Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
WanakujaYoyote atakae taka nikubaliane na hoja ya kwamba Mugalu anawasambazia mamido mipira Ili wafunge, aniambie kwanza huyo Mugalu ana assit ngapi kwenye ligi na kimataifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatau tulipofikia Simba kwasasa timu inatakiwa iwe makini zaidi kwa kila eneo.Hicho ndo tunataka, sio habari za ukabaji alafu Kati ya nafasi 5 za wazi hapati hata moja, zote anazigeuza kosakosa. Hii hatua tuliyofika ni hatua inayohitaji zaidi magoli zaidi hata ya point 3,tukiendelea kwenda na hoja za ukabaji hatuwezi toboa.Jaribu kufikiria tumefungwa mbili kavu ugenini, alafu kwa mkapa sehemu ambayo tunahitaji kupindua matokeo ,tunatengeneza Zaid ya nafasi 5 za wazi ila hatugungi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma hizo screenshot, umesikiliza wachambuzi? Mbona wachambuzi wengi walikosoa. Sijajua mnatumia reference ipi. Redioni kuna wachambuzi waliomkosoa na khba wengine walimpa credit. Hata humu kuna wanaomkosoa na kuna wanaoona bado abastahili. Tatizo la wanaomkosoa kutaka kila mtu acheze ngoma wanayoitaka wao. Sisi sio nyumbu tuende sehemu moja. Kila mtu ana mtazamo tofauti latika kila jambo.Umefanya vema katika kutoa maoni kwa kuambatanisha marejeo.
Mi nauliza.
Hivi kwanini hapa watu wanakwepa kuzungumzia madhaifu ya Mugalu ?
Kweli anacheza vizuri, kweli Anasaidia timu.
Mbona akina Chama Bwalya huwa madhaifu yao yanajadiriwa hapa na yanapelekea hadi kujirekebisha na wanafanya vizuri sasa.
Huyu Mugalu yeye ni nani hadi ajadiriwe kwa mazuri yake tu.
Ukigusa udhaifu wake basi unashambuliwa kwamba hujui soka wewe.
Nini iko Shida ?
Nakubaliana na wewe mkuu, kuna watu utakuta wanasema mara bora huyu kibonde.. mara oooh sijui yule kibonde, lakini hii hatua ni ngumu sana.Hatau tulipofikia Simba kwasasa timu inatakiwa iwe makini zaidi kwa kila eneo.
Kwa mfano Al Ahly huwa wanabadilika wanakua hatari na wabaya mno wanapofika nafasi kama ya robo na nusu fainali.
Washindi wa pili(runers)kwenye makundi hatua hii ya robo unakuta ndo washindi wa kwanza kuingia hatua ya makundi nusu fainali,hatua hii timu zinabadilika sana kwakweli.
Kwani Ally Mayai na Amri Kiemba (wachambuzi waliocheza mpira) wanasemaje kuhusu Mugalu ?
Mkuu sio kwamba naleta siasa. Maoni yangu yameelemea rasilimali watu iliyopo sasahivi.Kwahiyo Ikitokea umeulizwa kutoa maoni bila kuweka siasa (ambazo naona zimekukaa sana), juu ya eneo gani ambalo Simba inapaswa kulifanyia kazi Kati ya Safu ya mabeki,Kiungo na ile ya Ushambuliaji utagusia Safu ipi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu anamuongelea dube, hii ligi ya bongo ambayo mugalu anahitaji dkk 15 tu za mchezo ili ashinde goli. Kweli wanampima mugalu kwa VPL iwe repracement kwa ajili ya champions league.Nirudie tena, nafasi hazizawadiwi, zinatengenezwa. Akicheza meddie timu haitengenezi nafasi kama ambavyo inafanya akicheza Mugalu. Hapa hoja yako ya kuwa-subject washambuliaji wengine kwenye nafasi ambazo Simba inatengeneza with Mugalu inakosa mashiko.
Pili nina uhakika mimi na wewe wote hatujui hao washambuliaji wengine wamekosa nafasi ngapi sasa. Kwahiyo kusema wao hawakosi kama Mugalu ni kufanya majumuisho yenye kuelemea upande mmoja.
