Suala la Q Chila na madhara ya kupiga ramli

Aisee🤣😅
 
Bado huwezi linganisha Nyimbo za Q chillah na diamond Q chillah is real talented .

Drugs ndo zimeua Future yake plus wanawake so hizo nyingine ni sababu . Tu. Hazina maana

Maaana Jaydee kazimiwa clouds na still yupo strong than ever.
Jide ana discipline na anaheshimu career yake acha kumlinganisha na takataka kama Q Chillah.
 
Mkuu ungetufafanulia na sisi watu wazima Huyo Q Chilla ni nani au maana yake nini? Maana vijana mna lugha za kificho sana. Umeelezea kama sote hadi Sisi tunamfahamu huyo jamaa yako. Anahusika na nini?
You're on the wrong page, I mean if you don't understand then it wasn't meant for you.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Noted.
 
Kwa hiyo masister du wote aliotoka nao enzi hizo waelewe tu walitoka na kalumanzira Q- chila..🤣🤣🤣😅
 
We mjinga hujui hata nilichomaanisha
Mjinga wewe na ukoo wako wote. Ulichoandika kiko crystal clear na Q Chilla ni takakata na alipo ndipo stahiki yake, kupanga ni kuchagua.
Discipline discipline ........., anavuna alichopanda.
 
Kitu nilichojifunza kwenye maisha,wakati wako ukipita,kama hujafanya Cha maana,kuwa mpole tu,
Maisha hayana kanuni,
Hawa wahenga wa bongofleva,wawe wapole,kipindi wanawika,1999,2000+,kulikuwa hakuna social media,vyombo vya habari vilikuwa vichache,mziki ulikuwa hauna platform kubwa ya kujiuza kama sasa,tekinolojia ya mziki ilikuwa Bado ndogo sana,
Zama zimepita,ama wakalime matikiti,au wafungue vibanda vya mpesa maisha yaendelee,
Qchief,Duly Sykes,mandojo,Mr nice,Dudu baya,D knob,
 

Ila hela wamepata.

Hawa enzi zao walikuwa wanauza album kwa bei ya jumla kwa distributor

Milioni 50 wamezishika sana.

Master jay alikuwa anawasema wagosi wakaya na wasanii wengi wa zamani.. walikuwa wakipiga hela za kuuza album zao wanamfata master jay awauzie magari. Master jay anawaambia nunueni viwanja mjenge majumba wanamuona mkoloni.

Mwana fa kajisomesha ifm na mpaka masters uingereza kwa hela za mziki

Proff jay kajenga nyumba zaidi ya 3 zamani sana kwa hela za mziki wa kabla ya social media
 
Mkuu ungetufafanulia na sisi watu wazima Huyo Q Chilla ni nani au maana yake nini? Maana vijana mna lugha za kificho sana. Umeelezea kama sote hadi Sisi tunamfahamu huyo jamaa yako. Anahusika na nini?
Watu wazima wenzio wanafanya maridhiano ya kitaifa ww unatusumbua vijana mambo yetu ya qchilla
 
Enzi hizo za kale nilikuwa na rafiki yangu anajuana Q, kuna siku tukapita kwake kumsalimia, picha linaanza nyumba imejaa watu kibao (machawa), hapo amepanga kighorofa K,nyama... Ila Q was so humble, mcheshi, ye anasmile muda wote....tukamkuta Yuko na mdada hivi ukimuona tu unajua ni Ile midada ya mjini, midangaji.
Nakazia kilichomshusha ni bangi na wanawake.
 
Mkuu ungetufafanulia na sisi watu wazima Huyo Q Chilla ni nani au maana yake nini? Maana vijana mna lugha za kificho sana. Umeelezea kama sote hadi Sisi tunamfahamu huyo jamaa yako. Anahusika na nini?
Sema ufafanuliwe wewe mtu mzima na sio sisi watu wazima,watu wazima wanapigania katiba mpya wewe ni mzee muhuni tu
 
Sema ufafanuliwe wewe mtu mzima na sio sisi watu wazima,watu wazima wanapigania katiba mpya wewe ni mzee muhuni tu
Sasa unadhani hiyo mikakati ya katiba mpya mmoja ya wanaopanga ni nani kama si mimi mzee komeo? Nyie vijana msione mnapumua tu kwa mbele na kwa nyuma watu tunahangaika sana.
 
Mkuu ungetufafanulia na sisi watu wazima Huyo Q Chilla ni nani au maana yake nini? Maana vijana mna lugha za kificho sana. Umeelezea kama sote hadi Sisi tunamfahamu huyo jamaa yako. Anahusika na nini?
Huwez kuwa serious, hakuna namna nyingine ya kumwelezea q chilla , tofauti na alivo elezea mtoa mada . Muzic wa bongo fleva kama hukuufuatilia miaka ya 2000's .. kuendelea Basi apa utatoka mtupu
 
Sema ufafanuliwe wewe mtu mzima na sio sisi watu wazima,watu wazima wanapigania katiba mpya wewe ni mzee muhuni tu
Sasa unadhani hiyo mikakati ya katiba mpya mmoja ya wanaopanga ni nani kama si mimi mzee komeo? Nyie vijana msione mnapumua tu kwa mbele na kwa nyuma watu tunahangaika sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…