Huwez kuwa serious, hakuna namna nyingine ya kumwelezea q chilla , tofauti na alivo elezea mtoa mada . Muzic wa bongo fleva kama hukuufuatilia miaka ya 2000's .. kuendelea Basi apa utatoka mtupu
Sasa unadhani hiyo mikakati ya katiba mpya mmoja ya wanaopanga ni nani kama si mimi mzee komeo? Nyie vijana msione mnapumua tu kwa mbele na kwa nyuma watu tunahangaika sana.