Suala la Yanga kutotaka kucheza tarehe 3 julai ni dharau kwa TFF, serikali na wapenzi wa soka

Yanga siyo wajinga, wanawatu Serikalini na huko tifuatifua, kila kinachofanyika kinafahamika vizuri......muda utaongea na huo upuuzi utafahamika tu
 
Mkishajua sababu itawasadia nini yanga?
Fuateni sheria na taratibu; mpaka serikali na TFF waseme kwanini walihairisha mechi na kama kuna mtu alikosea aliwajibishwa lini? Acheni kupibdisha sheria kisa Simba na Yanga wanatakiwa kucheza.
Acheni ujinga.
 
Nimeona msemaji wa Yanga anayejulikana kama Bumbuli,akitaja mechi zilizobaki katika premier kuwa ni nne tu huku alisema wao yanga hawatambui mechi ya tarehe 3...
Yanga inabidi washushwe madaraja tu ili washike adabu, kukosa ubingwa miaka 3 kunawaumiza sana.
 
Nimeona msemaji wa Yanga anayejulikana kama Bumbuli,akitaja mechi zilizobaki katika premier kuwa ni nne tu huku alisema wao yanga hawatambui mechi ya tarehe 3...
Tff wenyewe uswahili na ubabaishaji kwa sana
 
Nimeona msemaji wa Yanga anayejulikana kama Bumbuli,akitaja mechi zilizobaki katika premier kuwa ni nne tu huku alisema wao yanga hawatambui mechi ya tarehe 3...
Hivi hiyo July 3 ligi itakuwa bado inaendelea tu?
 
Kama Yanga wanadai hiyo mechi ilisha pita vipi kuhusu point 3 za mechi wanaamini wanazo?
Au wata panda CAS na FIFA kuzidai?

Huko juu hawafanyi mambo kiswahiliswahili.

Unapogomea jambo ni kweli unamfanya alie kukosea kutafakari na hata kujirekebisha lakini adhabu stahili utaipata tu.
 
Yanga timu kubwa hamuwezi kumpangia kucheza mechi mnavyotaka...Yanga washikilie msimamo wao huo kuwatia adabu TFF na hao wanaojiita serikali kwamba siku nyingine mambo kama haya ya aibu na kufadhaisha hayatakiwi kujirudia kwenye soka letu.
 
Hii ni kujaribu kuongoza uasi dhidi ya serikali kwa vile unamiliki kundi kubwa la watu...
πš“πš˜πš–πš‹πšŠ πš’πšŠπš—πšπšŠ πšœπš’πš˜ πš πšŠπš“πš’πš—πšπšŠ! πš”πš πšŠ πš‘πšŠπš•πš’ πš’πš•πš’πšŸπš’πš˜ πš’πšŠπš—πšπšŠ πš πšŠπš—πšŠπš“πšžπšŠ πšŸπš’πšŽπš–πšŠ πšœπšŠπš‹πšŠπš‹πšž 𝚒𝚊 πš”πšžπšŠπšπš‘πšŠπš’πš•πš’πšœπš‘πš πšŠ πš”πš πšŠ πš–πšŽπšŒπš‘πš’ πš—πšŠ πš—πšπš’πš˜ πš–πšŠπšŠπš—πšŠ πš πšŠπš–πšŽπš”πš˜πš–πšŠπšŠ πš—πšŠ πš—πš’πš—πšŠ πš‘πšŠπš”πš’πš”πšŠ πšœπšŠπš‹πšŠπš‹πšž πš’πš•πš’πš”πšžπš πšŠ πš’πšŠπš”πš’πš“πš’πš—πšπšŠ πšœπšŠπš—πšŠ.
 
Mimi ninavyojua kwa kanuni za mpira Yanga inabidi wapewe points 3 na magoli 3 kwakua timu pinzani haikutokea uwanjani.

Hivyo Yanga wapo sahihi.
Timu ipewe hizo alama tatu unadhani ni rahisi kama unavyofikiri..!

Timu kuwepo uwanjani, kukaguliwa na pamoja na kufanyika utambulisho, mwamuzi kuita timu katikati ya dimba na kama timu nyingine bado atasubiri dakika 15 baada ya hapo atamaliza mchezo endapo haikutokea.

Yalifanyika haya?
 
Unajua kwanini rais wa fft alikuwa mbogo hivi karibuni na kuonyesha kuwa nafasi alikuwa nayo haiwezi. Shirikisho limejaa utelembwe manunu fc symphasizer. Maamuzi yao ni kuumiza timu fulani...
Umeandika utopolo mwingi sana,hivi huko Utopolo kuna mwenye akili timamu hata mmoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…