Suala la Wachina kutujazia bidhaa bandia kwenye masoko yetu, je, wanatuona hatuna akili timamu?

Suala la Wachina kutujazia bidhaa bandia kwenye masoko yetu, je, wanatuona hatuna akili timamu?

1708704743209.png
 
Tatizo nguvu ya manunuzi kwenye nchi yetu ni ndogo. Hatuna uwezo wa kununua bidhaa zenye ubora wa juu ukilinganisha na mataifa yaliyoendelea. China ndio nchi inayoongoza kwa kuingiza bidhaa nchini Marekani kwa mujibu wa Office of United States Trade Representative. Huko wanapeleka vitu quality ambapo na bei pia inakuwa quality.
 
Nguo za kichina siku hizi unakuta wamevalisha yale ma midoli yanangaa kweli ila yafue mara moja tuu ndio mwisho wake
Sasa wewe unaninua kiatu cha kike au nguo Kwa shilingi elfu tatu unataka vidumu Kwa muda Gani labda ukinualnua Kwa bei hiyo
 
Watanzania wengi hawana uwezo wa kununua kitu genuine..........huo ndiyo ukweli....kama upo kwenye biashara utanielewa kwasababu watu hawaangalii ubora wa kitu bali bei yake
 
Back
Top Bottom