Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 826
- 1,622
Mm kwa mawazo yangu naona hii kitu tunavozid ijadili ndy inavyozid kuwa kubwa na kutrend Bora kuacha kuizungumzia na tugeukie kuwalinda watoto wetu kimaadili na kivyovyote ili wasiweze kuingia kwenye huu ufurauni
Naamini Kila mmja wetu akifanya hii njia kuzuia kwanzia huku chini kuwalinda na kuwalea kwenye maadili yenye misingi watoto wetu na tuwe nao mda mwng maana unakuta mzaz anaonana na mtoto asubuh na usiku tu hajui mchana wote mtot alku kwny hal gan
Tutalishinda hili au litapungua kwa kiasi kikubwa.
Na kingine wanawake punguzeni kuchuna na kubana tundu mpe mwenza wako si amekupenda kwajili ya hiko kitu bhana mpatie bila kujali nn wala nn .
Naamini Kila mmja wetu akifanya hii njia kuzuia kwanzia huku chini kuwalinda na kuwalea kwenye maadili yenye misingi watoto wetu na tuwe nao mda mwng maana unakuta mzaz anaonana na mtoto asubuh na usiku tu hajui mchana wote mtot alku kwny hal gan
Tutalishinda hili au litapungua kwa kiasi kikubwa.
Na kingine wanawake punguzeni kuchuna na kubana tundu mpe mwenza wako si amekupenda kwajili ya hiko kitu bhana mpatie bila kujali nn wala nn .