Suala la WCB, Zuchu na Diamond kufutiwa wimbo YouTube mbona fans wa WCB mmejikausha?

Suala la WCB, Zuchu na Diamond kufutiwa wimbo YouTube mbona fans wa WCB mmejikausha?

naona amina umerudi mjini, hadi kigagula diva kawapost na mumeo
 
Mashabiki wa kiba huwa wanaangalia nyimbo zake kwa fujo kipindi zinatoka hadi inatokea traffic halafu baada ya hapo wanazitelekeza halafu wanasema nyimbo zake haziishi utamu
Ila ngoja niweke akiba ya maneno usikute nyimbo zake zote zipo kwenye traffic ile siku YouTube wanatoa data halisi unakuta sinderela ina views 500M ,mwana 100M halafu seduce me imeipita hadi despacito maana mwamba hapendi show off.🏃🏃🏃
Alikiba kafikaje hapa mbona tunajadili kingine wimbo wa Cheche kufungiwa
 
😂😂😂😂😂basi leo utatolewa mifano hadi ya nyimbo za jay z zilizofutwa u tube kuhalalisha wizi wa boss wao.

Domo hana ubunifu siku hizi amebaki kucopy na kupaste. Kuiba na kuhalalisha.
Sio siku hizi toka zamani Dayna Nyange aliibiwa beats akaitumia kwenye My number one..H Baba aliibiwa nataka kulewa...Mbagala alimuibia dogo wa Tandale nk nk nk
 
Hii Dunia Kuna watu wamezaliwa na bahati aisee,
We fikiria Zuchu ni msanii mkubwa kwa Sasa Ila hana hit song hata moja[emoji1787][emoji1787]
Mm mpk ss simuelewi hata anaimba nn...labda babalevo atamuandikia hit song...ni swala la mda tu
 
Tulia wewe hujui hata jinsi YouTube inavyofanya kazi, video bado ipo YouTube haijafutwa ila imefungiwa mpaka YouTube watakapojiridhisha na malalamiko kutoka WCB juu ya claim waliyoipata kutoka kwa mtu ambaye haijulikani ali-claim nini kwa YouTube kuhusu video hiyo, huenda na yeye ni hater kama wewe tu.

Hili lilishamtokea hadi 6ix9ine ngoma yake ilifungiwa baada ya Magix Enga kutoka Kenya ku-claim kuibiwa beat na Tekashi, sasa jiulize kweli Tekashi aache producers wote kutoka soko kubwa la muziki duniani aje kumuibia beat Magix Enga!?

Mwisho wa siku 6ix9ine video yake ilirudi na hata hii ya Zuchu na Diamond Platnumz itarudi.
Wai yeye kila siku?!...kama msanii anapoteza kiredibiliti....wenye akili tunajua ni mwizi wa aidia za watu... hata video ikirudishwa ni nguvu ya teni pasenti hamna kingine!
 
Kila mtu asubuhi hii anaenda kazini, wewe endelea kula kulala tu kwa shemeji yako.
Sababu sijaumizwa na pigo lake poleni mashabiki wa cheche


Nifa acha uchawi
 
Kumbe unaishi kwa shemeji yako Real madrid card holder aiseeee


Wanaoishi kwa shemeji wamekuja kutoka vijijini huko, mi kwetu Dar halafu nipo Ughaibuni long time kitambo sana. Huku kila mtu anaishi kwake.
 
Sisi Wataalam wa Masuala ya Music tulitaadharisha mapema kuhusu ku-copy Copy oneni aibu inayomkuta huyu mwanamziki wenu aliyeishiwa Kabaki kubebwa na Vikolabo vyenyewe vya ku-copy 90%

Inasikitisha sana kwa Msanii unaejiita mkubwa Kuwekeza kwenye wizi wa Idea za wenzako. Kaeni Mkao wa kula kwa Ujio wa Pini jipya la King Kiba Mzee wa Mahit Song
tony Antony katika ubora wako,umepitia YouTube leo???
Pole sana kwa maumivu makali unayo yapata, chuki zitakuua wewe.
 
Leo utaropoka kila kitu mkuu. Toka kwa shemeji yako
Wanaoishi kwa shemeji wamekuja kutoka vijijini huko, mi kwetu Dar halafu nipo Ughaibuni long time kitambo sana. Huku kila mtu anaishi kwake.
 
Back
Top Bottom