Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hizo bendera za ccm sijaziona kwenye magari ya F Mbowe.wote kwenye magari yao wana bendera za ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo bendera za ccm sijaziona kwenye magari ya F Mbowe.wote kwenye magari yao wana bendera za ccm
tulia usibweke kama mbwa kichaa kwani wakiweka wakwepa kodi na wala kodi si zinatoshaHizo bendera za ccm sijaziona kwenye magari ya F Mbowe.
Asilimia kubwa ya hizo bidhaa feki ni sisi, tunawasingizia tu hao wachina.Kila Mtanzania ni shahidi.
Mpaka vifaa muhimu vya umeme, maji na electronics bandia mchina kwa makusudi kabisa kutujazia Kariakoo kisha kusambazwa Tanzania yote.
Nguo na mavazi nako ni hatari tupu, viatu na samani za ndani pia hajatuacha salama.
Ni TBS au serikali kwa ujumla imeridhia?
Kwanini Wachina watufanyie hivi?
Unauziwa bidhaa sh. 10000, ndani ya miezi 6 unapaswa ununue mara 2-3.
Vitu imara na vyenye ubora unaokubalika kimataifa upatikani wake mgumu.
Nilikwenda kufanya shopping ya vifaa vya umeme. Naambiwa kuna fake na original, Mimi nahitaji vipi?
Mafundi wenu wa magari, umeme, nyumba n.k wanawanunulia vitu fake kwa bei ya origin ili wabanie pesa.
Bongo watu wanalipa gharama kubwa kununua vitu feki kuliko wangenunua OG, bidhaa ina pitia msururu wa madalali mpaka inakufikia.Una uwezo wa ku afford high quality products ?
Unavaa shati utazani bati. Jua likiwakaa unakimbikia kivuli mpaka lipoeKila Mtanzania ni shahidi.
Mpaka vifaa muhimu vya umeme, maji na electronics bandia mchina kwa makusudi kabisa kutujazia Kariakoo kisha kusambazwa Tanzania yote.
Nguo na mavazi nako ni hatari tupu, viatu na samani za ndani pia hajatuacha salama.
Ni TBS au serikali kwa ujumla imeridhia?
Kwanini Wachina watufanyie hivi?
Unauziwa bidhaa sh. 10000, ndani ya miezi 6 unapaswa ununue mara 2-3.
Vitu imara na vyenye ubora unaokubalika kimataifa upatikani wake mgumu.
Nilikwenda kufanya shopping ya vifaa vya umeme. Naambiwa kuna fake na original, Mimi nahitaji vipi?
Mafundi wenu wa magari, umeme, nyumba n.k wanawanunulia vitu fake kwa bei ya origin ili wabanie pesa.
Huwezi kuwatoa Wachina kwenye huu mnyororo wa bidhaa bandia...!Suala siyo Wachina bali Wafanyabiashara na Watz wenzetu.
Bidhaa original sio mchezo ku afford viatu toka uk vinauzwa hadi laki tatu mtoa mada anazani zikiletwa bidhaa original bei itakuwa ile ileUna uwezo wa ku afford high quality products ?
Tunaruhusu wenyewe.....Inasikitisha..
Kuliwahi kuwa na mayai bandia yanayotengenezwa kwa kemikali, na pia mchele bandia, yote kutoka kwa Wachina
Kila Mtanzania ni shahidi.
Mpaka vifaa muhimu vya umeme, maji na electronics bandia mchina kwa makusudi kabisa kutujazia Kariakoo kisha kusambazwa Tanzania yote.
Nguo na mavazi nako ni hatari tupu, viatu na samani za ndani pia hajatuacha salama.
Ni TBS au serikali kwa ujumla imeridhia?
Kwanini Wachina watufanyie hivi?
Unauziwa bidhaa sh. 10000, ndani ya miezi 6 unapaswa ununue mara 2-3.
Vitu imara na vyenye ubora unaokubalika kimataifa upatikani wake mgumu.
Nilikwenda kufanya shopping ya vifaa vya umeme. Naambiwa kuna fake na original, Mimi nahitaji vipi?
Mafundi wenu wa magari, umeme, nyumba n.k wanawanunulia vitu fake kwa bei ya origin ili wabanie pesa.
Jibu ni ndio kweli maana kama tuna akili tusingekubali kadhaa hizi ya vitu fekiii..Kila Mtanzania ni shahidi.
Mpaka vifaa muhimu vya umeme, maji na electronics bandia mchina kwa makusudi kabisa kutujazia Kariakoo kisha kusambazwa Tanzania yote.
Nguo na mavazi nako ni hatari tupu, viatu na samani za ndani pia hajatuacha salama.
Ni TBS au serikali kwa ujumla imeridhia?
Kwanini Wachina watufanyie hivi?
Unauziwa bidhaa sh. 10000, ndani ya miezi 6 unapaswa ununue mara 2-3.
Vitu imara na vyenye ubora unaokubalika kimataifa upatikani wake mgumu.
Nilikwenda kufanya shopping ya vifaa vya umeme. Naambiwa kuna fake na original, Mimi nahitaji vipi?
Mafundi wenu wa magari, umeme, nyumba n.k wanawanunulia vitu fake kwa bei ya origin ili wabanie pesa.
Kwamba hata wewe huna akili?Kwani ww hujui Kwamba watz Akili hamna?
Kwamba hata wewe huna akili?