
 
Mbona umechagua sifa moja tu.. kocha wa simba sio mjinga kumpanga mugalu..

Kagere hata kutuliza mpira shida . Useme aanze first eleven amweke benchi mugalu.. mpira ni zaidi ya kuvizia mbele ufunge magoli...

Footwork ya mugalu inaonekana wazi... na hata kwenye ulinzi hasa kona ambazo simba anapigiwa akiwa anashambuliwa...mugalu anaokoa kona nyingii kama beki vile..
Mkuu..Kazi ya striker ni kufunga hakuna kingine cha ziada..ndio maana mashabiki wa liverpool wanataka Jota aanze mbele ya Firmino licha ya ball control nzuri aliyonayo Boby...ndio maana leo chelsea wanahangaika kumrudisha Lukaku epl au kumleta Halaand, licha ya ball control na holding nzuri aliyonayo Timo werner...kuna watu wanaitwa wakina Muller, hawana skills kubwa kama unazozitaka ila ndio maana panga pangua wanaanza bayern munich..

Kwani kati ya Jesus na Lukaku nani ni mzuri katika kuhold au kuposess mpira?, mbona Guardiola mate yanamtoka kwa Lukaku?

 
Simba players match PERFORMANCE rating [emoji116]
Screenshot_20210408-155303.jpg
 
Jonas mkude mechi ya just alicheza kiwango Cha chini kuliko wacheza I wote uwanjani.

Akiwa na RATING ya 6.1[emoji116]
mkuu...kwani hujui kusoma?...nasema alicheza kiwango kibovu kuliko wachezaji wote wa simba..hasa walioanza.
 
Kwa Mugalu sina neno ila kiufupi ni kwamba ni mwendawazimu pekee atakayeamin kuwa Mugalu ni Striker wa kutisha.

Kuhusu Mkude nakubali kabisa, jamaa alishapotea toka dakika ya kwanza mpaka ya mwisho, hakuwa mchezoni kabisa.
 
Simba players match PERFORMANCE rating [emoji116]View attachment 1746633
sasa hapa huoni kama alikuwa na kiwango kidogo kuliko wenzake wote..au unatishwa na hizo namba 6.1 unaiona kubwa?...sasa wewe jiulize kwa ubovu ule wa mugalu pamoja na kukosa magoli mengi bado kamzidi Mkude...na angalia hata hapo katikati sehemu ambapo kazi kubwa ilifanyika, ni mkude tu ndio mwenye maksi ndogo kuliko wenzake....Tukija kwa wawa na onyango, rates zao zinaonekana ni ndogo kulinganisha na kapombe na zimbwe kwa sababu vita walikuwa wanapitia sana pembeni...Hata pale katikati walikutana na kazi ya kiume kutoka kwa Lwanga tofauti na mkude aliyekuwa flopy..

we hujiulizi kwann Lwanga ana 7.1 halafu Mkude ana 6.1?
 
Back
Top Bottom