Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Wenye tulishauona siku nyingi ibabaishaji na usanii wa wahuni wachache ndani ya Chadema wakiongozwa na TUNDU. Anasingizia kuibiwa kura, huyo hata kwenye ubungebtu asingeshinda safari hii sembuse Urais wa JMT.

MTAUMIA BURE NA ROHO ZENU NA BADO KAZI INAENDELEA
 
Mchezo huu unachezwa na Mbowe. Mbowe hawezi kuacha ruzuku, piga ua garagaza. Akina mnyika wakifanya mchezo mbele ya ruzuku watafukuzwa. Take my words.
 
Wamesikiliza ushauri wako
 
Kuna dalili zote mleta mada kachana kadi yaje ya chadema! Unaweka uso wapi sasa. Mliambiwa Tanzania kwanza vyama baadaye ninyi mkanga'ania vyama! Hata hivyo, nawapongeza viongozi wa Chadema amabao wameona umuhimu wa kuwaruhusu wanachama wao kuwakilisha huko bungeni kwa mujibu wa sheria zilizopo.
 
Mkuu mimi niko upande wa haki, si mwanachama wa Chadema,

Ila swali langu katiba ya Chadema inasema nini katika hili? Tuweke ushabiki pembeni.
Sijui katiba ya CDM ilw wengi wanasema
Mdee hakupaswa kuwemo


Kawemo
 
NJAA HAINA BAUNZA, MJOMDA
 
Walijulikana mapema ,muda si mlefu watafukuzwa chama ,vizuri wapo wengi na wenye misimamo mikali kuliko wao,waende huko kutumwa na kuzomewa na kuendeleza biashala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…