jina baya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 573
- 377
Habari za wakati wajumbe.
Hili suala la PEPMIS naona kwa mtazamo wangu kama lina maswali mengi sana kuliko majibu.
Japo lengo la serikali ni zuri kabisa, la kutumia mifumo ya tehama na teknolojia kufanya performance appraisal lakini niishie kusema kwa mfumo huu naona kabisa halitatimia.
Kuna sababu mbalimbali ambazo zinaibua sintofahamu juu ya uhalisia wa mfumo huo na namna unavyofanya kazi
1. Watumishi wengi hawana mafunzo muhimu kuhusu jinsi ya kutumia mfumo huo ipasavyo.
2. Kulazimisha mfumo uanze kufanya kazi mapema ilhali watu hawana uelewa nao.
3. Mfumo kutokuwa stable na unakuwa mzito mno.
4. Kutumia mfumo kupima watumishi jambo ambalo haliwezi kuwa kipimo sahihi cha kupromote watumishi kwasababu watumishi wengi wanaforce kujaza asilimia zifikie 60+
USHAURI
1. Serikali iandae fomu maalum zitakazojazwa na watu tofauti (supervisors) ili itumike kama atachment ya uthibitisho wa kazi.
2. Serikali itoe mafunzo kwa ngazi zote na itoe muda zaidi ili watu wauelewe huo mfumo.
3. Kurekebisha hali ya mfumo kuzidiwa.
4. Kwa kuzingatia changamoto zilizopo sasa ni uhakika kwamba promotions za mwaka huu zina walakini, hivyo kwa kuanzia serikali iangalie namna bora zaidi ya kukwepa lawama kutoka kwa watumishi.
Serikali hoyeeeee
CCM HOYEEEEEEE
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZIIII
Hili suala la PEPMIS naona kwa mtazamo wangu kama lina maswali mengi sana kuliko majibu.
Japo lengo la serikali ni zuri kabisa, la kutumia mifumo ya tehama na teknolojia kufanya performance appraisal lakini niishie kusema kwa mfumo huu naona kabisa halitatimia.
Kuna sababu mbalimbali ambazo zinaibua sintofahamu juu ya uhalisia wa mfumo huo na namna unavyofanya kazi
1. Watumishi wengi hawana mafunzo muhimu kuhusu jinsi ya kutumia mfumo huo ipasavyo.
2. Kulazimisha mfumo uanze kufanya kazi mapema ilhali watu hawana uelewa nao.
3. Mfumo kutokuwa stable na unakuwa mzito mno.
4. Kutumia mfumo kupima watumishi jambo ambalo haliwezi kuwa kipimo sahihi cha kupromote watumishi kwasababu watumishi wengi wanaforce kujaza asilimia zifikie 60+
USHAURI
1. Serikali iandae fomu maalum zitakazojazwa na watu tofauti (supervisors) ili itumike kama atachment ya uthibitisho wa kazi.
2. Serikali itoe mafunzo kwa ngazi zote na itoe muda zaidi ili watu wauelewe huo mfumo.
3. Kurekebisha hali ya mfumo kuzidiwa.
4. Kwa kuzingatia changamoto zilizopo sasa ni uhakika kwamba promotions za mwaka huu zina walakini, hivyo kwa kuanzia serikali iangalie namna bora zaidi ya kukwepa lawama kutoka kwa watumishi.
Serikali hoyeeeee
CCM HOYEEEEEEE
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZIIII