Suala la Simba kuzindua jezi katika kilele cha Mlima Kilimanjaro sio suala la kimichezo ila ni la kiroho litakaloathiri sana siasa za Taifa letu

Suala la Simba kuzindua jezi katika kilele cha Mlima Kilimanjaro sio suala la kimichezo ila ni la kiroho litakaloathiri sana siasa za Taifa letu

Wasalaam.
Wanasema kila jambo fulani liwe zuri au liwe baya basi hutanguliza alama, dalili, viasharia na taarifa fulani za kimafumbo ambazo ni lazima watu wazima wakae chini, wapasue vichwa vyao kuweza kuzi uncode hizo secret codes.

Mwaka 1961 Nyirenda alipandisha bendera ya Tanganyika na mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro na kupelekea kilele hicho kuitwa Uhuru Peak.

Lile lilikuwa na sura ya kusherehesha sherehe za uhuru. Tulipandisha mwenge ili umulike mpaka nje ya mipaka yetu. Tulipandisha mwenge Mlima Kilimanjaro ili ulete amani palipo na chuki, ulete tumaini pasipo na tumaini. Jiulize mwenge unawezaje kuleta amani na tumaini?

Kumbe kwenye ulimwengu wa kiroho mwenge ulikuwa na lengo la kupumbaza na kufubaza fiķra za wengi.

Wakikandamizwa waone sawa tu, wakiburuzwa na kuonewa waone sawa tu, yaani wayapuuzie matatizo yao. Kwa njia hiyo tu ndio amani na utulivu vitapatikana.

Mwaka 1964 tulipoungana na Zanzibar hatukupandisha mwenge wala bendera, Tanganyika ikafa kimyakimya.

Tumepita kwenye misukosuko ya kila namna, furaha na vicheko hatimaye umefika mwaka 2023.

Simba ambaye ni mfalme wa nyika kapanda kwenye kilele. Kaenda kuweka bendera yake nyekundu kule kileleni.

Nyirenda mwaka 1961 aliweka bendera yenye rangi ya kijani, njano na nyeusi, utawala wa twiga mnyama mrembo lakini goigoi akatawala kuanzia hapo. Wote tumesguhudia jinsi taifa letu lilivyo na watu wavivu na goigoi, hadi wawekezaji wanasema hawataki kufanya kazi na Watanzania kwani hawataki kufànya kazi kwa bidii ila wanataka wakuibie.

Kwa ujio huu mpya kiroho, uelekeo wa kitaifa unabadilika. Spirit ya mapàmbano imetamalaki.

Sasa pale kileleni ni pekundu na pana Simba mfalme wa nyika. Tutaziona rangi zote.

Mabadiliko makubwa sana yanakuja kwenye siasa zetu na uongozi kwa ujumla, mabadiliko haya mtaanza kuyaona siku sio nyingi.

Wenye macho ya rohoni tumeona.
Gwappo Mwakatobe , Mshana Jr, Pascal Mayalla , Rakims
Halafu Kuna watu wataona jamaa kaandika pointi kweli!
 
Wasalaam.
Wanasema kila jambo fulani liwe zuri au liwe baya basi hutanguliza alama, dalili, viasharia na taarifa fulani za kimafumbo ambazo ni lazima watu wazima wakae chini, wapasue vichwa vyao kuweza kuzi uncode hizo secret codes.

Mwaka 1961 Nyirenda alipandisha bendera ya Tanganyika na mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro na kupelekea kilele hicho kuitwa Uhuru Peak.

Lile lilikuwa na sura ya kusherehesha sherehe za uhuru. Tulipandisha mwenge ili umulike mpaka nje ya mipaka yetu. Tulipandisha mwenge Mlima Kilimanjaro ili ulete amani palipo na chuki, ulete tumaini pasipo na tumaini. Jiulize mwenge unawezaje kuleta amani na tumaini?

Kumbe kwenye ulimwengu wa kiroho mwenge ulikuwa na lengo la kupumbaza na kufubaza fiķra za wengi.

Wakikandamizwa waone sawa tu, wakiburuzwa na kuonewa waone sawa tu, yaani wayapuuzie matatizo yao. Kwa njia hiyo tu ndio amani na utulivu vitapatikana.

Mwaka 1964 tulipoungana na Zanzibar hatukupandisha mwenge wala bendera, Tanganyika ikafa kimyakimya.

Tumepita kwenye misukosuko ya kila namna, furaha na vicheko hatimaye umefika mwaka 2023.

Simba ambaye ni mfalme wa nyika kapanda kwenye kilele. Kaenda kuweka bendera yake nyekundu kule kileleni.

Nyirenda mwaka 1961 aliweka bendera yenye rangi ya kijani, njano na nyeusi, utawala wa twiga mnyama mrembo lakini goigoi akatawala kuanzia hapo. Wote tumesguhudia jinsi taifa letu lilivyo na watu wavivu na goigoi, hadi wawekezaji wanasema hawataki kufanya kazi na Watanzania kwani hawataki kufànya kazi kwa bidii ila wanataka wakuibie.

Kwa ujio huu mpya kiroho, uelekeo wa kitaifa unabadilika. Spirit ya mapàmbano imetamalaki.

Sasa pale kileleni ni pekundu na pana Simba mfalme wa nyika. Tutaziona rangi zote.

Mabadiliko makubwa sana yanakuja kwenye siasa zetu na uongozi kwa ujumla, mabadiliko haya mtaanza kuyaona siku sio nyingi.

Wenye macho ya rohoni tumeona.
Gwappo Mwakatobe , Mshana Jr, Pascal Mayalla , Rakims
Chuma liko kileleni linaunguruma na ndio mwanzo wa watu majikw kushika haramu ya kutafuta chakula na madume yanakula yanatia mimba yanasepa na vita ya wanaume baina yao itakuwa kubwa na taifa litazaana sana na umri wa kuishi utashuka, fisi wataongezeka, wanaume majabali watawatoa mimba wanawake wenye mimba za wengine ili wapandikize zao. Na nchii hii itabarikiwa kwa kutembelewa na wageni wengi sana
 
Wasalaam.
Wanasema kila jambo fulani liwe zuri au liwe baya basi hutanguliza alama, dalili, viasharia na taarifa fulani za kimafumbo ambazo ni lazima watu wazima wakae chini, wapasue vichwa vyao kuweza kuzi uncode hizo secret codes.

Mwaka 1961 Nyirenda alipandisha bendera ya Tanganyika na mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro na kupelekea kilele hicho kuitwa Uhuru Peak.

Lile lilikuwa na sura ya kusherehesha sherehe za uhuru. Tulipandisha mwenge ili umulike mpaka nje ya mipaka yetu. Tulipandisha mwenge Mlima Kilimanjaro ili ulete amani palipo na chuki, ulete tumaini pasipo na tumaini. Jiulize mwenge unawezaje kuleta amani na tumaini?

Kumbe kwenye ulimwengu wa kiroho mwenge ulikuwa na lengo la kupumbaza na kufubaza fiķra za wengi.

Wakikandamizwa waone sawa tu, wakiburuzwa na kuonewa waone sawa tu, yaani wayapuuzie matatizo yao. Kwa njia hiyo tu ndio amani na utulivu vitapatikana.

Mwaka 1964 tulipoungana na Zanzibar hatukupandisha mwenge wala bendera, Tanganyika ikafa kimyakimya.

Tumepita kwenye misukosuko ya kila namna, furaha na vicheko hatimaye umefika mwaka 2023.

Simba ambaye ni mfalme wa nyika kapanda kwenye kilele. Kaenda kuweka bendera yake nyekundu kule kileleni.

