Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Kama hoja zenyewe ndio hizo MFU za ukabila sitahitaji kukumbushwa nawe, wala mwingine yeyote wa aina yako.
OVER & OUT
Nimegundua kwamba unakubaliana na hoja yangu isipokua hilo neno la uchaga ndio limekupa ukakasi. Ntaliondoa
 
Umechelewa kutoa angalizo wenzio wameshaapa
 
Tatizo madeni , wabunge wengi wa cahadema Wana madeni , hawawez achia fursa
 

Wasipokuelewa hapa hao mandondocha hawatakuelewa kamweeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watakuwa siyo wa chadema bali wa ccm.
Chadema haitambui matokeo ya uchaguzi wa October 28, 2020.

Huwezi kuwalazimisha kukubali matokeo.

Mkiona vipi mkifute chama, lakini kina haki kukataa.

Wewe ni nani kumzidi mdee?
 
Aksante kutujuza. Hii tayari imebuma. CCM wajaribu mbinu nyingine. Ninawaomba viongozi wa CDM wawafukuze uwanachama wasaliti wote. Heri kubaki na wanachama wachache walio "loyal" kuliko kuwa na kundi la wasaliti.
Nyumbu oyeeeeeeee
 
Hahaha hakuna wa kwenda bungeni, sharti lazima wathibitishwe kwa barua kutoka kwa katibu mkuu Chadema, kwenda NEC kisha wao waiwasilishe kwa spika.

Nje ya utaratibu huo hakuna wa kwenda kuapishwa.
Wameapishwa Rudi ujibu hoja nyumbu
 

Wamekwenda kuapa hawa fukuzilia mbali mara moja bila kuchelewa!
 
Karibu leo saa tatu usiku tutakuwa na kanga moko hapa kitaa tutaimba "wamebana wameachia...."
NJAA NI ADUI WA MAGEUZI.......OGOPA SANA KITU KINAITWA NJAA.
 
Wameapishwa Rudi ujibu hoja nyumbha

Wameapishwa Rudi ujibu hoja nyumbu
Hahaha watoto wa siku hizi mnatukana hadi babu zenu.

Nilimzaa baba yako kupitia mchepuko wangu bibi yako, nikamzaa mama yako kupitia mchepuko wangu bibi yako.

Baba na mama yako wanangu wa nje, wana share baba ambaye ni mimi.

Kama unajiona unaakili, unishukuru mimi.

Mi nimesema hao sio wabunge wa chadema bali ccm.
 
Wataendaje wakati Chama Kimekataa Uchaguzi Haukufanyika na Hivyo Hakuna Kushiriki Mambo yote yausuyo kilichotokana na uchaguzi huo...
Soma Tena uje na unyumbu wenu wa kujitoa ufahamu.
Sasa mnasifia matapishi yenu. Toka lini nyumbu wakajielewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…