Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Hakuna ukamanda kwenye njaa, Hakuna mwanasiasa wa kupigania maslahi yako
Kwani hawa kina Mdee wana njaa?!!!

Watu walioweza kujikusanyia karibia BILIONI 1 kwa miaka 5....wakiwa hii Tanzania YETU...hiihii!!

Ninaunga mkono wazo la WAO kwenda BUNGENI KUAPA kwani ninawakumbusha kuwa CUF hawakuyatambua matokeo ya mh.Dr.Shein kwa ule UCHAGUZI wa marudio...waliamua kukaa NJE YA baraza la WAWAKILISHI....

Dr.Shein na baraza WALIENDELEA.....

Nina imani kuu ya kwamba ACT WAZALENDO hawatayarudia tena kipindi hiki...
Ninaamini HAWATOSUSA tena BARAZA LA WAWAKILISHI...

Ninaamini WATAYAINGIA MARIDHIANO....

Sasa kwanini akina MDEE na BAWACHA walisuse bunge la JMT?!!!

Muda utaongea.....
 
Kwani hawa kina Mdee wana njaa?!!!

Watu walioweza kujikusanyia karibia BILIONI 1 kwa miaka 5....wakiwa hii Tanzania YETU...hiihii!!

Ninaunga mkono wazo la WAO kwenda BUNGENI KUAPA kwani ninawakumbusha kuwa CUF hawakuyatambua matokeo ya mh.Dr.Shein kwa ule UCHAGUZI wa marudio...waliamua kukaa NJE YA baraza la WAWAKILISHI....

Dr.Shein na baraza WALIENDELEA.....

Nina imani kuu ya kwamba ACT WAZALENDO hawatayarudia tena kipindi hiki...
Ninaamini HAWATOSUSA tena BARAZA LA WAWAKILISHI...

Ninaamini WATAYAINGIA MARIDHIANO....

Sasa kwanini akina MDEE na BAWACHA walisuse bunge la JMT?!!!

Muda utaongea.....

Kuhalalisha haramu kunasaidiaje kukomaza demokrasia nchini?
 
Kuhalalisha haramu kunasaidiaje kukomaza demokrasia nchini?
Mkuu...

Wabunge wa VITI MAALUM wanatokana na KURA ZA MGOMBEA WAO WA URAIS....

Mh.Tundu Lissu amepata kura 1.9M+...

Iwe hata kama ni kura ambazo NINYI MNAZIDOUBT....

Iwe hata kama ni kura ambazo NINYI MNADAI ZIMEPUNGUZWA...mwishowe "zilizobaki" na kutangazwa ni hizo hapo juu...

Kwani CHADEMA kimefutika?ni kwanini leo hii WABUNGE WA VITI MAALUM(literally hawakupigiwa kura majimboni) WASIENDE BUNGENI?!!!

Hebu BAWACHA wazitendee HAKI kura za HESHIMA alizopewa mh.Tundu Lissu bara na Zanzibar.....

Yaani WAKAE nje ya BUNGE wasubiri uchaguzi Mwingine wa 2025?!!
Kukaa kwao NDANI ama NJE kutabadilisha URAIS wa mh.Magufuli?!!
KUTABATILISHA bunge la JMT?!!!

CHADEMA wajifunze kilichowakuta WAWAKILISHI WA CUF mwaka 2015.....
Katika mazingira ambayo bwana JECHA "alifanya" yaliyoshuhudiwa....hakukufuta URAIS WA MH.DR SHEIN(Leo mstaafu buheri kabisa)...

Katika mazingira ambayo BWANA JECHA "alifanya" yaliyoshuhudiwa....hakukufuta BARAZA LA WAWAKILISHI(wamestaafu na kiinua mgongo juu)....

HARAKATI ni safari ndefu.....
JAZBA NA HISIA hazisaidii katika UTULIVU WA UHALISIA.....


MAENDELEO HAYANA VYAMA.
 
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.

Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya bunge.

Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.

Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.

Sheria inataka majina ya viti maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.

Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.

Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.

Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu

1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?