Nyirenda mwaka 1961 aliweka bendera yenye rangi ya kijani, njano na nyeusi, utawala wa twiga mnyama mrembo lakini goigoi akatawala kuanzia hapo. Wote tumesguhudia jinsi taifa letu lilivyo na watu wavivu na goigoi, hadi wawekezaji wanasema hawataki kufanya kazi na Watanzania kwani hawataki kufànya kazi kwa bidii ila wanataka wakuibie.

Kwa ujio huu mpya kiroho, uelekeo wa kitaifa unabadilika. Spirit ya mapàmbano imetamalaki.

Sasa pale kileleni ni pekundu na pana Simba mfalme wa nyika. Tutaziona rangi zote.

Mabadiliko makubwa sana yanakuja kwenye siasa zetu na uongozi kwa ujumla, mabadiliko haya mtaanza kuyaona siku sio nyingi.

Wenye macho ya rohoni tumeona.
Gwappo Mwakatobe , Mshana Jr, Pascal Mayalla , Rakims
Hivi huu ujinga wa simba na yanga waswahili mtaucha lini?watu mnaacha mambo ya msingi nchi inauzwa mko busy simba yanga hizi time hata ukizijumlisha zote uwezi pata timu moja,lakini mko busy sana na huu ujinga.
 
Wasalaam.
Wanasema kila jambo fulani liwe zuri au liwe baya basi hutanguliza alama, dalili, viasharia na taarifa fulani za kimafumbo ambazo ni lazima watu wazima wakae chini, wapasue vichwa vyao kuweza kuzi uncode hizo secret codes.

Mwaka 1961 Nyirenda alipandisha bendera ya Tanganyika na mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro na kupelekea kilele hicho kuitwa Uhuru Peak.

Lile lilikuwa na sura ya kusherehesha sherehe za uhuru. Tulipandisha mwenge ili umulike mpaka nje ya mipaka yetu. Tulipandisha mwenge Mlima Kilimanjaro ili ulete amani palipo na chuki, ulete tumaini pasipo na tumaini. Jiulize mwenge unawezaje kuleta amani na tumaini?

Kumbe kwenye ulimwengu wa kiroho mwenge ulikuwa na lengo la kupumbaza na kufubaza fiķra za wengi.

Wakikandamizwa waone sawa tu, wakiburuzwa na kuonewa waone sawa tu, yaani wayapuuzie matatizo yao. Kwa njia hiyo tu ndio amani na utulivu vitapatikana.

Mwaka 1964 tulipoungana na Zanzibar hatukupandisha mwenge wala bendera, Tanganyika ikafa kimyakimya.

Tumepita kwenye misukosuko ya kila namna, furaha na vicheko hatimaye umefika mwaka 2023.

Simba ambaye ni mfalme wa nyika kapanda kwenye kilele. Kaenda kuweka bendera yake nyekundu kule kileleni.

Nyirenda mwaka 1961 aliweka bendera yenye rangi ya kijani, njano na nyeusi, utawala wa twiga mnyama mrembo lakini goigoi akatawala kuanzia hapo. Wote tumesguhudia jinsi taifa letu lilivyo na watu wavivu na goigoi, hadi wawekezaji wanasema hawataki kufanya kazi na Watanzania kwani hawataki kufànya kazi kwa bidii ila wanataka wakuibie.

Kwa ujio huu mpya kiroho, uelekeo wa kitaifa unabadilika. Spirit ya mapàmbano imetamalaki.

Sasa pale kileleni ni pekundu na pana Simba mfalme wa nyika. Tutaziona rangi zote.

Mabadiliko makubwa sana yanakuja kwenye siasa zetu na uongozi kwa ujumla, mabadiliko haya mtaanza kuyaona siku sio nyingi.

Wenye macho ya rohoni tumeona.
Gwappo Mwakatobe , Mshana Jr, Pascal Mayalla , Rakims
Huu Uzi Nimeelewa Sana Ila lazima uwe na mtazamo wa kiroho.
 
