Suala la watalii kutokurudi tena Tanzania wanapokuja mara moja, huduma zetu ziboreshwe

Suala la watalii kutokurudi tena Tanzania wanapokuja mara moja, huduma zetu ziboreshwe

Dear, upo sahihi sana
Watanzania tumenafikiria utalii ni kuangalia tembo ,nyati na simba kwenye hifadhi za taifa. Watalii wakikuta simba jike ana pandwa anafurahi kuliko kulala five star hotel. Watalii wanaipenda babies na totoes, ukarimu, vyakula vya asili, bia au vinywaji vya kawaida, hata kulala kwenye nyasi kuliko magorofani, Kuna mtalii anakuja Tz kupata damu ya Moto tu kwa wadada zetu au kwa brother wetu huo pia nu utalii .
 
Akitaka kuja bongo atalipia dola 2000 per night!!

Niliwahi panga kufanya uwindaji wa kitalii hapo nyumbani na wenzangu lakini gharama niliyotajiwa ni mara tatu ya ile ya South Africa. Nika opt kwenda south Africa.
Aiseeee...
 
Gharama za kutalii tz ni kubwa, ukienda kwenye huduma kuna bei mbili ya watz na ya foreigner Hali wote utumia the same huu ni ubaguzi.Sijatembea nje vipi ulaya Napo kuna bei za wazawa na bei za wageni?.Kwann bei isiwe moja bila kujali unatoka wapi.
Ukipunguza gharama za kutalii watakuja wengi.
Hata wabongo sio waaminifu uwachaji ghali wageni huu ni wizi,mgeni anatozwa nauli ya daladala elf 10,Hali ni mia 4.Mmoja kawahi tozwa tax toka airport to hotel mjini umbali kilometa 10 kachajiwa dola 250 sawa na laki 5 sabini huu ni wizi.Ndizi sokoni moja elf 2 shati la elf 10 anaambiwa elf 70 huu ni wizi.Hapa mtalii anarudije tena.
Morocco inaongoza kwa watalii sababu ya gharama ndogo za kutalii why usirudi na wengine pia.
 
Watanzania tumenafikiria utalii ni kuangalia tembo ,nyati na simba kwenye hifadhi za taifa. Watalii wakikuta simba jike ana pandwa anafurahi kuliko kulala five star hotel. Watalii wanaipenda babies na totoes, ukarimu, vyakula vya asili, bia au vinywaji vya kawaida, hata kulala kwenye nyasi kuliko magorofani, Kuna mtalii anakuja Tz kupata damu ya Moto tu kwa wadada zetu au kwa brother wetu huo pia nu utalii .
Hio damu moto acha kabisa imeleta maafa znz.tajiri wa Kirusi kukutana na vitu vya pwani acha kabisa.
 
Utalii ni sekta binafsi Kama ukiwa na allergies na sekta binafsi kwa maana ya mentality ya KILA aliyefanikiwa ni mwizi huo utalii utakuwa vipi Hali kila siku ni kuwaza kukusanya zaidi mara Kodi ya kitanda mara Kodi ya nn hela zote wataka ziwe zako unakamua Hadi tone la damu badala ya kukazia uzalishaji huku ukuchukia Kodi kidogo lakini nyingi huo utalii utakuaje sasa.
Shida ya hizi nchi masikini wamekazania zaidi kukusanya zaidi Kodi kuliko kuchochea uzalishaji Ili upate zaidi kwenye uzalishaji na sio kwenye ukusanyaji kodi.Kila kitu Kodi ni Kuuwa uchumi wa nchi.
 
Kuna kipindi hotel moshi zilikuwa zinalalamika watalii wanakwenda kula mtaani, mtaani chakula rahisi na kina ladha nzuri bei zetu sio rafiki kabisa
Ni kweli Moshi na Arusha kwenye Bar na Pub kuna vyakula vizuri sana, at good price. Unapata mix ya kuku wa kienyeji na mbogamboga ya mnavu safi kabisa then unashushia na Serengeti light na bado elfu 10 chenji inabaki kwa ajili ya supu ya mkia au kongoro jioni...
 
Azam ferry mimi nalipa 25000 mtalii analipa sio chini ya laki economy kama sjakosea kumbukumbu.