2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?

Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.

Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.

Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!

Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule

1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?

2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?

3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
Maandishi wa mitandaoni, wengi wana kazi mbadala. Wanamdanganya nani sasa? Wengine bila siasa hawaendi chooni
 
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.

Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya bunge.

Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.

Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.

Sheria inataka majina ya viti maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.

Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.

Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.

Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu

1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?

2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?

Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.

Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.

Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!

Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule

1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?

2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?

3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
Ndugu una uthibitisho gani kwamba Halima anahusika? unamjua vzr Halima Mdee? unadhani anatumia utumbo kufikiri kama wengine?....kukataa viti maalum Chadema haimaanishi wengine hawavitaki maana ni fursa na ukikuta jina limeena kwa meneja kampeni wa cccm wee muite mkurugenzi wakutangaza! manake hao sio wanawake wa Bawacha ni wachumia tumbo... habari ya viti maalum ilishakwisha
 
Utetezi unaoweza kutolewa:
1. Hii ni haki yetu wala sio fadhila maana ni sehemu ya kura ambazo tulistahili kupata.
2. Hatuwezi kukubali ruzuku wakati tumekataa ubunge wakati vitu vyote viwili vimetokana na sehemu ya kura tulizostahili kupata.
3. Na chama kitakuwa na wakati mgumu wa kujiendesha, kusimamia kesi bila ruzuku na michango ya hawa wabunge.
4. Tutaendeleza mapambano ndani ya bunge kuwapigania wananchi wetu na kuainisha makosa ambayo serikali watakuwa wakiyafanya kabla hayajatokea.

Vitu ambavyo havitasemwa:
1. Wananchi sio wa kuwategemea. Hawatatuchangia kukiendesha chama pamoja na maneno yao ya kwenye mtandao. Kuendesha chama ni tofauti na kuchangia mara moja faini za viongozi.
2. Wananchi bado hawana muitikio wa mapambano magumu yaliyopo mbele yetu. Mfano ni wao kutojitokeza kwenye maandamano tulioyaita.
3. Hata tusipoenda, C CM watafanya wanalolitaka kama walivyofanya Zanzibar mwaka 2015.

Amandla...
 
Mnataka wasiende nyie mtawahudumia kwny kukidhi mahitaji yao ya kila siku wao na familia zao?!!!Acheni unafiki,juzi tu mmeambiwa na viongozi wenu ingieni barabarani kuna aliyejitokeza?!!!Halafu leo mnapiga kelele mkiwa kwny keyboard zenu,kama fursa ipo kikatiba acheni wakatengeneze pesa ya uhakika mjengoni,YOLO.
 
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.

Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya bunge.

Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.

Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.

Sheria inataka majina ya viti maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.

Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.

Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.

Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu

1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?

2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?

Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.

Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.

Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!

Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule

1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?

2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?

3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
Hivi inaingia akilini kweli kwa mtu kukimbilia bata Ulaya/Ubelgiji halafu unawakataxa wenzako wasipate mshahara kwa miaka 5?. Familia zao zitajokimu vipi?

Huo ni ubinafsi wa hsli ya juu sana, kwani nani kasema wanawake wakiingia bungeni hawawezi kuwa wapinzani?
 
BAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19

Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali

Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete

Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
Inaonekana una Njaa sana wewe Kicheche
 
Hapo ndipo Upinzani wa TZ unapokwama,yaani kila mtu anatafuta shibe,kwa hiyo mtu yupo tayari kusaliti maamuzi ya wenzake kwasababu tu kule kuna msosi,njaa mbaya sana inaondoa hata akili na utu.Nadhani wamekusikia.

Dah...hivi unadhani kuna mwanasiasa yoyote bongo yuko kwa ajili ya wananchi? Hebu tufanye kazi za siasa ziwe za kujitolea uoine hata kama uchaguzi tutauhitaji...jiongeze [emoji2960]
 
Mkuu...

Wabunge wa VITI MAALUM wanatokana na KURA ZA MGOMBEA WAO WA URAIS....

Mh.Tundu Lissu amepata kura 1.9M+...