La Simba SC sijui ila la Mwenge huwa naamini hivo! Huwa nashangazwa sana eti VIONGOZI wanakula kiapo mbele ya torch ... 😁😁😁97
Na ukishaingia anga hizo unakuwa ..kama mashabiki wa Yañga ukimwondoa Mzee Manara na Kikwete!
Mwwnge ni kajini fulani kanushirikina wa moto chungiza hata wenye miradi binafsi waliopeleka mwenge ukazindue rudi baada ya miaka hata miwili unakuta mradi umefubaa kama watu wanavyochafuka miguu wakikesha kwenye mwenge. Itokee kiongozi autupilie mbali haya mambo ya kusonga na tulioyakuya ni utumwa
 
Hivi huu ujinga wa simba na yanga waswahili mtaucha lini?watu mnaacha mambo ya msingi nchi inauzwa mko busy simba yanga hizi time hata ukizijumlisha zote uwezi pata timu moja,lakini mko busy sana na huu ujinga.
Nchi ikiuzwa Tutapewa chetu kila mtu atatembea mwendo wa pesa. Ukiona inauzwa jiweke kwenye timu ya wauzaji hukosi maokoto😂😂
 
Mwenge wa uhuru ulivyozinduliwa kupitia ushauri wa kishirikina wa waganga wa kienyeji, tambiko lake lilikamilika kwa kwenda kuuweka katika kilele cha mlima Kilimanjaro. Kitu ambacho timu ya Simba inakifanya kina kila dalili ya ushirikina.
Wasalaam.
Wanasema kila jambo fulani liwe zuri au liwe baya basi hutanguliza alama, dalili, viasharia na taarifa fulani za kimafumbo ambazo ni lazima watu wazima wakae chini, wapasue vichwa vyao kuweza kuzi uncode hizo secret codes.

Mwaka 1961 Nyirenda alipandisha bendera ya Tanganyika na mwenge wa Uhuru kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro na kupelekea kilele hicho kuitwa Uhuru Peak.

Lile lilikuwa na sura ya kusherehesha sherehe za uhuru. Tulipandisha mwenge ili umulike mpaka nje ya mipaka yetu. Tulipandisha mwenge Mlima Kilimanjaro ili ulete amani palipo na chuki, ulete tumaini pasipo na tumaini. Jiulize mwenge unawezaje kuleta amani na tumaini?

Kumbe kwenye ulimwengu wa kiroho mwenge ulikuwa na lengo la kupumbaza na kufubaza fiķra za wengi.

Wakikandamizwa waone sawa tu, wakiburuzwa na kuonewa waone sawa tu, yaani wayapuuzie matatizo yao. Kwa njia hiyo tu ndio amani na utulivu vitapatikana.

Mwaka 1964 tulipoungana na Zanzibar hatukupandisha mwenge wala bendera, Tanganyika ikafa kimyakimya.

Tumepita kwenye misukosuko ya kila namna, furaha na vicheko hatimaye umefika mwaka 2023.

Simba ambaye ni mfalme wa nyika kapanda kwenye kilele. Kaenda kuweka bendera yake nyekundu kule kileleni.

Nyirenda mwaka 1961 aliweka bendera yenye rangi ya kijani, njano na nyeusi, utawala wa twiga mnyama mrembo lakini goigoi akatawala kuanzia hapo. Wote tumesguhudia jinsi taifa letu lilivyo na watu wavivu na goigoi, hadi wawekezaji wanasema hawataki kufanya kazi na Watanzania kwani hawataki kufànya kazi kwa bidii ila wanataka wakuibie.

Kwa ujio huu mpya kiroho, uelekeo wa kitaifa unabadilika. Spirit ya mapàmbano imetamalaki.

Sasa pale kileleni ni pekundu na pana Simba mfalme wa nyika. Tutaziona rangi zote.

Mabadiliko makubwa sana yanakuja kwenye siasa zetu na uongozi kwa ujumla, mabadiliko haya mtaanza kuyaona siku sio nyingi.