Kuna mrusi mmoja nilikutana nae akawa analalamika sana kuhusu nauli kama hii,nikamuambia wewe ni mtalii ndio maana bei yako tofauti na sisi wazawa.
hapa kwenye ferry tofauti ya nauli Hali mnakaa siti moja wageni wanalalamika Sana why? Hapa usitegemee atarudi tena.Kwann nauli isiwe moja,huu ni ubaguzi hili lipo hata kwenye huduma nyingi hapa nchini za kuchajiwa bei kulingana na rangi yako,bei ya weusi na bei ya weupe huu ni ubaguzi na vitu vikwazavyo wageni urudisha bad image
 
Warudi kufanya nini kama Konyagi ya mtaani ya elf 6 wao wanauziwa elf 50? Bongo bado sana.

Sahihi kabisa mkuu,
Tena kwenye vitovu vya utalii ndo usiseme
Mtowaumbuu , Hadi Kuna mda mwenyeji unauziwa bidhaa kwa bei juu kama mzungu kisa ni maeneo ya utalii ,
 
Sahihi kabisa mkuu,
Tena kwenye vitovu vya utalii ndo usiseme
Mtowaumbuu , Hadi Kuna mda mwenyeji unauziwa kwa bei juu kama mzungu kisa ni maeneo ya utalii ,
Na haya mambo wenyewe wanaongelea sana Wakirudi kwao... utasikia 'muzungu price'
 
Huo ndio utalii wenyewe. Wengi wanadhani watalii wanaokuja kwenye hifadhi za taifa in mabilionea kule kwao kumbe ni watu wa kawaida Sana. Wazungu ni maskini kuliko sisi ila wanabana matumizi ili wakatalii .punguzeni bei za huduma nione wingi wa wazungu. Mwafrika kukutana na mzungu huo pia ni utalii au mzungu kukutana na mwafrika ni utalii . Jifunzeni filipino, hakuna wanyama wala hifadhi kule.wafilipino ni mapenzi tu. Watalii wote wanakimbilia filipino .
Ni kweli Moshi na Arusha kwenye Bar na Pub kuna vyakula vizuri sana, at good price. Unapata mix ya kuku wa kienyeji na mbogamboga ya mnavu safi kabisa then unashushia na Serengeti light na bado elfu 10 chenji inabaki kwa ajili ya supu ya mkia au kongoro jioni...
 
Grilled fish anazungushiwa pili-pili hoho pembeni na nyanya, ki pande cha limao unaambiwa 35,000. Hawa watu wanataka kufurahia vyakula vyetu pia.
Ni kweli Grilled fish bei inaweza kuwa 35,000tsh, lakini umefikiria kuna kodi,mishahara .Pia kuna kulipia fire extinguisher,Safety and health certificates, kuwa na Standard ya Juu ya usafi. Unajua kuhusu ukaguzi wa kimataifa wa kupewa nyota tatu, nne au tano. Utalii unatakiwa unufaishe wazawa. Usikubali hata Siku moja kumpeleka mtalii uswahilini akale msosi wa buku mbili kwani utakuwa unauwa sekta ya utalii.
 
Kama vile imepitiapitia katika hotel industry kamanda yaani nimewahi kuwa sehemu flani hivi napiga kazi enzi za TAHI haya unayoyasema ni kweli kabisa nakumbuka tour guide mmoja alimwambia mtalii usiwape tips hotel inawakata pesa kwa ajili ya huduma mnayopewa/ service charges/
Utakuta huyo guide alikuwa na hasira na hoteli maana hizo hoteli tokea zibinafsishwe guides walikuwa wanalishwa sana leftovers dinners!( uongo?) sasa ukute jamaa aliharisha njia mzima Serengeti unategemea nini!? Maana nimwendo wa kufungua boneti unajifanya gari mbovu kumbe unawaziba wageni kwenye kioo cha mbele unachuchumaa unaharisha kisha unarudi kuendelea na game drive! kuna hoteli guides wakula na wageni hii safi sana ila kunahoteli mgeni mnaachania reception mpaka kesho!
Nashauri kuwepo na udugu, ukaribu kati ya TANAPA, TTB na Wende ma lodge na hotels na hawa guides! Unamnyanyapaa guide alafu asubuhi unampa mgeni Akashinde nae 12 hrs!!?
WAZIRI ITISHENI KIKAO NA WAONGOZA WATALII LAW SEASON INAPOANZA MTAJIFUNZA MENGI KWANINI UTALII UNAKWAMA!
 