Mwanzo nilidhani unataka Mugalu afunge magoli, baadae nimegundua kwamba kumbe magoli hayo hayatakiwi kuwa ya penati na pia yanatakiwa kuwa skillful kama ya akina Chama na Luis.
Daah mkuu unataka vitu vingi sana toka Mugalu aisee.
Halafu mkuu, Kwani Makambo ana magoli mangapi huko Horoya au unamzungumzia ''Makambo wa mwaka juzi'' ? Maana mwaka juzi hata Mugalu alikua mfungaji bora wa ligi ya Zambia.
Japokua uwezo wa mtu kiuchambuzi hauwezi kupimwa kwa umahiri wake katika ''kupiga danadana'' na kuucheza mpira, ila mimi naomba uniambie tu uniambie hao wachambuzi wa Ulaya walisemaje kuhusu Olivier Giroud na Ufaransa yake iliyotwaa ubingwa wa Dunia ?
Mkude kaloga hadi wachambuzi nikiona amepangwa nakuwa roho juu Mkude alikuwa yule wa miaka miwili iliyopita sio sasaHapa nime kopi na ku pest, hoja ya mtoa mada hii. Unaweza kuipitia hasa aya ya kwanza na ya tatu ya mtoa mada.
"Mimi ni shabiki wa mpira na mpira ninaujua kwa kuutazama na kuucheza uwanjani. Haiitaji elimu kubwa kugundua kuwa Chris Mugalu hafai na hastahili kuanza kikosi cha kwanza kulingana na kiwango chake hasa uwezo wake wa kufunga. Bahati nzuri kwake ni kuwa udhaifu wake unafichwa na ubora wa timu.
Na kwa bahati mbaya zaidi wachambuzi wengi wa soka hapa bongo wamekuwa na 'upofu' katika uchambuzi. Analysis zao nyingi zina base kwenye matokeo. Mfano, hata kama timu ikicheza ovyo kwa dk zote 89, ila ikapata goli na kushinda dakika ya 90..Basi tegemea analyis positive kutoka kwa wachambuzi wetu.. Vice versa is true.
Vivyo hivyo kwenye swala la Mugalu, wachambuzi wetu hawajui chochote kuhusu soka. Hata uchambuzi wao juu ya viwango vya wachezaji umemezwa na matokeo ya timu. Wengi utawasikia kuwa Mugalu ni striker mwenye uwezo wa kuhold mpira na kufungua nafasi kwa wengine. Hawazungumzii kabisa ubutu wake golini.
Na mbaya zaidi wachambuzi karibu wote wana copy na kupaste opinions zao zinafanana. Katika kipindi hiki, huwezi kuta wachambuzi wanajadili weaknesses za Mugalu, badala yake wanaelezea umuhimu wake na faida yake kule mbele.Najiuliza, Hivi kama hafungi, ana umuhimu gani sasa wa kuanza?, na je kama timu isingekuwa inapata matokeo na bado Mugalu angekuwa anapoteza zile nafasi, bado wasingemuelezea udhaifu wake?...Jibu ni rahisi tu, wana chambua kulingana na matokeo.
Mfano wa pili, ni Jonas Mkude. Kwa mtu anaejua mpira na aliyeangalia ile game, ilikuwa sio rahisi kuamini kama Mkude angerudi uwanjani second half..Alikuwa flopy sana siku ile.
Cha ajabu timu imepata matokeo kwenye comments unasikia uchambuzi kuwa Mkude alifanya majukumu yake vizuri na aliiunganisha vizuri sana safu ya ulinzi na ushambuliaji..Hivi ni mkude huyu huyu aliyekuwa na pass accuracy mbovu kuliko wachezaji wote wa simba siku hiyo? Ina maana wachambuzi hamuoni udhaifu wa wachezaji kisa tu timu imepata matokeo?
Basi kama ni hivyo, hakuna kazi rahisi kama kucwa mchambuzi wa soka bongo."
Acha kumfananisha Drogba na Mugalu. Drogba alikuwa hapotezi nafasi kipuuzi kama Mugalu. Drogba ilikuwa nafasi moja goli.Tatizo la mitazamo yetu ya kibongo ni kule kuutazama ubora wa timu yako na kuacha kuangalia ubora wa yule unayecheza nae.
Kocha mzuri anaitazama timu anayocheza nayo ipo vipi na anaandaa strategies kadri ya kila timu ilivyo.
