Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Tetesi: Suala la Viti Maalum kuna usaliti unaotaka kufanywa na Wanawake wa CHADEMA

Jamaa style yake ya kutuhumu haijakaa poa.List ya mwanzo alituma akasema wafukuzwe,jana katuma majina baadhi ya mwanzo na mengine mapya;manake hawa ambao wametolewa wangeshakuwa wamefukuzwa kama alivyokuwa anataka si ingekuwa si haki? Mimi nadhani chama makini kisideal na uzushi au fununu
Ni kazi yake hiyo kutengeneza taharuki tu.last time alikuwa anamhusisha Ester Bulaya kuwa aliandaa orodha, jana kamtaja Mashinji ni uzushi tu ili aendelee kuishi mjini.
 
"Makamanda maandazi" wa CHADEMA mnanikumbusha wakati wa tetesi za Lowassa kujiunga CHADEMA!

"Makamanda maandazi" mlikuwa mnajiapiza kama atajiunga CHADEMA mtahakikisha Mbowe anang'oka!

Baada ya Lowassa kujiunga CHADEMA, kelele zote zilipotea na Mbowe mpaka leo ni mwenyekiti

Kelele nyingi, matendo zero.

Mbowe alishawajua ninyi ni debe tupu...

Wabunge wataenda bungeni na hakuna lolote mtakalofanya zaidi ya kuanza kupongeza na kusema "hatuwezi kumwachia bla bla shamba peke yake". Tunaenda kubanana huko huko!

Kama CHADEMA hawapeleki wabunge basi na ruzuku wazikae.

Tanzania kuna vituko!
Tena na Tanzania wahame wakaanzishe chama ulaya kwenye siasa safi
 
Ulitaka akubali kisha uanze kumtukana?
Kataa uamini siku ikifika hamtakuja na kuuliza tena humu mtakuja na hija nani achaguliwe ili aende bungeni, au nani kaachwa wakati alistahili.
Bungeni mna watu 370 hao 19 mnawataka wa nini?
 
Mpango wowote wa kupeleka wabunge viti maalum bungeni,utaiathiri pakubwa chama kikuu CHADEMA kwa kuwa watakua wamekubali kuwa Uchaguzi ulikua huru, Chama kikuu kineyakataa matokeo ya uchaguzi wote kitendo cha kukubali kupeleka wabunge viti maalum Bungeni ni kukubaliana na dhulma zilizofanyika katika uchaguzi.
Mwaka gani chadema ilikubali matokeo?
 
Tatizo la siasa ni washabiki, washabiki wa siasa ndio watu wasiojielewa. Mara kadhaa mmekumbushwa kuwa wanasiasa wote wanajuana na hawapo serious na kitu kinaitwa kupigania sijui watu

Kuna watu walikufa 2010 wakimpigania Dr.Slaa, leo wakiamka ukawaambia Dr.Slaa yupo ccm wanaweza kufa tena.

Kuna watu walikufa 2015 wakimpigania Lowassa, leo wakiamka?

Kama katibu wa chama aliweza kuondoka, iweje ushangae leo hii kwa mdee na bulaya?? Mtajifunza lini nyie watu msiosikia? Au ndio mtaandika post kila muda kuwatukana?
Mkuu huu ni ukweli japo wengi watakupinga, Hivi piga picha hao wafuasi wa slaa na Lowassa waliothirika na uchaguzi uliopita leo wako na hali gani.
 
Kuna watu kawataja kwenye ile orodha wamekanusha, na mimi nimeongea na mojawapo pia kakanusha juu ya hilo.
Mtu makini hawezi kuamini,na ukiangalia kwa umakini kawaweka viongozi BAWACHA-Mdee & Bulaya-mdee alivyokana tuhuma zikahamishiwa zaid kwa bulaya,nw wanataja tena wote kama mwanzo,kwa jicho la mbali unaona hapa ni uzushi mwingi kwa sababu hamna consistence ya habari,ila tatizo ninaloliona ni kwann kuharibu taswira ya mtu mwingine kwenye jamii bila kujiridhisha? Ila nachoisifu CDM ni kwamba wamejitahd kuwa very professional kudeal na changamoto.
 
Kuna watu kawataja kwenye ile orodha wamekanusha, na mimi nimeongea na mojawapo pia kakanusha juu ya hilo.
Kwa akli yako ulifkr watakubali ili walete taharuki ,
 
BAWACHA jiongezeni, nendeni bungeni kwa zile nafasi 19

Mtakuja juta siku nyie mnakataa hizi nafasi halafu viongozi wenu wanakuja kuteuliwa na rais kwa kazi ndogo ndogo wanakubali

Za kuambiwa changanya na zako - Jakaya Kikwete

Msije kusema hatukuwashauri hili 😂😂😂
Kwanini wasipewe polisi hizo nafasi?
 
