mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Tatizo la wakimbizi halijaanza Leo wala halijaanzia kwa wakimbizi wa Ukraine!
Wanavyofanyiwa kwa uungwana wakimbizi wa Ukraine na mataifa ya ulaya ni jambo zuri sana! Swali ni je kwa nini wakimbizi wengine waliokuwa wanakimbilia ulaya toka nchi za mashariki ya kati na afrika ya kaskazini hawakuwa wakipokelewa kwa uungwana hivyo!
Hawa wa ulaya wanakaribishwa kabisa majumbani mwa watu, wanapewa social security na wanaruhusiwa kufanya kazi!
Wale wa kiarabu na kiafrika kwanza walikuwa wakilazimisha tu, na wengi wamefia mipakani au baharini! Hawakuwa wanakaribishwa majumbani hata kidogo!
Hii ni uthibitisho kuwa wazungu wana ubaguzi wa rangi wa kutisha! Hawatuoni sisi kama binadamu sawa na wao!!
Ukiona mzungu anajivuta kwako ujue ni kwa maslahi yake tu!
INAKERA!!
Wanavyofanyiwa kwa uungwana wakimbizi wa Ukraine na mataifa ya ulaya ni jambo zuri sana! Swali ni je kwa nini wakimbizi wengine waliokuwa wanakimbilia ulaya toka nchi za mashariki ya kati na afrika ya kaskazini hawakuwa wakipokelewa kwa uungwana hivyo!
Hawa wa ulaya wanakaribishwa kabisa majumbani mwa watu, wanapewa social security na wanaruhusiwa kufanya kazi!
Wale wa kiarabu na kiafrika kwanza walikuwa wakilazimisha tu, na wengi wamefia mipakani au baharini! Hawakuwa wanakaribishwa majumbani hata kidogo!
Hii ni uthibitisho kuwa wazungu wana ubaguzi wa rangi wa kutisha! Hawatuoni sisi kama binadamu sawa na wao!!
Ukiona mzungu anajivuta kwako ujue ni kwa maslahi yake tu!
INAKERA!!