Suala la ushoga msinyamaze, ila mtesi wenu ana nguvu kuliko mnavyofikiri, mipango ipo hivi...

Hatutanyamaza ... Aje POPE wa RC aje Biden , Aje Joseph Borrel , Aje nani ..

Hatunyamazi
Tokeni hadharani km kweli mko serious, mnabaki kulia kwa keyboard, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

USHOGA unataradadiiiiiiii tyuuuuuuh.
 
Kwani mbna barua ya Serikali kuhusu suala la makonda na saka mashoga, OP ameambatanisha. Kila kitu kiko waziii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaweza pambana ukajikuta uko pekeako🤣🤣🤣.

Kila mtu achunge familia yake maana baadae makonda alianza kuzodolewa
 
Oya nasikia kuna connection afande anafukuliwa mtaro, huyo afande shoga inatrend now usiniambie huna,,,
Ninayo tangu janaa usiku, leo enyewe kwenye magroups mengi nimesambaza mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaweza pambana ukajikuta uko pekeako[emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Kila mtu achunge familia yake maana baadae makonda alianza kuzodolewa
Makonda hana hamu na serikali, na akapigwa ban yeye no kukanyaga Ulayaa, afu wenzake kila kukichaa haoo wana amkia huko kwaa wazungu, anaumiaje na kujutaaaa???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Makonda hana hamu na serikali, na akapigwa ban yeye no kukanyaga Ulayaa, afu wenzake kila kukichaa haoo wana amkia huko kwaa wazungu, anaumiaje na kujutaaaa???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣Mtihani sana hizi nchi zetu
 
Hizo haki za binadamu wanazoongelea ni nini? Tangu lini upuuzi na ujinga ni haki ya binadamu.

Watu wanashindwa kufight weaknesses zao wanataka kuzijustify dunia nzima.
 
Serikali imejipiga pin huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…