Gharama za kutalii tz ni kubwa, ukienda kwenye huduma kuna bei mbili ya watz na ya foreigner Hali wote utumia the same huu ni ubaguzi.Sijatembea nje vipi ulaya Napo kuna bei za wazawa na bei za wageni?.Kwann bei isiwe moja bila kujali unatoka wapi.
Ukipunguza gharama za kutalii watakuja wengi.
Hata wabongo sio waaminifu uwachaji ghali wageni huu ni wizi,mgeni anatozwa nauli ya daladala elf 10,Hali ni mia 4.Mmoja kawahi tozwa tax toka airport to hotel mjini umbali kilometa 10 kachajiwa dola 250 sawa na laki 5 sabini huu ni wizi.Ndizi sokoni moja elf 2 shati la elf 10 anaambiwa elf 70 huu ni wizi.Hapa mtalii anarudije tena.
Morocco inaongoza kwa watalii sababu ya gharama ndogo za kutalii why usirudi na wengine pia.
Ukifika Ulaya kama mtalii kuna ramani utapewa za sehemu zenye vivutio. Kuna mabasi ya sight and tour mnakuwa na tour guide anawaonyesha sehemu zenye vivutio. Mchana mtasimama kwenye mgahawa unaopika vyakula vya kwao, bei ni za kama watu wengine.

Kama unajua maeneo wala hakuna atakaekuuliza na baada ya breakfast, lunch kama mko na familia mnaweza kununua mkate na vipande vya kuku na matunda na vinywaji vyote kwa €10, mkaka park mkala vyakula vyenu.
 
Ninasikia watalii wanapigwa vizinga huko, kuanzia dereva mpaka mtandika vitanda wote ni mwendo wa “my mother sick” my son school-fees, me rent.

Jamani miliangalie hili swala linatutia aibu.
Wengine wanadiriki kusema jamii yao iliangamizwa na Ukimwi yeue ndo amebaki kusaidia...Hizi shida hizi!!
 
Hii inatokana pia na tabia ya baadhi ya travel agency wa aina fulani kutuponda wabongo wanapokuwa wanatafuta watalii nje ya nchi! Nilishuhudia mtu anaishi London ndio anaiuza Tanzania, hajui watu wake, hajui traditional za wabongo , hajui hata geographical ya nchi ila anashindilia msumari wa ” Dont give tip more that $5 because they are going to drink alcohol and always hide your valuable things because Tanzanian are thieves” sasa huyu mdada mtandika vitanda unaanza kumbania tip yake kuanzia ughaibuni na kamshahara kenyewe ndio hako laki na nusu pamoja na kusafisha vyoo, vitanda vyenye mipira ya kiume iliyotumika, mataulo yaliyofutiwa kila aina ya uchafu unadhani hataomba hela kwa mgeni kweli!!? Tip zenyewe zikiwekwa kwenye tip box management wanaanza na noti kubwa kubwa mnaachiwa zile moja moja mgawane mwisho wa mwezi unaambuli $10 per person tip per month!

Watu wanalishwa ugali dagaa wenye mchanga huko maporini from lunch to dinner breakfast chai ya rangi na andazi!

Wizara fuatilieni huduma kwa hawa wafanyakazi wa mahoteli vile vile muwawekee standard wenye mahoteli & lodges ni aina gani ya watu wawaajiri , pitieni pia vyuooni huko maana ujinga woote unaanzia huko vidada vonapata ajira with no ideas wanaenda kufanya nini but ngono iliwapitisha!

Receptionist ni mchepuko wa meneja , waitress ni mchepuko wa chef nakwambia hayo majibu utapata utajuta kuzaliwa! Suala la discipline kazini nalo changamoto maana hamna vyombo vyakuwashughulikia hawa wahuni kazini kama mwenye property hutakuwa mkali ni hasara kila siku!

Menu zetu nazo za hovyooo yaani hoteli nyingi ni ” deep-fried fish/chicken and chips, rice and beef/ chicken!! Vilivyo orodheshwa kwenye menu vingi havipo zaidi zaidi mhudumu akwambie ngoja nikamuulize chef nae chef anaropoka huko huko jikoni. Vineishaaa!!

