Kama taarifa hii kutoka kwa mtoa Mada niyakweli basi haters watakua hao walioifutaTeam haters!?
Huyo magix enga namuonaga kama taira alianza kwa harmonize sasa kaenda kwa tekashi.Tulia wewe hujui hata jinsi YouTube inavyofanya kazi, video bado ipo YouTube haijafutwa ila imefungiwa mpaka YouTube watakapojiridhisha na malalamiko kutoka WCB juu ya claim waliyoipata kutoka kwa mtu ambaye haijulikani ali-claim nini kwa YouTube kuhusu video hiyo, huenda na yeye ni hater kama wewe tu.
Hili lilishamtokea hadi 6ix9ine ngoma yake ilifungiwa baada ya Magix Enga kutoka Kenya ku-claim kuibiwa beat na Tekashi, sasa jiulize kweli Tekashi aache producers wote kutoka soko kubwa la muziki duniani aje kumuibia beat Magix Enga!?
Mwisho wa siku 6ix9ine video yake ilirudi na hata hii ya Zuchu na Diamond Platnumz itarudi.
Sasa Nani hakujui ww team kibakuliKusema ukweli ndo kua haters?
Hivi hit song maana ake nn[emoji16]Hii Dunia Kuna watu wamezaliwa na bahati aisee,
We fikiria Zuchu ni msanii mkubwa kwa Sasa Ila hana hit song hata moja[emoji1787][emoji1787]
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Tony Antony naona umetufutia video halafu umekuja kujifungulia uzi.
Numbisa nimeona pekee yako ndio umelike Uzi wa mtoa madaπππππbasi leo utatolewa mifano hadi ya nyimbo za jay z zilizofutwa u tube kuhalalisha wizi wa boss wao.
Domo hana ubunifu siku hizi amebaki kucopy na kupaste. Kuiba na kuhalalisha.