Iwe hata kama ni kura ambazo NINYI MNAZIDOUBT....

Iwe hata kama ni kura ambazo NINYI MNADAI ZIMEPUNGUZWA...mwishowe "zilizobaki" na kutangazwa ni hizo hapo juu...

Kwani CHADEMA kimefutika?ni kwanini leo hii WABUNGE WA VITI MAALUM(literally hawakupigiwa kura majimboni) WASIENDE BUNGENI?!!!

Hebu BAWACHA wazitendee HAKI kura za HESHIMA alizopewa mh.Tundu Lissu bara na Zanzibar.....

Yaani WAKAE nje ya BUNGE wasubiri uchaguzi Mwingine wa 2025?!!
Kukaa kwao NDANI ama NJE kutabadilisha URAIS wa mh.Magufuli?!!
KUTABATILISHA bunge la JMT?!!!

CHADEMA wajifunze kilichowakuta WAWAKILISHI WA CUF mwaka 2015.....
Katika mazingira ambayo bwana JECHA "alifanya" yaliyoshuhudiwa....hakukufuta URAIS WA MH.DR SHEIN(Leo mstaafu buheri kabisa)...

Katika mazingira ambayo BWANA JECHA "alifanya" yaliyoshuhudiwa....hakukufuta BARAZA LA WAWAKILISHI(wamestaafu na kiinua mgongo juu)....

HARAKATI ni safari ndefu.....
JAZBA NA HISIA hazisaidii katika UTULIVU WA UHALISIA.....


MAENDELEO HAYANA VYAMA.
Umeandika madini matupu, mihemko na kususa hakujawahigi kuwa solution kwenye jambo lolote
 
Kuna habari zina-trend mitandaoni kuwa kuna kuna kundi la wanawake wa CHADEMA lipo kwenye harakati za chini kwa chini linakula njama za kwenda Dodoma kula kiapo cha kuingia bungeni kwa viti maalum.

Kundi hilo linajumuisha wanawake wenye majina makubwa makubwa ndani ya chama hicho, waliojijengea heshima huko zamani kutokana na misimamo yao nje na ndani ya bunge.

Hata hivyo inasemwa kuna mkakati unaoratibiwa na katibu mkuu wa zamani "aliyeunga mkono juhudi" ambaye ndiye anayeongoza jitihada xa kuwashawishi na kuwaweka sawa ili wakubali kusaliti msimamo wa chama chao.

Mimi ningependa kumkumbusha Mwenyekiti wa BAVICHA Halima Mdee kuwa hili suala linakwenda kupasua taasisi ya akuna mama wa CHADEMA. Kwanza kitendo cha wanawake kadha wa kadha kujichagua wao wenyewe na bila ridhaa ya Chama kwenda bungeni ni kinyume cha sheria ya nchi juu ya utaratibu wa viti maalum.

Sheria inataka majina ya viti maalum yawasilishwe kwenye mamlaka husika na katibu mkuu wa chama na si mtu kujipeleka mwenyewe.

Pili kitendo cha mwanachama kujiteua mwenyewe na kwenda kula kiapo kinyume cha utaratibu wa chama ni kuvunja wazi katiba ya chama maana mwanachama anakuwa amejitwalia mamlaka ya vikao mbalimbali vya chama vyenye kuhusika na teuzi za viti maalum.

Iwapo akina mama wa CHADEMA watakwenda kuchukua nafasi hizi za viti maalum kinyume cha sheria itakuwa ni kuweka haramu nyingine ya kisheria juu ya haramu ya uchaguzi feki, na utakuwa ni uhuni mwingine wa Ndugai na serikali kama uhuni mwingine wowote tuliokwisha ushuhudia.

Kuna swali nataka Halima Mdee anijibu

1. Yeye kama Mwenyekiti wa BAWACHA na mwanachama mwandamizi wa CHADEMA amefanya nini kuisaidia CHADEMA ili utaratibu wote wa kuheshimu maamuzi ya Uongozi wa CHADEMA katika ishu hiyo ya viti maalum ufuatwe?

