Duh, hili nalo unahitaji mwanasheria kweli, kifupi tambua huyo mwanamke alishakuona wewe mme bwege huna muelekeo ameamua kujiandaa na maisha yake ya baadae.Naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwanamke anayejenga nyumba kwa siri akiwa ndani ya ndoa
Atasubiri sana kuifanya iwe mali ya watu wawili, kama amejenga kwa kificho hata document atakuwa ameandika jina la mamake mzazi, yeye huyu apambane na maisha yake mwanaume asubuhi unaamka unaenda kwenye matawi ya simba na yanga alafu mwanamke anayenda kupambana, akirudi unamvua pichu unafumua bila kujali amechoka.Ni mali ya wote wawili hata kama alijenga kwa kifcho...
inategemea kama ndio dada yako alafu kajenga nyumba na kodi anachukua mama yenu imekaaje?Naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwanamke anayejenga nyumba kwa siri akiwa ndani ya ndoa
sio kiivyo wanaume wenzangu bado unaweza kudhurumiwa tu cha mke chake cha mume chenu!Ni mali ya wote wawili hata kama alijenga kwa kifcho...
Kama anakula bure chakura chako, anakaa bure kwenye nyumba uliyopanga/jenga wewe halafu anajenga nyumba yake kwa kificho, hiyo pia ni yenu wote. Japo ni jambo la aibu kwa mwanaume mzima kulilia nyumba ya mwanamke. Za kuambiwa changanya na zako.Naomba kujua sheria inasemaje juu ya mwanamke anayejenga nyumba kwa siri akiwa ndani ya ndoa
sema aliyekutekaa msalimie sanaHongera kwa mke
NITAITAFUTA CASE LAW NIIWEKE USOME MWENYEWEsio kiivyo wanaume wenzangu bado unaweza kudhurumiwa tu cha mke chake cha mume chenu!
AKIWEKA JJINA LAKE NI MALI YA WOTEAtasubiri sana kuifanya iwe mali ya watu wawili, kama amejenga kwa kificho hata document atakuwa ameandika jina la mamake mzazi, yeye huyu apambane na maisha yake mwanaume asubuhi unaamka unaenda kwenye matawi ya simba na yanga alafu mwanamke anayenda kupambana, akirudi unamvua pichu unafumua bila kujali amechoka.
Zama zimebadilika zamani wanaume kama huyu walikuwa wanabaki nyumbani lakini wanatumwa kwenda kulipa bili tanesco na dawasco, siku hizi bill zinalipwa online. Kwa hiyo hana lolote zaidi ya kufuga ndevu.
Ndio na mjengo utapigwa pasuSheria inasema hivyo?
Ukiwa boya utadhulumiwasio kiivyo wanaume wenzangu bado unaweza kudhurumiwa tu cha mke chake cha mume chenu!
Kwanini wasichukue watoto?Ni sawa tu, bora iende kwa ndugu zangu kuliko ihesabike ni yangu na mume wangu siku tukifa ndugu za mume wachukue
sheria huwa inawapa uhuru wa wao kumiliki mali wakiwa katika ndoa (hivyo wanaweza kuwa na vitu vyao na wanaweza kuvisajiri kisheria)Ukiwa boya utadhulumiwa
utakuwa umeileta kwa lugha ghani sisi wengine tumesoma Kemia ukileta lugha ya chief tutapishana!NITAITAFUTA CASE LAW NIIWEKE USOME MWENYEWE
Tatizo watoto wakiwa wadogo wanadhulumiwa. Ni sahihi watoto wakichukuaKwanini wasichukue watoto?
OkeeeNdio na mjengo utapigwa pasu