ukiamua kuacha kazi ukiwa 40yrs kuna mtu atakulazimisha uendelee? Ukiamua kubadili mazingira uende sehemu ambayo unaitaka hata kama mshahara mdogo kuna mtu atakushikia panga?Amestaafu wakati ndo kwanza yupo 45 ?!
View attachment 2748261
😅😂🤣Walitaka huyu bwana aendelee kuvumilia kuitwa nyani kule London mpaka lini
Amefanya kazi muda mrefu under pressure halafu nje ya nchi ambako kuna tamaduni na desturi tofauti. Kuna wakati binadamu anahitaji kupumzisha ubongo kwa baadhi ya mambo. Angetoka BBC akaenda CNN demand yao kwa mwajiriwa ni ileile. Kikeke yuko kwenye 50s acha afanye kazi na majizo huku akiwa na uhuru mwingi wa kuzeeka vizuri.Ukishuka kwenye range ukapanda passo lazma utushangaze wapenzi watazamaji [emoji16]
Inawezekana hakuna cha ajabu inategemea na umriUnahama Barcelona unaenda Mtibwa?
Wabongo miyeyusho sanaNgozi nyeusi ina upumbavu wa milele.
Waafrika hasa watanzania wame laanika.
Uafrika hasa Utanzania ni laana.
Hakika. Tena wachawi sana, yaani wanampangia mtu life lake!Kuwaita wajinga ni kuwapa hadhi, Maana mjinga ni mtu ambaye hajui kitu ila baada ya kuelimishwa hujitambua.
Ngozi nyeusi ina upumbavu wa milele,
Waafrika wana Upumbavu wa milele,
Kwenye DNA [emoji3459] za waafrika kuna chembechembe za Upumbavu ambazo mtoto akizaliwa hurithi chembe chembe hizo automatically.
Waafrika wame laanika.
Uafrika hasa utanzania ni laana.
King to jek hiyo, BBC to kwa boss majizo dj,Ukishuka kwenye range ukapanda passo lazma utushangaze wapenzi watazamaji [emoji16]