2. Yeye kama muathirika mkuu wa wizi wa kura wa waziwazi aliofanyiwa na ambao tulioshuhudia video zake, Je yuko tayari kwenda bungeni kinyume cha utaratibu wa Chama chake cha CHADEMA na kwenda bungeni ili kuhalalisha bunge ambalo limepatikana kwa dhulma kubwa ua machaguo ya wananchi?

Wito kwa Uongozi wa CHADEMA
Namshauri Mwenyekiti na Katibu mkuu wa Chadema, Iwapo Kuna kundi la wanachama wa CHADEMA watajitwalia mamlaka ya kwenda bungeni kuapa kuchukua viti maalum kinyume cha utaratibu wa chama basi hao wamevunja katiba ya chama na watu hao washughulikiwe mara moja. Kwa sababu hata mkiwaacha watakuwa na Loyalty iliygawanyika, watajifanya kuwa upande wenu kujiegemeza kisiasa na kutafuta political standing mbele ya umma lakini watakuwa very Loyal kwa CCM na serikali yake kwa sababu ndo wanawapa kula.

Sasa ili kuondoa sintofahamu inayoweza kutokea huko mbele, Iwapo watajitokeza na kwenda kujiapisha bila ridhaa ya chama, basi Fukuza wote bila kujali jina la mtu.

Kama mkiwaacha, basi wapo wanawake mamilioni wa CHADEMA wanaofuatilia suala hili kwa nguvu zote na watakatishwa tamaa kwa chama kuwa selective kwenye kusimamia mambo ya msingi yenye manufaa kwa demokrasia ya Taifa.

Pili kwa kuwa CCM wamemessup kwa kuiba, kupora chaguzi na sasa wanatafuta legitimacy kwa kujaribu kuwanunua wapinzani kadhaa wa kuwaingiza bungeni, kitendo cha kuwatimua uanachama hawa kitawaondolea CCM ile legitimacy wanayoitaka ya uwepo wa wapinzani bungeni. Hapo mwanzo CCM waligeuza uwepo wa wapinzani bungeni kama rallying object ya kupeleka mashambulizi n. k, Sasa wamo mle peke yao, hawana excuse mbele ya wananchi ya kutodeliver. Sasa kukosekana kwa wapinzani wanajikuta wako peke yao, bunge limekuwa la chama kimoja, limekosa legitimacy, ndiyo maana wanahaha wapinzani wawemo!

Mwisho kabisa niwaombe akina mama wa CHADEMA wanaosumbuliwasumbuliwa na CCM ili wakahalalishe uharamu wa uchaguzi ule

1. Mkienda mle, mtahalalisha ile haramu, na itakuwa modus operandi ya CCM, yaani utskuwa ndo mchezo wao, kupora maamuzi ya wananchi kisha wawalambisha pipi wapinzani wachache mambo yao ya udhalimu yanaendelea. Je mko tayari kutusaidia sisi wananchi kwa kukataa michezo hii ya kihuni au mnataka kutuacha sisi wananchi kwenye mataa?

2. Je mko tayari kwa sababu ya vipande vya fedha kuwatupa na kuwasaliti viongozi wenu wa Chama na chama ambao kiukweli kabisa wanasimamia maslahi mapana ya wananchi na Chama kwa kukataa kulegitimize uharamu. Je nyie mnataka kukisaliti chama chenu kilichowatoa mbali?

3. Enyi wanamama wa CHADEMA hata mkiingia humo bungeni, hao CCM watawadharau, watawaona sellout.
Kikubwa zaidi sisi wananchi tutawadharau sana, maana mtakuwa hampo kwa ajili ya wananchi.
Ikiwa hilo litatokea itakuwa ni ushahidi tosha wa kuthibitisha walichokuwa wanapigania sio maslahi ya wananchi bali ni maslahi yao wenyewe na sasa inadhihirika wazi wana njaa kali
 
Kwa vile ni vitu vinavyofanyika chini ya jua ccm wanaweza kufanikisha zoezi hili haramu... na je kwa nini wanawahitaji wapinzani sasa kuliko wakati mwingine wowote? haya mapenzi mema ya ccm yametokea wapi?
Kama chama chenu kinahubiri kuwa haki haiombwi bali huchukuliwa, basi nao waacheni wachukue haki yao.
 
