Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Huu ndio utakuwa msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA.

Walipoteza mtaji mkubwa sana baada ya kumpokea Lowassa, hili nalo likitokea, basi watakuwa hawana cha kusimamia tena. Watakuwa sawa na TLP tu
 
BAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19

Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali

Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete

Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umewambia ukweli kabisa!

Bawacha waende bungeni. Kule ndio watapata hata platform ya kusemea. Waache kuwasikiliza hawa kina lisu wanaokula baga kwa akina Amsterdam
 
Ni afadhali chadema wakubaliane na reality tu, kwa sababu idadi yao haiharibu quorum ya Bunge na wala haitaathiri vikao vya bunge. Ni afadhali wawaruhusu hao wabunge maalumu wasikike bungeni kwa niaba ya chadema kuliko kuacha chadema iwe mute kabisa; kwa lugha rahisi, huu ni muda mwafaka sana wa CHADEMA kuchagua wabunge wa viti maalumu kwa umakini sana kuliko zamani.
Hawajapewa hzo nafasi kwa sababu wanapendwa sana,ni kwa sababu kijani wameona wana cha kupoteza na it's so huge..CDM wanatakiwa wawaache wapambane na msala wao walioutengeneza
 
Ni afadhali chadema wakubaliane na reality tu, kwa sababu idadi yao haiharibu quorum ya Bunge na wala haitaathiri vikao vya bunge. Ni afadhali wawaruhusu hao wabunge maalumu wasikike bungeni kwa niaba ya chadema kuliko kuacha chadema iwe mute kabisa; kwa lugha rahisi, huu ni muda mwafaka sana wa CHADEMA kuchagua wabunge wa viti maalumu kwa umakini sana kuliko zamani.
Kama quorum ya bunge haiharibiki, basi bunge iendelee na shughuli zake tu kama kawaida hakuna aliyelikataza.

Kusikika kwa CHADEMA halafu kusikika huko ikifika uchaguzi waibiwe kura, kupigwa, kufanyiwa kila aina ya uonevu hakuwasaidii.

Si busara kwa Chadema kuhalalisha uchaguzi feki
 
Ambia mamako
BAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19

Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali

Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete

Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ingekuwa wanaume nao wanakwenda viti maalum ingekuwa wameshafika dodoma long time
Unajitekenya wewe..unajua baadhi ya wabunge wa Chadema walikataa sh ngapi kuunga mkono juhudi ..hiyo pesa ilitosha wewe na ukoo wako kula kwa miaka 50
 
Hakuna atakaekubalika bila kupata barua kutoka Halmashauri kuu ya chama
Kama wamepata Baraka za chama Wacha waende maana mimi naamini asilimia kubwa ya bunge la sasa hadi huyo Rais ni vitu maalumu hawafiki robo yao waliopo kwa ridhaa ya wananchi

Nasubiri kusikia halima mdee akisema
'' Asante muheshimiwa spika mabunge viti maalumu kongwa naomba kuunga hoja '
Kwani siri?
Spika. Waziri mkuu n, k ni viti MAALUM sio ridhaa ya wananchi
 
Hawajapewa hzo nafasi kwa sababu wanapendwa sana,ni kwa sababu kijani wameona wana cha kupoteza na it's so huge..CDM wanatakiwa wawaache wapambane na msala wao walioutengeneza
Hawapewi kama hisani bali afasi hizo zipo kisheria. Halafu usidhani kuwa kufanya hivyo ni kuikomoa serikali au ni kuikomoa CCM bali ni kufanya CHADEMA isahaulike haraka sana masikioni mwa wananchi. Wale wote wanaodhani kuwa kutakosekana wenyeviti wa zile kamati nyeti za bunge ambazo lazima ziongozwe na upinzani wanasahau kuwa tayari bunge lina wabunge saba wa upinzani ambapo kwa kiapo chao cha ubunge wanaweza kutumikia nafasi zozote ndani ya bunge; yeyote kati ya hao ambao walikwishaapa ataweza kuongoza katika nafasi hizo.
 
Kama quorum ya bunge haiharibiki, basi bunge iendelee na shughuli zake tu kama kawaida hakuna aliyelikataza.

