Nawapongeza CDM kwa maamuzi hayo, hiyo ni kazi imepatikana haikuwa vizuri kuisusia, kuhusu uchaguzi wanaweza kuendelea na kesi zao huku jina lao likiwa kwenye chati, Cha msingi hizo pesa zitakazopatikana wajitahidi wafungue kampuni moja tu waajili vijana wengi wao msingi wao na maendeleo waache CCM watuletee Ila wao wasimamie swala moja tu la ajira kwa kufungua kampuni hata mbili.