Suala la ushoga msinyamaze, ila mtesi wenu ana nguvu kuliko mnavyofikiri, mipango ipo hivi...

Suala la ushoga msinyamaze, ila mtesi wenu ana nguvu kuliko mnavyofikiri, mipango ipo hivi...

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Wakuu salam,

Hoja za Ushoga na kuhalalisha ndoa za jinsia moja ni jambo sensitive sana hasa kwenye jamii zetu za Africa.

Tusichoelewa ni kwamba watea wetu wana nguvu sana na ni moja ya ajenda kubwa sana kwenye mikutano ya wakubwa huko duniani.

Jambo hili la ushoga sio jipya hapa duniani ni la zamani lakini stage iliyopo ni legalization and inclusion of LGBTQS kwenye jamii zetu bila kuficha ikiwemo promotion.

Jicho la tatu ni kwamba nawapa tu mipango na nguvu za hawa watu na nyie mjipime.

1. Mashirika(NGO) kumi yasio ya kiserikali uanayo advocate choice kwa mwaka jana pekee yalipokea funding si chini ya 300B, moja ya element ilikuwa ku advocate issue za " ushoga"

2. Sitting board of Directors wa NGOs hizo ni wake wa viongozi wakubwa wastaafu nchini.

3. Nchi zote tunazopokea funding kutoka kwao wameshahalalisha ndoa za jinsia moja.

Nini kinafuata?
1. Funding zote za elimu lazima ziwe na element ya inclusion of LGBTQS rights.

2. Reviews ya National Examinations nchi nzima itaanza na ili upate funding lazima hiyo element iwe imejumuishwa.

3. Funding za mirad ya Afya na bima ya afya lazima zitambue without exclusion watu wa LGBTQs bila ubaguzi.

4. Kufikia Q3 kuna funding inakuja kwa ajili ya Ku support advancing LGBTQs and development, na ni pesa mingi.

5. Support and Value clarification to Religious leaders.. hii ni pesa inaenda kwa Watumish wenye ushawishi, kupata uelewa na kusaidia ku influence LGBTQS rights.

6. Support for endorsement kwenye siasa, na hapa itakuja funding ya kutosha kwa social media influenciers kwa ajili hiyo.

Wafadhili wakubwa wanajulikana, ni our development partners...

Labda tunyamaze mazima au tuangalie tu mambo yanavyoenda, tulinde watoto

Sababu za yote haya ni pamoja na kusaidia sana kwenye population controls na experts wa Social marketing wanasema hata Reproductive pills iliyoandaliwa kwa ajili ya wanaume watu weusi hawatakula, itakuwa na ugum sana kuingiza sokoni kwa sabab ya cultural diffrence, still advocating LGBTQS is the choice to go.

Watafiq.

Screenshot_20230301-162314_Twitter.jpg
 
Ushoga hauepukiki,sikuhizi wanajitangaza hadharani....

Halafu nchi dhaifu kama TZ haina nguvu ya kuzuia ushoga...

ushoga unatuangamiza,siku hizi kama usipoliwa tacle basi utamla mwanaume mwenzio...

Na mimi nasema hivi
tukazane kuwala hawa mashoga, maana wanawake ni wengi,ukichanganya na hawa gey wanakua x2...
 
Unaposema "mtesi wenu"unamaanisha wewe upo kundi gani?

Hizo mbinu mbona zinajulikana wala sio kwamba ni mpya, tutawabana mbavu na hawatapenya Kiroho na Kimwili, Tanzania sio kama wengine.

Kama kuna mtu anaona Ushoga ni mzuri achukue begi lake aanze kwenda kuwafuata hukohuko, Kama ni nchi jirani au atapitiliza ni uamuzi wake.

Hatutakubali kuacha watoto wetu waangukie kwenye tamaduni za Washenzi.
 
Unaposema "mtesi wenu"unamaanisha wewe upo kundi gani?

Hizo mbinu mbona zinajulikana wala sio kwamba ni mpya,tutawabana mbavu na hawatapenya Kiroho na Kimwili,Tanzania sio kama wengine.