Mugalu anaweza asifunge lakini akawa anaibuka mshindi wa mapambano mengi ya hewani akiruka na mabeki.
Mugalu ni kama Drogba enzi zile. Anaanza kukabia kule kule mbele, ana nidhamu nzuri ya kimchezo na utulivu wa mechi kubwa.
Naongelea mifumo mkuu sijaongelea uwezo binafsi.Acha kumfananisha Drogba na Mugalu. Drogba alikuwa hapotezi nafasi kipuuzi kama Mugalu. Drogba ilikuwa nafasi moja goli.
NonsenseMimi ni shabiki wa mpira na mpira ninaujua kwa kuutazama na kuucheza uwanjani. Haiitaji elimu kubwa kugundua kuwa Chris Mugalu hafai na hastahili kuanza kikosi cha kwanza kulingana na kiwango chake hasa uwezo wake wa kufunga. Bahati nzuri kwake ni kuwa udhaifu wake unafichwa na ubora wa timu.
Na kwa bahati mbaya zaidi wachambuzi wengi wa soka hapa bongo wamekuwa na 'upofu' katika uchambuzi. Analysis zao nyingi zina base kwenye matokeo. Mfano, hata kama timu ikicheza ovyo kwa dk zote 89, ila ikapata goli na kushinda dakika ya 90..Basi tegemea analyis positive kutoka kwa wachambuzi wetu.. Vice versa is true.
Vivyo hivyo kwenye swala la Mugalu, wachambuzi wetu hawajui chochote kuhusu soka. Hata uchambuzi wao juu ya viwango vya wachezaji umemezwa na matokeo ya timu. Wengi utawasikia kuwa Mugalu ni striker mwenye uwezo wa kuhold mpira na kufungua nafasi kwa wengine. Hawazungumzii kabisa ubutu wake golini.
Na mbaya zaidi wachambuzi karibu wote wana copy na kupaste opinions zao zinafanana. Katika kipindi hiki, huwezi kuta wachambuzi wanajadili weaknesses za Mugalu, badala yake wanaelezea umuhimu wake na faida yake kule mbele.Najiuliza, Hivi kama hafungi, ana umuhimu gani sasa wa kuanza?, na je kama timu isingekuwa inapata matokeo na bado Mugalu angekuwa anapoteza zile nafasi, bado wasingemuelezea udhaifu wake?...Jibu ni rahisi tu, wana chambua kulingana na matokeo.
Mfano wa pili, ni Jonas Mkude. Kwa mtu anaejua mpira na aliyeangalia ile game, ilikuwa sio rahisi kuamini kama Mkude angerudi uwanjani second half..Alikuwa flopy sana siku ile.
Cha ajabu timu imepata matokeo kwenye comments unasikia uchambuzi kuwa Mkude alifanya majukumu yake vizuri na aliiunganisha vizuri sana safu ya ulinzi na ushambuliaji..Hivi ni mkude huyu huyu aliyekuwa na pass accuracy mbovu kuliko wachezaji wote wa simba siku hiyo? Ina maana wachambuzi hamuoni udhaifu wa wachezaji kisa tu timu imepata matokeo?
Basi kama ni hivyo, hakuna kazi rahisi kama kucwa mchambuzi wa soka bongo.
Mugalu siyo mzuri kivile lakini ukimweka kwenye mizani moja na kagere ni afadhali Mugalu Mara 100 ukilinganisha na kagere! Wote tulishuhudia alichokifanya kagere kwenye mechi na Al Ahyl!!Mi pia naungana na wewe,
Huenda kocha anamuandaa kwa matumizi ya baadae.
Kumbe angeanza Mugalu tungewafunga Al-Hilaly kama goli 3 hivi.Mugalu siyo mzuri kivile lakini ukimweka kwenye mizani moja na kagere ni afadhali Mugalu Mara 100 ukilinganisha na kagere! Wote tulishuhudia alichokifanya kagere kwenye mechi na Al Ahyl!!
ndiyoKumbe angeanza Mugalu tungewafunga Al-Hilaly kama goli 3 hivi.
Na yote yangewekwa kambani na Mugalu.
Na tusingefungwa hata goli moja kwakuwa Mugalu anakabia juu.