Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Ikiwa hilo litatokea itakuwa ni ushahidi tosha wa kuthibitisha walichokuwa wanapigania sio maslahi ya wananchi bali ni maslahi yao wenyewe na sasa inadhihirika wazi wana njaa kali
Njaa iko wapi?!!!
Yaani mh.Dada mkubwa Hallima Mdee na wengine wote wana njaa?!!

Hivi unajua kuwa mwanajeshi mwenye CHEO KIKUBWA anapostaafu... huwa "hanyongi" zaidi ya 300M na gari moja la kifahari...?!!

Leo mbunge anamaliza miaka 5...kiinua mgongo bila ya kuchelewa kukipata "anafukia mfukoni" si chini ya 300M....
Kumbuka ndani ya hiyo miaka 5 amejikusanyia chini kidogo ya 1.0Billion....

Acha kabisa MASKHARA na kazi ya UBUNGE...hawana NJAA hawana NJAA hawana NJAA...

Kikubwa kwangu waendelee KUPEWA STAHIKI ZAO kwani wanastahili....cha mno tu WAKATUWAKILISHE VYEMA BUNGENI.....



#NINAWAUNGA MKONO AKINA HALIMA JAMES MDEE NA BAWACHA KWENDA BUNGENI KUAPA.
 
Uhalali haudhihirishwi kwa kuwakataza viti maalum kwenda bungeni, kwahiyo hata huyo aliechaguliwa kwa kura nae hakushinda?
Yawezekana akushinda pia, kwani kilichoamuwa mbunge kutangazwa si kupata kura nyingi.
 
Kila chama kinataratibu na sheria zake na kiuhalisia wanachama wanawajibika kuzifuata, ukienda tofauti utawajibishwa na ikiwezekana unafutwa uanachama. Sasa tulishihudia wakati wa uteuzi wa mgombea wa nafasi ya uraisi kwa upande wa ccm kuna walioonyesha nia ya kugombea na kisheria walikuwa sawa lakini wakashughulikiwa mpaka wengine kujitoa na kuhamia vyama vingine; tulitegemea watu kupaza sauti hiki kitu kisifanywe kihuni lakini watu kwa unafiki walikaa kimya.
Sasa turudi kwa hili la chadema haiwezekani na haitokaa kuwezekana mtu kujipeleka bungeni ili kuapishwa bila kupelekwa jina lake na uongozi wa chama kwa kufuata taratibu, na itakuwa halali kabisa kuwafuta uanachama kama watafanya ivyo. KAMA SPIKA ATAWAAPISHA HAO WALIOJIPELEKA KIHUNI, ATATAKIWA KUHOJIWA HAYO MAMLAKA YA KUAPISHA MTU ALIYEJIPELEKA MWENYEWE KAYATOA WAPI?? Na kwa hili chadema wakikaa kimya itakuwa lao moja na ccm.
 
Kukujibu hapo pekundu, ni kwa vile wakubwa akina Mbowe nk hawapo Bungeni. Kungekuwa na viti maalum vya wanaume wasingesusia. Ni UBINAFSI unawasumbua.

Kwa mtu mwenye busara angepeleka hao 19 wakawasumbue wabunge wa CCM kwa kujenga hoja mjarabu
 
Kukujibu hapo pekundu, ni kwa vile wakubwa akina Mbowe nk hawapo Bungeni. Kungekuwa na viti maalum vya wanaume wasingesusia. Ni UBINAFSI unawasumbua.

Kwa mtu mwenye busara angepeleka hao 19 wakawasumbue wabunge wa CCM kwa kujenga hoja mjarabu
Kunywa soda nakuja kulipa hahaha
Umeongea point tupu
 
Kwa kweli kama kuna ushauri feki kutokea hapa Tanzania ni huu ambao umesimama kwa kigezo cha hamsini kwa hamsini isiyokuwa na meno yenye kila dalili la kufikiria posho tu na si kuhudumia wenye nchi bunge la kumpigia makofi ndugai na tulia daima siyo bunge halali bali lipo kwa maslahi ya chama cha mapinduzi pekee na si vinginevyo.
 
Mimi Sina mume labda tumupeleke babako asiyesimamisha viti maalumu maana ni useless and functionless. Mfyuuu
hawala wa mamako alikosea kumwaga upako kwa mamio ndo ukatotolewa kifutu wewe💩💩💩
 
Ulivyomaliza kwa kicheko unaanisha ushauri wako ni kejeli tu. Unawapotosha wenzio.....
 
hawala wa mamako alikosea kumwaga upako kwa mamio ndo ukatotolewa kifutu wewe[emoji90][emoji90][emoji90]
Kubwa jinga wewe na matusi yako nakuweka ignore list,naona umevurugwa mfyuuu, go to hell [emoji48] and byee
Member mzee humu JF hujiheshimu
 
Wanaccm tupo busy kuwashauri watu wasio taka Maendeleo nchi waingie Bungeni duujj BASI WANACCM SISI NI MIJINGA
 
Wataendaje wakati Chama Kimekataa Uchaguzi Haukufanyika na Hivyo Hakuna Kushiriki Mambo yote yausuyo kilichotokana na uchaguzi huo...
Kusema uchaguzi haukufanyika ni jaribio la kutaka kusema kwamba waliokuwa wabunge bunge la 11 waendelee mpaka uchaguzi mpya utakapofanyika ikimaaanisha kuwa Mbowe et al watarudi bungeni- jamani kushindwa kubaya
 

Waache tu wawe huru kuamua lifaalo machoni pao.Itatusaidia kujua kwamba wapo kwa ajili ya taifa au maslahi yao binafsi.Hata hivyo ni jambo la hatari kuishi na jini-malaika.
 
Nawaunga mkono hao kina Mama kwani angekuwa Mbowe au Lissu ndiyo kachaguliwa asingekataa kwenda kula kiapo Dodoma, njaa si mchezo jamani. Nyie kina Mama nendeni tu kula kiapo, wengine mna watoto na hata kama hamna mna washikaji wa kuwatunza.
 
Ubunge ni kwa kibali cha chama siyo kibali cha mtu binafsi, huwezi kujipeleka wewe binafsi kula kiapo cha ubunge viti maalum bila jina lako kupitishwa na vikao vya chama!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…