Kama kuna mtu anaona Ushoga ni mzuri achukue begi lake aanze kwenda kuwafuata hukohuko,Kama ni nchi jirani au atapitiliza ni uamuzi wake.

Hatutakubali kuacha watoto wetu waangukie kwenye tamaduni za Washenzi.
"Mtesi" ni powerful organization man..
 
Serikali ombaomba ilisemaga 2018 kuzuia ushoga sio msimamo wake lakini haikusema msimamo wake ni nini?

Hapo hapo ilisaini mkataba wa haki za binadaamu unatambua ushoga na kuheshimu ushoga Sasa hayo ndo madharau ya kutojiweza alafu unapenda vitu vizuri mwsho wa siku unakosa maamuzi binafsi

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
 
Ushoga hauepukiki,sikuhizi wanajitangaza hadharani....

Halafu nchi dhaifu kama TZ haina nguvu ya kuzuia ushoga...

ushoga unatuangamiza,siku hizi kama usipoliwa tacle basi utamla mwanaume mwenzio...

Na mimi nasema hivi
tukazane kuwala hawa mashoga, maana wanawake ni wengi,ukichanganya na hawa gey wanakua x2...
Acha laana zako
 
Ukiwa legelege unategemea kuendesha mambo kwa misaada ya Wazungu lazima ujae nyavuni tu.... njia ya kujinasua na mitego ya Wazungu ni kuwa Taifa la watu wanaoamini kufanya kazi kwa bidii na kujitegemea...

Unataka vya bure, unataka uishi kwa kodi za watu wengine, unataka uishi kwa jasho la watu wengine halafu unataka kuikwepa ushoga?
 
Almanusura umasikini utupiwe lawama kuwa ni chanzo cha ushenzi huo. Cha ajabu mashoga ni watu wanaojiweza kiuchumi.
 
Juzi kati milikua naangalia kipindi flani kiko mtv base moja ya host wao ni shoga Na anazungumzia mahusiano yake Na jamaa ake niliogopa sana afu kuna ile Channel ya cbs reality kipindi cha Cheaters ukiangalia umo episode za upinde ziko WAZI WAZI Kabisa
 
Aiseee mtesi wetu anaonekana kufumbia macho ilo swala aisee. Apa kila abiria na achunge mzigo wake.

Yaani imekaa ni kama haielewi kinachoendelea nchini.
 
Juzi kati milikua naangalia kipindi flani kiko mtv base moja ya host wao ni shoga Na anazungumzia mahusiano yake Na jamaa ake niliogopa sana afu kuna ile Channel ya cbs reality kipindi cha Cheaters ukiangalia umo episode za upinde ziko WAZI WAZI Kabisa
Ivyo vitu usizoee kuvitazama mkuu Viko very sensitive na vimebeba Spirituals Chafu ambazo kukuingia wewe ni Rahisi sana. Ukiona vinahusiana na ayo mambo Toa Faster usitake kuchimba deep sana.
 
Kuna pastari mmoja alipiga mkwara mzito waumini wake asiwepo shoga atamtimua akasali kwingine. Huyo pastari sasa hivi ana hospitali. Regulation za ushoga atazikubali tu kama hataki afunge hospitali. Tena hospitalini kuna mradi wa nyota ya kijani, washenzi walewale. Halafu hao partners wa misaada wanataka nchi itangaze rasmi kwa sauti kubwa kuwa imekubali na kutambua haki za mashoga, hawataki uukubali ushoga kwa sirisiri ili upokee misaada yao. Nchi zingine zinalazimishwa kuukubali ushoga hata kama haupo kwa wingi
 
Man, Umesema "mtesi wenu", neno mtesi nalijua ila ukaongeza "wenu"ndio nikauliza mbona wewe umejitoa upo upande gani?
Nat*##&mba wenu hapa ili imply kupinga kwa maneno tu haitoshi lazima tueleww nguvu za mwovu.
 
Back
Top Bottom