Kusikika kwa CHADEMA halafu kusikika huko ikifika uchaguzi waibiwe kura, kupigwa, kufanyiwa kila aina ya uonevu hakuwasaidii.

Si busara kwa Chadema kuhalalisha uchaguzi feki
Nimetoa jibu hili hapa

 
Suala la viti maalum limeshakwisha na majina yamekwenda na wataapishwa

Mm Nampa hongera Sana halima Mdee amefanya kitu kikubwa Sana yy kama Kiongozi wa wanawake

Hizo nafasi ni zao kisheria, Sasa why wasuse?

Kama ni malalamiko ya uchaguzi miaka yote yapo na wao walikuwa wanaenda bungeni Sasa why Leo wasiende?

Hakuna mpasuko wowote ambao utatokea coz viongozi wakubwa wote wanajua na hakuna Kiongozi yoyote wa ccm aliewashawishi
Kwa mujibu wa sheria, majina ya viti maalumu yanatakuwa yapitishwe na Halmashauri kuu ya chama husika na kupelekewa tume ya uchaguzi
Msimshambulie halima mdee bure

Kama ni mwanachama kwenda mwenyewe Dodoma hata mimi ningemnunulia wife kadi ya CHADEMA halafu nimpeleke Dodoma
Haya mambo ya chama hayahusiani na mtu binafsi
 
BAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19

Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali

Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete

Msije kusema hatukuwashauri hili [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata Mimi nawashauri waende vile wanaume wameshindwa wanataka wanawake eti wasiende bungeni wao wakipewa nafasi wanaenda
 
Suala la viti maalum limeshakwisha na majina yamekwenda na wataapishwa

Mm Nampa hongera Sana halima Mdee amefanya kitu kikubwa Sana yy kama Kiongozi wa wanawake

Hizo nafasi ni zao kisheria, Sasa why wasuse?

Kama ni malalamiko ya uchaguzi miaka yote yapo na wao walikuwa wanaenda bungeni Sasa why Leo wasiende?

Hakuna mpasuko wowote ambao utatokea coz viongozi wakubwa wote wanajua na hakuna Kiongozi yoyote wa ccm aliewashawishi
shwain wewe TUNAFUKUZA WOTE wajaribu kuingia...
 
Ingekuwa wanaume nao wanakwenda viti maalum ingekuwa wameshafika dodoma long time
CDM hawaheshimu wanawake Wana kimfumo dume kweli hzo nafasi ziko kisheria kabisa, kumbe wanatetea matumbo yao wenyewe
 
Hata Mimi nawashauri waende vile wanaume wameshindwa wanataka wanawake eti wasiende bungeni wao wakipewa nafasi wanaenda
Hivi kinachowafanya wanaume wawazuie hawa wanawake kwenda bungeni ni nini? Kwanza kwani ni wake zao???
 
Ka
Hawapewi kama hisani bali hizo nafasi hizo zipo kukisheria. Halafu usidhani kuwa kufanya hivyo ni kuikomoa serikjali au ni kuikomoa CCM bali ni kufabnya CHADEMA isahaulike haraka sana masikioni mwa wananchi. Wale wote wanaodhani kuwa kutakosekana wenyeviti wa zile kamati nyeti za bunge ambazo lazima ziongozwe na upinzani wanasahau kuwa tayari bunge lina wabunge saba wa upinzani ambapo kwa kiapo chao cha ubunge wanaweza kutumikia nafasi zozotendani ya bunge; yeyote kati ya hao ambao walikwisaapa ataweza kuongoza katika nafasi hizo,
1-Kama unadhani spirit ya upinzani kwa wananchi ni wabunge tu utakuwa upo nyuma ya historia,upinzani ni imani na hakuna serikali inaweza kuua spirit ya upinzani.
2.Mwenyekiti alisema mpaka 2020 upinzani utakuwa umeshafutika,ni upinzani upi unaouzungumzia wewe?
3.Kama ni sheria;Je,mbona sheria zinafatwa tu kwenye viti maalumu na siyo kwenye mchakato mzima wa uchaguzi?
4.Kama mmetimia bungeni,mnahangaika na viti maalumu vya kazi gani?
 
Back
Top Bottom