Suala la Mwanamke kujenga nyumba kwa siri lipoje kisheria?

Suala la Mwanamke kujenga nyumba kwa siri lipoje kisheria?

Naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwanamke anayejenga nyumba kwa siri akiwa ndani ya ndoa
Duh, hili nalo unahitaji mwanasheria kweli, kifupi tambua huyo mwanamke alishakuona wewe mme bwege huna muelekeo ameamua kujiandaa na maisha yake ya baadae.
Unataka sheria ikusaidie kulea ujinga wako? au unataka sheria ya kumzuia kufanya maendeleo yake binafsi hiyo haipo labda kaulize wale wazee wa madrassa. Lakini kwa sheria ya nchi labda subiri kikao cha 100 cha bunge la JMT
 
Ni mali ya wote wawili hata kama alijenga kwa kifcho...
Atasubiri sana kuifanya iwe mali ya watu wawili, kama amejenga kwa kificho hata document atakuwa ameandika jina la mamake mzazi, yeye huyu apambane na maisha yake mwanaume asubuhi unaamka unaenda kwenye matawi ya simba na yanga alafu mwanamke anayenda kupambana, akirudi unamvua pichu unafumua bila kujali amechoka.
Zama zimebadilika zamani wanaume kama huyu walikuwa wanabaki nyumbani lakini wanatumwa kwenda kulipa bili tanesco na dawasco, siku hizi bill zinalipwa online. Kwa hiyo hana lolote zaidi ya kufuga ndevu.
 
Kuna wanaume hela zao zinaishia kwenye michepuko,

Hela yao kwenye familia haionekani.

Savings hajui.

Mwanamke kama anakipato anaona kunyonywa na mume.

Akiamua kujenga nyumba yake ni sawa tu wala haina neno!
 
Tena huyo baada ya muda anaweza akadai Talaka kila mtu ashike lake!
 
Naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwanamke anayejenga nyumba kwa siri akiwa ndani ya ndoa
Kama anakula bure chakura chako, anakaa bure kwenye nyumba uliyopanga/jenga wewe halafu anajenga nyumba yake kwa kificho, hiyo pia ni yenu wote. Japo ni jambo la aibu kwa mwanaume mzima kulilia nyumba ya mwanamke. Za kuambiwa changanya na zako.
 
Atasubiri sana kuifanya iwe mali ya watu wawili, kama amejenga kwa kificho hata document atakuwa ameandika jina la mamake mzazi, yeye huyu apambane na maisha yake mwanaume asubuhi unaamka unaenda kwenye matawi ya simba na yanga alafu mwanamke anayenda kupambana, akirudi unamvua pichu unafumua bila kujali amechoka.
Zama zimebadilika zamani wanaume kama huyu walikuwa wanabaki nyumbani lakini wanatumwa kwenda kulipa bili tanesco na dawasco, siku hizi bill zinalipwa online. Kwa hiyo hana lolote zaidi ya kufuga ndevu.
AKIWEKA JJINA LAKE NI MALI YA WOTE
 
Ujinga wa kuwaza mali kuliko ndoa yenyewe ndiyo unaoharibu ndoa nyingi za kisasa. Yaani msemo unakuwa mali na kuombeana kufa na kuacha kuwwza kile kinachowaunganisha (mapenzi)

Tubadilike; mali zenyewe hatuendi nazo kokote; tujali zaidi upendo na kuishi kwa furaha, upendo na amani ili familia iwe bora; mali isiwe sehemu ya kutizamana vibaya au kuruhusu iamue mahusiano yenu
 
Jamaa kaomb ushauri wa kisheria, watu mnatokwa povu balaa. Hapa sio MMU au hoja mchanganyiko, hajaomba ushauri wa mahusiano ila mchizi kaomba apewe ushauri wa kisheria kama hauna au haupo basi kausha au mwambie haipo iyo kitu.

Wadau makasiriko ya maisha mnamwagia mleta uzi duuh.
 
Back
Top Bottom