EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,325
Tovuti ya BBC Kiswahili inaripoti kuwa wakati kampeni za uchaguzi mkuu nchini Tanzania zikiwa zimeanza rasmi chama tawala nchini humo CCM kimezidi kuongeza idadi ya wabunge hata kabla ya uchaguzi wenyewe kufanyika.
Hayo yametokea baada ya mmoja wa waliokuwa wakiwania ubunge kupitia chama cha upinzani CHADEMA Bw Ezekiah Wenje wa jimbo la Nyamagan a mkoani Mwanza kuenguliwa kuwania nafasi hiyo kwa madai kuwa si r aia wa Tanzania.
Hatua hiyo inamfanya Bwana Lawrence Masha ambaye alikuwa anawania nafasi hiyo kupitia CCM , akipambana na Bwana Wenje kupita bila kupingwa na hivyo kusubiri kuapishwa hata ya u chaguzi wenyewe unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba.
BBC Swahili - Habari - CCM chaongeza idadi ya wabunge Tanzania
Hayo yametokea baada ya mmoja wa waliokuwa wakiwania ubunge kupitia chama cha upinzani CHADEMA Bw Ezekiah Wenje wa jimbo la Nyamagan a mkoani Mwanza kuenguliwa kuwania nafasi hiyo kwa madai kuwa si r aia wa Tanzania.
Hatua hiyo inamfanya Bwana Lawrence Masha ambaye alikuwa anawania nafasi hiyo kupitia CCM , akipambana na Bwana Wenje kupita bila kupingwa na hivyo kusubiri kuapishwa hata ya u chaguzi wenyewe unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi Oktoba.
BBC Swahili - Habari - CCM chaongeza idadi ya wabunge Tanzania