Maana yake hapo unahalalisha uchumia tumbo sio? Wanaenda bungeni kufanya nini? Wakakae tu wasubiri posho?

Hawatakuwa na impact yoyote kwenye bunge la CCM so haitakuwa na difference yoyote kama watakuwepo au hawatakuwepo.

Labda kama unamaanisha waende kwa maslahi binafsi.
Kwani maslahi ya umma ni kukataa kwenda? hizo nafasi ni kwa mujibu wa sheria na sio vinginevyo, hopefully kwa idadi ya kura za urais!!
 
If possible wafukuzwe kabla hawajaenda wanaharamu hawa yaani watu wauwawe wamwage damu za watu , halafu Halima Mdee na kundi lako muende mkabaliki mauaji waliyoyafanya ccm .
 
Utetezi unaoweza kutolewa:
1. Hii ni haki yetu wala sio fadhila maana ni sehemu ya kura ambazo tulistahili kupata.
2. Hatuwezi kukubali ruzuku wakati tumekataa ubunge wakati vitu vyote viwili vimetokana na sehemu ya kura tulizostahili kupata.
3. Na chama kitakuwa na wakati mgumu wa kujiendesha, kusimamia kesi bila ruzuku na michango ya hawa wabunge.
4. Tutaendeleza mapambano ndani ya bunge kuwapigania wananchi wetu na kuainisha makosa ambayo serikali watakuwa wakiyafanya kabla hayajatokea.

Vitu ambavyo havitasemwa:
1. Wananchi sio wa kuwategemea. Hawatatuchangia kukiendesha chama pamoja na maneno yao ya kwenye mtandao. Kuendesha chama ni tofauti na kuchangia mara moja faini za viongozi.
2. Wananchi bado hawana muitakin wa mapambano magumu yaliyopo mbele yetu. Mfano ni wao kutojitokeza kwenye maandamano tulioyaita.
3. Hata tusipoenda, C CM watafanya wanalolitaka kama walivyofanya Zanzibar mwaka 2015.

Amandla...
1. Hii siyo haki yao, haki haipatikani katika haramu, ingekuwa ni haki yao kama hizo nafasi zingepatikana katika uchaguzi wa haki siyo katika hili zoezi haramu la kijambazi

2. Hata kama ingebidi wabunge wa viti maalum waende huko bungeni, sharti ni kuwa majina lazima yapelekwe NEC na katibu mkuu na si wao wenyewe kujipeleka

3. Kuhusu ruzuku, hakuna ruzuku itokanayo na uchaguzi mkuu huu ambayo imeshapekekwa Chadema. na hili Chadema naamini watalifanyia kazi

4. Hata wakienda CCM wataendelea kufanya wanalolitaka.

Bottom line ni lazima kuprotest haramu ili uwe na moral authority ya kutaka haramu iondoke kwa ajili ya manufaa ya chaguzi zijazo. Kushiriki vikao vya kula nya ma za watu huku ukijifanya unapiga vita kuua watu ni unafiki, na wachawi wenzio hawatakuchukulia serious.

Kupambana na udhalimu inahitaji subira na uvumilivu na persistence siyo kusurrender kirahisirahisi kwa mtindo wa if you can't beat them, join them!
 
Wakienda bungeni ndio watapoteza heshima yote waliyonayo kwenye jamii, watajitia doa ambalo halitafutika.

Watanzania wa sasa wanaelewa kila kitu, ole wao hao wanawake.
Hakuna cha kuelewa hapo! hapo ni U-ccm tu unawasumbua, yaani kwanini wao wakapate hiyo posho!! Waacheni waende kama ambavyo waliishachaguliwa!! Kama uchafuzi uliisha hesabiwa kuwa umeisha, maisha yaendelee
 
Back
Top Bottom