Wenye macho ya rohoni tumeona.
Gwappo Mwakatobe , Mshana Jr, Pascal Mayalla , Rakims
Yaani badala ya wao kujikita katika masuala ya kiufundi katika soka wao wamebadili gia na kukimbilia mambo ya ndumba. Soka ya kileo ni sayansi, hizo sarakasi ya kichawi haziwezi kuwafikisha sehemu yoyote ile.

Ni mwaka jana tu mchezaji wa kizungu aliwakimbia kutokana na madai ya "black magic"! Sasa hivi wachezaji wao watashindwa hata kukaa vyema vitini kutokana kuchanjwa chale nyingi katika makalio yao.
 
Nchi ikouzwa Tutapewa chetu kila mtu atatembea mwendo wa pesa. Ukiona inauzwa jiweke kwenye timu ya wauzaji hukosi maokoto😂😂
Basi Jana yanga day mtu anaacha kazi zake anaenda kwenye huu ujinga,ccm wanawachora mkijakustu kila mtu kauzwa kwa mwarabu.
 
Basi Jana yanga day mtu anaacha kazi zake anaenda kwenye huu ujinga,ccm wanawachora mkijakustu kila mtu kauzwa kwa mwarabu.
Kwa wenye mapenzi haiwi ujinga maana ndio kitu anapenda na siwalaumu ccm kwakua hata hapo mwanzo bandari ilikua inaendeshwa na tikisi kibaya ni mkataba ambao utatuumiza baadae tutakapotaka kumtoa dipii wolidi na kumleta mwingine na vipengele vya maslahi kama hivyo
 
Umesikia huko kuna mzungu kapewa heka million sita, hivi Usalama wa Taifa ndio wasaidizi wa mama chausiku katika kuuza ardhi ya Tanganyika?
Muwege mna uliza kabla ya kuropoka ..
Freedkin yupo Tanzania miaka zaidi ya 20 ...vitalu anavyo zaidi ya miaka 20...
 
Ile ilikuwa ni ibada ya "kimajinuni" ambayo imefanywa na Simba kuizidi Yanga na timu nyinginezo Afrika...

Watu wa Msimbazi wametimiza maneno ya miungu yao, haina uhusiano wowote na rangi nyekundu wala nyeupe...

Kiroho mtu anayeweza kufanya tambiko la kiibada juu ya kilele cha Kilimanjaro, ni kielelezo cha kutawala anga la Afrika nzima kwa kuwa ile ndio sehemu ya juu kuzidi zote juu ya bara la Afrika...
 
Kwani Nyerere, Kawawa, Bibititi & co. walifika kileleni?
Lakini alienza kuupandisha mwenge toka chini ndie aliyefika nao kileleni tofauti na Simba ambao wamebeba kibegi toka chini lengo ufike keleleni upige na picha harafu unaishia njiani kisa umechoka
 
Nimesoma nimeelewa ila tusubiri yajayo yatakuwwa mazuri kwa taifa letu.
Mama anaona mbali na anatupenda na kutulinda kama Simba anavyolinda ufalme wake msituni.
YAJAYO NI MAZURI TUSUBIRI MATOKEO.
hii nimeielewa vizuri, inawezekana SSC lengo lao la uziduzi likawa tofauti kabisa na hoja ya mleta uzi lakini nayaona mafunuo hapo. lengo la SSC ni kuwa juu kileleni lakini bado ni jambo gumu kwao kwa usajiri waliofanya.
 
hii nimeielewa vizuri, inawezekana SSC lengo lao la uziduzi likawa tofauti kabisa na hoja ya mleta uzi lakini nayaona mafunuo hapo. lengo la SSC ni kuwa juu kileleni lakini bado ni jambo gumu kwao kwa usajiri waliofanya.
Walishindwa kufika kileleni badala yake waliofika ni Wasaidizi wasindikizaji

Maana yake Azam FC ndio watang'ara Juu ya Simba SC 😀
 
Back
Top Bottom