MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Huu ndio utakuwa msumari wa mwisho kwenye jeneza la CHADEMA.
Walipoteza mtaji mkubwa sana baada ya kumpokea Lowassa, hili nalo likitokea, basi watakuwa hawana cha kusimamia tena. Watakuwa sawa na TLP tu
Walipoteza mtaji mkubwa sana baada ya kumpokea Lowassa, hili nalo likitokea, basi watakuwa hawana cha kusimamia tena. Watakuwa sawa na TLP tu