Mpango wowote wa kupeleka wabunge viti maalum bungeni,utaiathiri pakubwa chama kikuu CHADEMA kwa kuwa watakua wamekubali kuwa Uchaguzi ulikua huru, Chama kikuu kineyakataa matokeo ya uchaguzi wote kitendo cha kukubali kupeleka wabunge viti maalum Bungeni ni kukubaliana na dhulma zilizofanyika katika uchaguzi.
Kama wamekataa matokeo yote Kwa nn wamekuali mbunge wao mmoja aende bungeni , sambamba na hayo madiwani wa Chadema walioshinda still wanapiga kazi, kuna utata mkubwa kwenye hoja yako...
 
Siasa ni kazi sasa bola kwenda bungeni watapata nini.Nashauri waende bungeni huki wakiendeleza jitihada zao za kuipigania demokrasia.Zanzibar Cuf na mwalimu Seifu Sharifu Ahmad walisusia mwaka 2015 je nini walipata baada ya kususia kule?
 
Mtu makini hawezi kuamini,na ukiangalia kwa umakini kawaweka viongozi BAWACHA-Mdee & Bulaya-mdee alivyokana tuhuma zikahamishiwa zaid kwa bulaya,nw wanataja tena wote kama mwanzo,kwa jicho la mbali unaona hapa ni uzushi mwingi kwa sababu hamna consistence ya habari,ila tatizo ninaloliona ni kwann kuharibu taswira ya mtu mwingine kwenye jamii bila kujiridhisha? Ila nachoisifu CDM ni kwamba wamejitahd kuwa very professional kudeal na changamoto.
Kama hamjui kigogo anasaidia Sana , mtakuwa watu wa ajabu msipomshukru huyo mwamba , anajaribu kuweka vitu waz ili isiwe surprise , wahusika wakiguswa wanakana ili kunetralize, ni Jambo la ajabu sa hv mnamuona zwazwa.... Wakat anajaribu kuexpose vitu vilivyopo behind the scene
 
Kama wamekataa matokeo yote Kwa nn wamekuali mbunge wao mmoja aende bungeni , sambamba na hayo madiwani wa Chadema walioshinda still wanapiga kazi, kuna utata mkubwa kwenye hoja yako...
Nafikiri hili ni Bunge lenye utata kuwahi kutokea,Huyu Mbunge mmoja kwa tiketi ya CHADEMA ana hoja za msingi kuwa Bungeni, Hivyo ni vizuri kusuburi vyombo halali vya Chama vikae na kutoa tafsiri ya Pamoja .
 
Wakienda bungeni ndio watapoteza heshima yote waliyonayo kwenye jamii, watajitia doa ambalo halitafutika.

Watanzania wa sasa wanaelewa kila kitu, ole wao hao wanawake.
Mashabiki wa siasa ndio huwa siriazi Ila sio wahusika wenyewe!

Na hata ukifuatilia, wengi wa wanaokufa kutokana na athali za kisiasa ni mashabiki na sio wagombea Kwa kuwa washabiki ndio huwa siriazi

Lakini wanasiasa, Leo Yuko Chadema, kesho Yuko CCM!!

Sasa wewe pambana!!!
 
Kama wamekataa matokeo yote Kwa nn wamekuali mbunge wao mmoja aende bungeni , sambamba na hayo madiwani wa Chadema walioshinda still wanapiga kazi, kuna utata mkubwa kwenye hoja yako...
Mkuu CHADEMA ni taasisi kama taasisi nyingine,na kabla maamuzi hayajachukuliwa juu ya uanachama wa mtu ni lazima vikao halali vya chama vifanyike juu ya jambo husika,na kufanya vikao ni logistics kubwa and very complicated hasa ukiangalia political environment ya sasa manake tunaongelea habari ya wajumbe wengine kuwa exile,polisi,nk.na mikutano mingine ya ndani ya chama kuharamishwa.Hope you will try to understand from their point of view.
 
Kwanza bora tuelimishane - pengine tunakosea pahala. Hivi viti maalum vinatokana na vigezo gani kwa chama husika - kutokana na idadi ya wabunge chama kilichopata ktk uchaguzi, au kutokana na idadi ya kura za mgombea urais alizopata mgombea wa chama husika?
Nadhani sheria lazima itakuwa wazi ktk hili na mwenye kufahamu twaomba atuwekee hapa kipengele/vipengele husika.
Kutokana na jumla ya kura zote za wabunge
 
Back
Top Bottom