Aisee🤣😅Kuhusu kurogwa na Diamond hilo namuunga mkono. Kwasababu Diamond alimroga Michael Jackson akafa, baadae akamroga R. Kelly akafungwa jela, sasa hivi kamroga Hermonize kaachwa na Kajala kabaki kuvuta bangi tu kama chizi. Ndio maana Ali Kiba hataki kumpa mkono anaogopa kuibiwa nyota na mbalamwezi zake. Hoo!