Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Serikali ndiyo ILIYOIHARISHA ile mechi......
Kwa hiyo timu yangu Yanga SC inataka kusema SERIKALI ilikosea?!!!
Kwa hiyo timu yangu Yanga SC inataka "kuidindia" serikali yetu adhimu ?!!!!!
******************
INAACHA MSHANGAO SANA.....
#KaziIendelee
Kwa hiyo timu yangu Yanga SC inataka kusema SERIKALI ilikosea?!!!
Kwa hiyo timu yangu Yanga SC inataka "kuidindia" serikali yetu adhimu ?!!!!!
******************
INAACHA MSHANGAO SANA.....
#KaziIendelee