Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Nchi nyingi zinazotegemea utalii katika uchumi wa Taifa, zimelenga kupata watalii wengi kwa gharama nafuu. Nchi nyingi zinafanya package holiday, ambayo watalii wa kipato cha kawaida wanaimudu.
Si wazungu wote kuwa ni matajiri. Wazungu wanaotalii wengi wanategemea credit cards. Kwa gharama za kuja Tanzania, akirudi kwao inambidi afanye kazi miaka miwili ili kurudisha pesa aliyokopa. Sasa kama huduma ilikua mbovu utalipa pesa huku una kiss meno mpaka unamaliza na ukimaliza unafuta kumbukumbu yote.
Chukulia mtalii anaekwenda Mikumi, kutoka Airport ya JKN mpaka Mikumi kungekua na sehemu ya kuchimba dawa inawezekana Chalinze. Sehemu yenye vyoo, maji, vinywaji na wahudumu wa kueleweka wanaojua lugha za kimataifa.
Mnafahamu wazungu wanavyopenda beer, na hapo ndiyo wako likizo. Wape chaguo la vinywaji, kutokana na package zao. Wale wenye package kubwa wapewe beer bure. Give aways pia. Ni shilingi ngapi inagharimu kushona magauni ya khanga one size kwa wanawake na mashati mfano wa kimono kwa wanaume.
Vyombo vya usafiri, mabasi ya kueleweka yenye viyoyozi. Ukitaka kufanya biashara ni lazima uwekeze kwanza.
Si wazungu wote kuwa ni matajiri. Wazungu wanaotalii wengi wanategemea credit cards. Kwa gharama za kuja Tanzania, akirudi kwao inambidi afanye kazi miaka miwili ili kurudisha pesa aliyokopa. Sasa kama huduma ilikua mbovu utalipa pesa huku una kiss meno mpaka unamaliza na ukimaliza unafuta kumbukumbu yote.
Chukulia mtalii anaekwenda Mikumi, kutoka Airport ya JKN mpaka Mikumi kungekua na sehemu ya kuchimba dawa inawezekana Chalinze. Sehemu yenye vyoo, maji, vinywaji na wahudumu wa kueleweka wanaojua lugha za kimataifa.
Mnafahamu wazungu wanavyopenda beer, na hapo ndiyo wako likizo. Wape chaguo la vinywaji, kutokana na package zao. Wale wenye package kubwa wapewe beer bure. Give aways pia. Ni shilingi ngapi inagharimu kushona magauni ya khanga one size kwa wanawake na mashati mfano wa kimono kwa wanaume.
Vyombo vya usafiri, mabasi ya kueleweka yenye viyoyozi. Ukitaka kufanya biashara ni lazima uwekeze kwanza.