Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikiba kafikaje hapa mbona tunajadili kingine wimbo wa Cheche kufungiwaMashabiki wa kiba huwa wanaangalia nyimbo zake kwa fujo kipindi zinatoka hadi inatokea traffic halafu baada ya hapo wanazitelekeza halafu wanasema nyimbo zake haziishi utamu
Ila ngoja niweke akiba ya maneno usikute nyimbo zake zote zipo kwenye traffic ile siku YouTube wanatoa data halisi unakuta sinderela ina views 500M ,mwana 100M halafu seduce me imeipita hadi despacito maana mwamba hapendi show off.🏃🏃🏃
Bado Upako haujakoleaHii Dunia Kuna watu wamezaliwa na bahati aisee,
We fikiria Zuchu ni msanii mkubwa kwa Sasa Ila hana hit song hata moja🤣🤣
Sio siku hizi toka zamani Dayna Nyange aliibiwa beats akaitumia kwenye My number one..H Baba aliibiwa nataka kulewa...Mbagala alimuibia dogo wa Tandale nk nk nk😂😂😂😂😂basi leo utatolewa mifano hadi ya nyimbo za jay z zilizofutwa u tube kuhalalisha wizi wa boss wao.
Domo hana ubunifu siku hizi amebaki kucopy na kupaste. Kuiba na kuhalalisha.
Hili swali hata mm najiuliza...huyu huyu anaekomaa na posho za nyinyiemu?!...wakikujibu na mm nitagKwani diamond Bado msanii siku hizi[emoji44]
Mm mpk ss simuelewi hata anaimba nn...labda babalevo atamuandikia hit song...ni swala la mda tuHii Dunia Kuna watu wamezaliwa na bahati aisee,
We fikiria Zuchu ni msanii mkubwa kwa Sasa Ila hana hit song hata moja[emoji1787][emoji1787]
Wai yeye kila siku?!...kama msanii anapoteza kiredibiliti....wenye akili tunajua ni mwizi wa aidia za watu... hata video ikirudishwa ni nguvu ya teni pasenti hamna kingine!Tulia wewe hujui hata jinsi YouTube inavyofanya kazi, video bado ipo YouTube haijafutwa ila imefungiwa mpaka YouTube watakapojiridhisha na malalamiko kutoka WCB juu ya claim waliyoipata kutoka kwa mtu ambaye haijulikani ali-claim nini kwa YouTube kuhusu video hiyo, huenda na yeye ni hater kama wewe tu.
Hili lilishamtokea hadi 6ix9ine ngoma yake ilifungiwa baada ya Magix Enga kutoka Kenya ku-claim kuibiwa beat na Tekashi, sasa jiulize kweli Tekashi aache producers wote kutoka soko kubwa la muziki duniani aje kumuibia beat Magix Enga!?
Mwisho wa siku 6ix9ine video yake ilirudi na hata hii ya Zuchu na Diamond Platnumz itarudi.
Sababu sijaumizwa na pigo lake poleni mashabiki wa cheche
Kila mtu asubuhi hii anaenda kazini, wewe endelea kula kulala tu kwa shemeji yako.
Nifa acha uchawi
Kumbe unaishi kwa shemeji yako Real madrid card holder aiseeee
tony Antony katika ubora wako,umepitia YouTube leo???Sisi Wataalam wa Masuala ya Music tulitaadharisha mapema kuhusu ku-copy Copy oneni aibu inayomkuta huyu mwanamziki wenu aliyeishiwa Kabaki kubebwa na Vikolabo vyenyewe vya ku-copy 90%
Inasikitisha sana kwa Msanii unaejiita mkubwa Kuwekeza kwenye wizi wa Idea za wenzako. Kaeni Mkao wa kula kwa Ujio wa Pini jipya la King Kiba Mzee wa Mahit Song
🤣🤣🤣🤣🤣🤣tony Antony katika ubora wako,umepitia YouTube leo???
Pole sana kwa maumivu makali unayo yapata, chuki zitakuua wewe.
Wanaoishi kwa shemeji wamekuja kutoka vijijini huko, mi kwetu Dar halafu nipo Ughaibuni long time kitambo sana. Huku kila mtu anaishi kwake.
Leo utaropoka kila kitu mkuu. Toka kwa shemeji yako
Acha kujigongagonga I'm married.
Duh so wewe na mkeo mnaishi kwa shemeji yako hasara hii