Breafing kuhusu tip ziwe resonable! Serikali isitegemee watu wachache kuutangaza utalii kwamfano ikichukua guides wazuri ( siongelei wale wanaojipa tuzo wenyewe kila mwaka) kuna vijamaa vinajua lugha hadi tano za kigeni mpaka kijapani, vinajua tamaduni zetu , vinajua inchi yao ,vinajua kufurahisha wageni, yaani muonekano wao tu unacheka unataka umsikilize, na vinapendwa na wageni sio unapeleka mtu mgeni akimuangalia tu ile body morphology anamkwepa! Wizara iunde tume ya hawa chipukizi wakatangaze utalii huko mtaona majibu!

WIZI RECEPTION - Mgeni analipa cash au kwa card anakuja kupigwa bili nyingine hiyo hiyo siku anacheckout !

VIINGILIO VINAKWAMISHA - Punguzeni viingilio
Mkuu uko sawa sana kwa haya maelezo,ila kusema Serkali ipunguze kiingilio mimi sioni kama kuna tija,,haiwezekani Mgeni apunguziwe kiingilio cha kuingia ...US$71 kwa Serengeti bado ni Chini sana ......urasimu uko kwa hao ma middleman....mfano kwamba Safari nyingi haziuzwi Direct nyingi ni zile za ma Agent,hapo ni lazima Mteja akamuliwe sana maana Wanaanza kumla huko huko kwao Ulaya.
 
Gharama za kutalii tz ni kubwa, ukienda kwenye huduma kuna bei mbili ya watz na ya foreigner Hali wote utumia the same huu ni ubaguzi.Sijatembea nje vipi ulaya Napo kuna bei za wazawa na bei za wageni?.Kwann bei isiwe moja bila kujali unatoka wapi.
Ukipunguza gharama za kutalii watakuja wengi.
Hata wabongo sio waaminifu uwachaji ghali wageni huu ni wizi,mgeni anatozwa nauli ya daladala elf 10,Hali ni mia 4.Mmoja kawahi tozwa tax toka airport to hotel mjini umbali kilometa 10 kachajiwa dola 250 sawa na laki 5 sabini huu ni wizi.Ndizi sokoni moja elf 2 shati la elf 10 anaambiwa elf 70 huu ni wizi.Hapa mtalii anarudije tena.
Morocco inaongoza kwa watalii sababu ya gharama ndogo za kutalii why usirudi na wengine pia.
ndio maana kuna ubber siku hizi,ajabu yale matapeli pale airport hayaruhusu ubber ziingie[emoji38][emoji38],na wahusika wamezubaa tu.

POLISI,TISS hapo airport msikae kama mitungi ya maua,fanyeni kazi.
 
Ni kweli Grilled fish bei inaweza kuwa 35,000tsh, lakini umefikiria kuna kodi,mishahara .Pia kuna kulipia fire extinguisher,Safety and health certificates, kuwa na Standard ya Juu ya usafi. Unajua kuhusu ukaguzi wa kimataifa wa kupewa nyota tatu, nne au tano. Utalii unatakiwa unufaishe wazawa. Usikubali hata Siku moja kumpeleka mtalii uswahilini akale msosi wa buku mbili kwani utakuwa unauwa sekta ya utalii.
[emoji16][emoji16][emoji16]unamtoboa mzungu 35000,kwa kila samaki.

halafu mpishi na waiter unawalipa 150k,kodi unatoa buku jero.

embh tujitahidi kuwa real kidogo,hizo hotels zenyewe nyingi ni za hao hao weupe,wanawakamua ndugu zao bei kichaa.nender oyter plaza pale kuna mchina juu kule,angalia anachowafanya wachina wenzie.halafu inakuja kulaumiwa serikali huku.
 
Mkuu uko sawa sana kwa haya maelezo,ila kusema Serkali ipunguze kiingilio mimi sioni kama kuna tija,,haiwezekani Mgeni apunguziwe kiingilio cha kuingia ...US$71 kwa Serengeti bado ni Chini sana ......urasimu uko kwa hao ma middleman....mfano kwamba Safari nyingi haziuzwi Direct nyingi ni zile za ma Agent,hapo ni lazima Mteja akamuliwe sana maana Wanaanza kumla huko huko kwao Ulaya.
Safari ya kwenda Serengeti inagharimu £1500-2,000 wakati Mzungu anaweza kwenda Botswana kwa £900 na akaona wanyama pia.
 
Back
Top Bottom