Suala la Simba kuzindua jezi katika kilele cha Mlima Kilimanjaro sio suala la kimichezo ila ni la kiroho litakaloathiri sana siasa za Taifa letu

Kisa kagusa timu pendwa
Katoa geography ya uwongo...mount everest ni mrefu kwa futi (au meters from sea level) hamna milima inayounganishwa urefu...mwambie akasome geography ya la sita ajue tofauti ya volcanic mountains na fold mountains na formation zake
 
Katoa geography ya uwongo...mount everest ni mrefu kwa futi (au meters from sea level) hamna milima inayounganishwa urefu...mwambie akasome geography ya la sita ajue tofauti ya volcanic mountains na fold mountains na formation zake
Nje ya mada
 
Kiroho ieleweke mlima Kilimanjaro ni lango kuu la kuingilia kuzimu.
Ila haya mastori ya mtindo huu nimeyasikia sana ila bado atasielewi vizuri ko inawezekana ikiwa ni lango, elezea kidogo viashiria
Kuna mchizi wangu mmoja kipindi madarasa imemkolea aliniambia mfalme suleimani WA Israel alifika mlima Kilimanjaro kuja kuyazika majini matukutu
 
Hii ni hadi uzame zaidi au uwe mdau wa mambo ya kiroho mfano ya kutaka umaarufu, utajiri,upako,nguvu za mamlaka, uwezo wa kutenda miujiza ndo utayaelewa mambo haya.
Na mengine ikiwemo kwann mkoa wa MBEYA, Morogoro na Singida haipiti mwezi ajali.
Utaelewa kuhusu Gamboshi,Ngende Lindi,Nyumba nitu Njombe vinaconnection gani.
 
Duh!
 
Mabadiliko makubwa sana yanakuja kwenye siasa zetu na uongozi kwa ujumla, mabadiliko haya mtaanza kuyaona siku sio nyingi.

Wenye macho ya rohoni tumeona[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…