Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Suala la Salim Kikeke kuhamia EFM na akili za watanzania

Ukishuka kwenye range ukapanda passo lazma utushangaze wapenzi watazamaji [emoji16]
Amefanya kazi muda mrefu under pressure halafu nje ya nchi ambako kuna tamaduni na desturi tofauti. Kuna wakati binadamu anahitaji kupumzisha ubongo kwa baadhi ya mambo. Angetoka BBC akaenda CNN demand yao kwa mwajiriwa ni ileile. Kikeke yuko kwenye 50s acha afanye kazi na majizo huku akiwa na uhuru mwingi wa kuzeeka vizuri.
 
Kuwaita wajinga ni kuwapa hadhi, Maana mjinga ni mtu ambaye hajui kitu ila baada ya kuelimishwa hujitambua.

Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele,

Waafrika wana Upumbavu wa milele,

Kwenye DNA [emoji3459] za waafrika kuna chembechembe za Upumbavu ambazo mtoto akizaliwa hurithi chembe chembe hizo automatically.

Waafrika wame laanika.

Uafrika hasa utanzania ni laana.
Hakika. Tena wachawi sana, yaani wanampangia mtu life lake!
 
Back
Top Bottom