Fohadi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2020
- 772
- 2,421
- Thread starter
- #201
We ndo huelewi kitu...Kuna muda maamuzi fulani ya makocha huwa sio kwa sababu ya mifumo ya timu, bali nikwa sababu ya mahaba yao kwa wchezaji husika...mfano, Guardiola alimuacha Ronaldinho akiwa katika ubora wake...alimkataa etoo na Yaya toure akiwa kwenye ubora wake...Unataka kusema kuna mfumo ambao etoo na ronaldinho wasingefit?...Hujawahi kuona makocha wana hama na wachezaji popote wanapoenda?..yale ni mahaba tu.Wewe ulipaswa uwe umekufa Kwa kukanyagwa kipindi kile cha meko, na inaonekana Una mpira wa kizamani Sana, nikupe mfano mmoja tu Olivier Giroud kom e la dunia alicheza mechi zote mpaka fainal akiwa Hana hata shoot on target moja lakini ndio chaguo namba moja la kocha, ndivyo ilivyo Kwa mugalu hata asipofunga bado uwezo wake huwezi kuulinganisha na bocco au kagere
Inshu ya Giroud ni mahaba tu ya Deschamps...Ni kama mahaba aliyowahi kuwa nayo ndairagije kwa Kaseja...Na bahati yao walichukua world cup lasivyo deschamps ulikuwa mwisho wake kufundisha timu ya taifa...sasa striker hufungi, huassist wala huna shot on target halafu shabiki kama wewe unakuja na hoja uchwara eti Fulani yupo uwanjani anatengeneza nafasi kwa wengine...are you serious?
Tuseme tu udhaifu wa Giroud ulifichwa na ubora wa france...udhaifu wa Mugalu unafichwa na ubora wa timu..Jamaa hana drible, hana assist, hafungi, hawin mipira na hana shots on target halafu unasema ana umuhimu pale mblele..are you serious?....Kiufupi ni bora simba ikacheza 10 uwanjani (bila mugalu) na mashabiki wamejaa uwanja mzima kuliko kucheza 11 akiwemo mugalu bila mashabiki.....Muda sio mrefu tutaimba lugha moja.